Namna Irene Kiwia Anavyo Show Off Mvi Zake
Irene Kiwia si jina geni sana kwa wale wapenzi wa mitindo na fashion, miaka kadhaa nyuma aliwahi kutikisa Nchini mwetu baada ya kunyakuwa taji la ‘Face of Africa’ lakini pia Kiwia, aliwahi pia kubeba taji la Miss Temeke mwaka 2000, ambapo mwaka huo alimaliza kwenye…
Marioo,Diamond Na Watu Maarufu Wa Kiume Hawajui Kuhusu Utunzaji Wa Mikono
Usafi wa mikono ni muhimu sana kwa binadamu, iwe mtu maarufu au wa kawaida, uwe wa kike au wa kiume wote tunatakiwa kuwa na mikono misafi, mikono misafi haichagui jinsia wala umri. Katika pitapita zetu kwenye mitandao ya kijamii tumeona wasanii wetu wakijitahidi kuvaa vyema,…
NAMNA 5 ZA KUDUMISHA NYWELE ZENYE DAWA
Wengi wetu huwa tuna dhani kuweka dawa na kufanyia steaming ndio kutakuza na kufanya nywele zetu kuwa na afya, hivyo utakuta mtu ana weka dawa kila baada ya mwezi na kufanyia steaming kila baada ya week mbili. Hii ndio husababisha nywele kunyonyoka na kutokua na…
KUZA NYWELE KWA MAJI YA MCHELE
Ina shangaza ndio, na ina weza isiaminike lakini huo ndio ukweli. Maji ya mchele yana faida kubwa katika nywele una weza kuuliza kivipi na nani yame msaidia, ina semekana kabila la Yao kutoka kijiji cha Huangluo Nchini China ndilo kabila ambalo lina wanawake wenye nywele…
Namna Irene Kiwia Anavyo Show Off Mvi Zake
Irene Kiwia si jina geni sana kwa wale wapenzi wa mitindo na fashion, miaka kadhaa nyuma aliwahi kutikisa Nchini mwetu baada ya kunyakuwa taji la ‘Face of Africa’ lakini pia Kiwia, aliwahi pia kubeba taji la Miss Temeke mwaka 2000, ambapo mwaka huo alimaliza kwenye…
Marioo,Diamond Na Watu Maarufu Wa Kiume Hawajui Kuhusu Utunzaji Wa Mikono
Usafi wa mikono ni muhimu sana kwa binadamu, iwe mtu maarufu au wa kawaida, uwe wa kike au wa kiume wote tunatakiwa kuwa na mikono misafi, mikono misafi haichagui jinsia wala umri. Katika pitapita zetu kwenye mitandao ya kijamii tumeona wasanii wetu wakijitahidi kuvaa vyema,…
Selfcare Ideas To Try This Weekend
Inawezekana umeshakutana na hili neno huko mitandaoni lakini hujajua maana yake ni nini “Selfcare”, Selfcare ni hatua za kuchukua muda kujiangalia/kujihudumia wewe mwenyewe, mara nyingi huwa tunajisahau tunaangalia afya za wengine kuliko sisi wenyewe au tunaweka muda wetu mwingi kwenye kazi/biashara/kutafuta pesa na mahitaji mengine…
Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna Ya Kukiondoa – 1
Habari #Afromates ikiwa ni Jumatano nyengine na itakua ni desturi kwamba kila ifikapo Jumatano tutakua na kipengele cha Tips&Tricks ambapo tutakua tukiandika na kujuzana dondoo mbalimbali kuhusiana na fasheni,urembo na mitindo ya maisha. Na leo ikiwa kama Jumatano yakwanza tutaelekeza jicho letu katika jambo ambalo…
Diamond Platnumz & Juma Jux Serving Us After Quarantine Body Goals
Tulishawahi kusema kuna aina mbili ya watu watatoka katika karantine Ambao watakuwa body goals Wale ambao watatoka wameharibu body goals zao Well Wanamuziki Juma Jux na Diamond Platnumz wao wameonekana kutumia muda ambao tulikuwa tunatakiwa kukaa mbali na misongamano kutengeneza body goals zao. Hapana hatusemi…
Kama Una Mwili Kama Wa Diamond Platnumz Tips Hizi Zitakusaidia Katika Muonekano Wako – Inverted Triangle
Umeshawahi kukutana na mwanaume kavaa nguo ambayo ikakufanya ujiulize kwanini lakini? mbona haiendani na mwili wake? mara nyingi ina tokea right? hii ni kutokana na kwamba wanaume hawafocus sana katika haya mambo, si kama wanawake lakini hio ndio sababu ya sisi kuwahapa t kuwafunza na…
Mitindo ya Nywele
Za Moto Moto
Halima Yahya Bonnet Zina Mahali Pake
Kiukweli bonnet ni msaada mkubwa sana, hasa kwenye mizunguko midogo midogo kama hujasuka au nywele haziko sawa unaweza kuivaa tu ukatoka. Lakini bonnets hazifai kwenye mahali ambapo ni event ya maana, last week tumemuona muigizaji Halima Yahya wengi tunamjua kama Davina akiwa Dodoma, Halima alionekana…
Wema Tema Big G, Irene Paul Atisha
Kama ilivyo kawaida week hii katika segment ya fundi tupo na waigizaji Wema Sepetu pamoja na Irene Paul, Week iliyopita kulikuwa na event mbalimbali ambapo watu maarufu wengi walihudhuria event hizo, kati ya event zilizokuwepo moja wapo ni The Orange Concert ambayo hii walitoa Tuzo…
Namna Irene Kiwia Anavyo Show Off Mvi Zake
Irene Kiwia si jina geni sana kwa wale wapenzi wa mitindo na fashion, miaka kadhaa nyuma aliwahi kutikisa Nchini mwetu baada ya kunyakuwa taji la ‘Face of Africa’ lakini pia Kiwia, aliwahi pia kubeba taji la Miss Temeke mwaka 2000, ambapo mwaka huo alimaliza kwenye…
Dressing The Baby Bump For Night Out Outfit Ideas From Vera Sidika
Hakuna kitu kinasumbua kichwa kama kuchagua vazi la kuvaa hasa katika mitoko ya usiku, sasa imagine unamtoko wa usiku halafu umjamzito hapo ndipo kichwa kitakapo waka moto na kuamua usiende kabisa kwenye huo mtoko. Leo tumewakumbuka mama vijacho tunawaleta mavazi ambayo unaweza kuvaa ukiwa unatoka…