Tunapo ongelea african print tuna maanisha ni zile bidhaa za kiafrica kama Kitenge, Dakishi, Batiki, Bazee na kadhalika. Kwa sasa dakishi na kitenge vimeonekana kubamba zaidi sio tu hapa Africa bali hata huko kwenye nchi za wenzetu.
Watu maarufu wengi wame onekana kuvaa mavazi haya kama Neyo, Monica Brown na wengine
Huyu ni Gabourey SidibeĀ muigizaji katika Tamthilia maarufu ya Empire kama mpenzi wa Tamthilia utakua una mjua ka igiza kama Secretary wa Lucious Lyon, Hivi karibuni alitembelea kituo cha radio kimoja huko kwao akiwa ame valia hio skirt ya kitenge
Taraji P Henson pia ni muigizaji wa tamthilia ya Empire ambapo ana igiza kama mke wa Lucious Lyon anaenda kwa jina la “cookie” ame onekana akiwa amevalia suruali ya kitenge akiwa studio kwenye mazoezi ya kuigiza tamthilia hio
Mwanamziki Neyo ambae ame funga ndoa hivi karibuni wame onekana kuvalia Dakishi wakiwa katika vocation
Monica Brown ambae pia ni mwanamuziki alitamba na kibao cha the boy is mine ft Brandy nae ame onekana kuwa ni mpenzi wa african print maana ame vaa mara nyingi iwe kitenge au dakishi
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…