Maua Sama ni moja kati ya wanamuziki ambao tunaweza kusema wanafanya Fashion Evolution, Maua wa sasa si yule wa zamani, she changing her looks more often lakini pia anatoka kwenye comfort zone yake, Zamani ulikuwa ukitajiwa maua kinacho kujia kichwani ni her signature look ya wave weaving ndefu nyeusi na skin jeans akitoka nje ya hapo ni short pants.
Lakini ni tofauti na sasa she is rocking every thing from a sweet Maua to Gaga kama mnakumbuka show ya fiesta tulipenda outfits zake lakini hasa ni ile ya mwisho ambayo ilikuwa most daring. Lakini pia triple denim styled by Joujou Nyaki was everything. Sasa hivi Maua amechange her hair and all we can say is Amen, maana those black wigs zilishazoelewa tayari.
Katika new photo shoot yake Maua amevaa two pieces white outfit, ambapo amevaa crop top nyeupe na a min skirt, amemaliza muonekano wake na pink pumps na hoop earrings, lakini tulicho notice hasa ni hii short blonde weaving yake, imempa muonekano mpya.
She looks different na yule Maua tuliyo mzoea sura imechangamka na she looks sassy. Tumependa that ana jaribu kugusa sehemu mbalimbali katika fashion na urembo.
Do let us know Je she slayed this blonde weave au she played it?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…