Akiwa ndio kwanza ana umri wa miaka 21 mwanamitindo wa kimataifa mwenye asili ya ki- Tanzania Herieth Paul ame onekana kupata mafanikio makubwa, na 2016 umeonekana kuwa mwaka wa mafanikio kwake kwa namna mbali mbali kama kutokea katika magazeti makubwa kama Vogue, kutembea katika Runway ya kampuni kubwa ya nguo Balmain lakini kama hazitoshi hizi ni mbili kubwa kutoka kwake kabla ya kufunga mwaka 2016
1) Herieth Paul ataonekana katika runway ya Victoria Secret ambapo kutakua na ma-model 52 wakiwepo Irina Shayk na Bella Hadid wakiongozwa na Jasmine Tookes ambae atavaa Eddie Borgo-designed, $3 million Fantasy Bra, show hii ni kubwa mno si kila mtu hupata nafasi ya kutembea katika runway ya Victoria Secret, ifanyanyika December 5th 2016
la Pili ni kwamba mwanamitindo huyu amekuwa featured na gazeti la mitindo la Glamour ataonekana katika Gazeti hilo litakalo toka pia December mwaka huu
Glamour USA December 2016www.glamour.com
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…