Kuongezea kitu kidogo tu katika vazi lako ina weza kuleta matakeo makubwa usiyo yategemea, hii imeonekana kupitia couple hawa ambao ni wa South Africa walivyo buni mavazi yao ya harusi kipekee kwa kuongezea kitenge. Watu wengi wameonekana kuvutiwa na ubunifu huu kutokana na ku postiwa sana katika page mbali mbali zikiwemo page kubwa za fashion na harusi kama nigerian wedding ambao wana followers 1.3million Instagram
Bibi Harusi alivaa Cinderella Dress ya kata mikono ambayo juu ina kitenge na aka vaa na turban ya kitenge. Yah Turban na ame pendeza mno
wasimamizi walivaa all black, wakati flower girls walivaa vigauni vya kitenge ‘cute’
bwana harusi alivaa tuxedo ambayo alivaa na belt ya kitenge
katika Reception bibi harusi alibadilisha gauni ka kuvaa gauni ya kitenge tupu wakati bwana harusi aliendelea na nguo zake zile zile
bib harusi ana itwa Nosipho Miya Leiva au una weza kumpata kama @porshmiya Instagram
Tupe maoni yako kupitia
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Instagram – afroswagga
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…