Tuli mzoea Vee akiwa slayer na style zake zilikua zile sweety sweety lakini kwa sasa ni kama ana kuja na mionekano mipya ambayo The interment is not here for them, kuna baadhi ya watu huko kweny mitandao ya kijamii wame kua waki create buzz kuhusu mionekano ya Vee mipya
na wengine wame kuwa waki mringanisha yule vee wa zamani na huyu mpya
Hii ni baadhi ya mionekano mipya ya Vanessa ambayo si msweety tena ana onekana funky and crazy,
kwetu sisi ni kwamba ana enda na muda labda ana kitu kipya kinakuja, yeye ni mwanamuziki labda ana uacha ule u R&B Vee na ana kuja na Funky Vee tuambie je wewe una muonaje huyu Vanessa mpya? Kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Martin Kadinda Debuted She Gentle Collection At Swahili Fashion Week: Mbunifu Martin… https://t.co/BBAefWm0Al
FollowNjia Za Kujali Handbag Yako Idumu Muda Mrefu: Kama ambavyo unaweka cover na protector… https://t.co/rYXOb7PBbX
Follow#SwahiliFashionWeek2019 Lundi and Sons Collection #SwahiliFashionWeek2019 https://t.co/1sgnuYbDen
Follow
FOLLOW US!