SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Urembo
Namna Irene Kiwia Anavyo Show Off Mvi Zake 

Irene Kiwia si jina geni sana kwa wale wapenzi wa mitindo na fashion, miaka kadhaa nyuma aliwahi kutikisa Nchini mwetu baada ya kunyakuwa taji la ‘Face of Africa’ lakini pia Kiwia, aliwahi pia kubeba taji la Miss Temeke mwaka 2000, ambapo mwaka huo alimaliza kwenye…

Selfcare Ideas To Try This Weekend 
Ombre Color Wig/Weaving Trend 
Urembo
Marioo,Diamond Na Watu Maarufu Wa Kiume Hawajui Kuhusu Utunzaji Wa Mikono 

Usafi wa mikono ni muhimu sana kwa binadamu, iwe mtu maarufu au wa kawaida, uwe wa kike au wa kiume wote tunatakiwa kuwa na mikono misafi, mikono misafi haichagui jinsia wala umri. Katika pitapita zetu kwenye mitandao ya kijamii tumeona wasanii wetu wakijitahidi kuvaa vyema,…

Umuhimu Wa Kusoma Maelekezo Katika Kipodozi 
Beauty Looks From Last Week 
Dondoo
NAMNA 5 ZA KUDUMISHA NYWELE ZENYE DAWA 

Wengi wetu huwa tuna dhani kuweka dawa na kufanyia steaming ndio kutakuza na kufanya nywele zetu kuwa na afya, hivyo utakuta mtu ana weka dawa kila baada ya mwezi na kufanyia steaming kila baada ya week mbili. Hii ndio husababisha nywele kunyonyoka na kutokua na…

Matumizi Ya Loop / Vikamba Vya Ndani Ya Nguo 
Namna Ya Kuboresha Afya Yako Wakati Huu Wa Isolation 
Dondoo
KUZA NYWELE KWA MAJI YA MCHELE 

Ina shangaza ndio, na ina weza isiaminike lakini huo ndio ukweli. Maji ya mchele yana faida kubwa katika nywele una weza kuuliza kivipi na nani yame msaidia, ina semekana kabila la Yao kutoka kijiji cha Huangluo  Nchini China ndilo kabila ambalo lina wanawake wenye nywele…

Perfect Bra Check 
Muongozo Wa Namna Ya Kumatch Viatu Pamoja Na Mavazi Yako 
Urembo
Namna Irene Kiwia Anavyo Show Off Mvi Zake 

Irene Kiwia si jina geni sana kwa wale wapenzi wa mitindo na fashion, miaka kadhaa nyuma aliwahi kutikisa Nchini mwetu baada ya kunyakuwa taji la ‘Face of Africa’ lakini pia Kiwia, aliwahi pia kubeba taji la Miss Temeke mwaka 2000, ambapo mwaka huo alimaliza kwenye…

Umuhimu Wa Kusoma Maelekezo Katika Kipodozi 
Beauty Looks From Last Week 
Urembo
Marioo,Diamond Na Watu Maarufu Wa Kiume Hawajui Kuhusu Utunzaji Wa Mikono 

Usafi wa mikono ni muhimu sana kwa binadamu, iwe mtu maarufu au wa kawaida, uwe wa kike au wa kiume wote tunatakiwa kuwa na mikono misafi, mikono misafi haichagui jinsia wala umri. Katika pitapita zetu kwenye mitandao ya kijamii tumeona wasanii wetu wakijitahidi kuvaa vyema,…

Ombre Color Wig/Weaving Trend 
Mambo 3 ya muhimu kuyajua unapotaka kuwa na dreadlocks 
Afya
Selfcare Ideas To Try This Weekend 

Inawezekana umeshakutana na hili neno huko mitandaoni lakini hujajua maana yake ni nini “Selfcare”, Selfcare ni hatua za kuchukua muda kujiangalia/kujihudumia wewe mwenyewe, mara nyingi huwa tunajisahau tunaangalia afya za wengine kuliko sisi wenyewe au tunaweka muda wetu mwingi kwenye kazi/biashara/kutafuta pesa na mahitaji mengine…

Diamond Platnumz & Juma Jux Serving Us After Quarantine Body Goals 
Athari Za Msongo Wa Mawazo Katika Muonekano Wako 
Afya
Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna Ya Kukiondoa – 1 

Habari #Afromates  ikiwa ni Jumatano nyengine na itakua ni desturi kwamba kila ifikapo Jumatano tutakua na kipengele cha Tips&Tricks ambapo tutakua tukiandika na kujuzana  dondoo mbalimbali kuhusiana na fasheni,urembo na mitindo ya maisha. Na leo ikiwa kama Jumatano yakwanza tutaelekeza jicho letu katika jambo ambalo…

Namna Ya Kuboresha Afya Yako Wakati Huu Wa Isolation 
Sababu Na Namna Ya Kukabiliana Na Chunusi Wakati Wa Hedhi 
Afya
Diamond Platnumz & Juma Jux Serving Us After Quarantine Body Goals 

Tulishawahi kusema kuna aina mbili ya watu watatoka katika karantine Ambao watakuwa body goals Wale ambao watatoka wameharibu body goals zao Well Wanamuziki Juma Jux na Diamond Platnumz wao wameonekana kutumia muda ambao tulikuwa tunatakiwa kukaa mbali na misongamano kutengeneza body goals zao. Hapana hatusemi…

Unahitaji App Hii Ili Kufanya Mazoezi Mwenyewe 
TIPS ZA MAZOEZI WEEKEND 
Mazoezi
Kama Una Mwili Kama Wa Diamond Platnumz Tips Hizi Zitakusaidia Katika Muonekano Wako – Inverted Triangle 

Umeshawahi kukutana na mwanaume kavaa nguo ambayo ikakufanya ujiulize kwanini lakini? mbona haiendani na mwili wake? mara nyingi ina tokea right? hii ni kutokana na kwamba wanaume hawafocus sana katika haya mambo, si kama wanawake lakini hio ndio sababu ya sisi kuwahapa t kuwafunza na…

INSTAGRAM CRUSH @SAYMARIAH 
MAVAZI YA MAZOEZI KUTOKA KWA KAJALA MASANJA 

Za Moto Moto

Fashion Cop

Halima Yahya Bonnet Zina Mahali Pake 

Kiukweli bonnet ni msaada mkubwa sana, hasa kwenye mizunguko midogo midogo kama hujasuka au nywele haziko sawa unaweza kuivaa tu ukatoka. Lakini bonnets hazifai kwenye mahali ambapo ni event ya maana, last week tumemuona muigizaji Halima Yahya wengi tunamjua kama Davina akiwa Dodoma, Halima alionekana…

Mitindo

Wema Tema Big G, Irene Paul Atisha 

Kama ilivyo kawaida week hii katika segment ya fundi tupo na waigizaji Wema Sepetu pamoja na Irene Paul, Week iliyopita kulikuwa na event mbalimbali ambapo watu maarufu wengi walihudhuria event hizo, kati ya event zilizokuwepo moja wapo ni The Orange Concert ambayo hii walitoa Tuzo…

Urembo

Namna Irene Kiwia Anavyo Show Off Mvi Zake 

Irene Kiwia si jina geni sana kwa wale wapenzi wa mitindo na fashion, miaka kadhaa nyuma aliwahi kutikisa Nchini mwetu baada ya kunyakuwa taji la ‘Face of Africa’ lakini pia Kiwia, aliwahi pia kubeba taji la Miss Temeke mwaka 2000, ambapo mwaka huo alimaliza kwenye…

Load more