Kuna katu kati ya watu maarufu na nywele, wakati sisi tunaweza kuchukua week mbili hadi mwezi hatuja badilisha hair style wao hawawezi kukaa na hair style zaidi ya siku tatu ama week. Na hair style zao huwa sio za kawaida, si kawaida kumuona mtu wa kawaida na nywele za pink njiani lakini its total normal kumuona Nick Minaj na nywele za pink, well leo tupo na mwanamuziki aliye zaliwa America lakini ana tokea Kenya Victoria Kimani.
Victoria tunaweza kumfananisha na Vanessa Mdee kwa Tanzania maana she is a dare lakini pia huwa anabadilisha mitindo ya nywele mara kwa mara, hii ina mfanya awe unique as she can rock any color from blue, yellow,pink you name it.
Bob cut yellow hair she is giving us Jamaican Vibes
this bob cut was life too bad it didn’t last long
Victoria don’t play when it comes to hair hair,her make up is always on point and her fashion game is A1 she is a definition of super star. Je unaweza kujaribu hair style ipi?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…