Si mara ya kwanza kwa huyu Empire actress kuvaa kitenge katika red carpets au mitoko yake ya kawaida, according to her ana penda sana African Prints, And of course we love people ambao hawakimbii asili yao
Gabourey alivaa kitenge chenye njano na blue
ambacho tuna weza kusema kime kiki sana kipindi hiki cha katikati tulisha waona watu wengi wakiwa wame vaa na mmoja wapo kutoka bongo ni former Miss Tanzania Nancy Sumari
Ame malizia mtoko wake na curled hair na simple make up with a popping eye shadow ya blue japo hatua uhakika nayo sana kama ilikuwa necessary but she looks good and happy.
We love us some Gabourey Sidibe
Tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/gabourey-sidibe-in-kitenge-katika-naacp-image-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/gabourey-sidibe-in-kitenge-katika-naacp-image-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/gabourey-sidibe-in-kitenge-katika-naacp-image-awards/ […]