SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

ANGELIQUE KIDJO KATIKA KITENGE “THE GRAMMY AWARDS 2016”
Angelique Kidjo poses with the award for Best World Music Album for "Sings" during the 58th Grammy Awards in Los Angeles, California February 15, 2016. REUTERS/Lucy Nicholson
Afro Fashion

ANGELIQUE KIDJO KATIKA KITENGE “THE GRAMMY AWARDS 2016” 

Angelique Kidjo 55, mwanamama ambae ni mwanamuziki kutoka Africa, Angelique ni mwanamziki mkubwa ambae ameweza kushinda Tuzo za Grammy mara tatu ikiwa hii ya jana ni Tuzo yake ya Tatu. Angelique amevaa kitenge katika sherehe ya Tuzo hizo ukiachana na kitenge pia urembo alio uvaa mkufu na bangili ni za shanga, Kadumisha utamaduni wetu. Hongera Angelique kwa kuiwakilisha vyema Africa ki mavazi na kimuziki.

onstage during the GRAMMY Pre-Telecast at The 58th GRAMMY Awards at Microsoft Theater on February 15, 2016 in Los Angeles, California.

GettyImages-510436002

Related posts

2 Comments

  1. marijuana withdrawal symptoms

    … [Trackback]

    […] Information to that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/angelique-kidjo-katika-kitenge-the-grammy-awards-2016/ […]

  2. 1000 rounds tulammo

    … [Trackback]

    […] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/angelique-kidjo-katika-kitenge-the-grammy-awards-2016/ […]

Leave a Reply