Mbunifu ambaye yuko based London lakini ni Mm-Nigeria Fola-Toks Abiodun, ambae ana sifika na style zake za asoebi na ana fanya kazi na watu maatufu mbali mbali kutoka Nigeria akiwepo Muigizaji mkubwa Mercy Aigbe, Fola-toks ameingia kwenye headlines baada ya kubuni vazi hili kwa ajili ya kusheherekea Birthday ya mwanae
Gauni ni mermaid style (nguva) chini ikiwa na kitenge wakati juu inakitambaa kilicho kuwa na crystals, Ni zuri haswa
Lakini ameingia kwenye headlines baada ya watu kusema hii nguo haikufaa kuvalishwa mtoto imekaa kiutu uzima zaidi, wakati wengine wakisema ni sawa kwa maana mama ana onyesha/kutangaza ubunifu wake. Mtoto alivaa gauni hii huku amesukiwa ankara braids,
Tuambie kwa maoni yako je unaona ni sawa au si sawa? kupitia kurasa zetu katika mitandao ya kijamii
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mbunifu-fola-toks-abiodun-na-vazi-hili-la-birthday-ya-mwanae-yay-or-nay/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mbunifu-fola-toks-abiodun-na-vazi-hili-la-birthday-ya-mwanae-yay-or-nay/ […]