Kitenge kimeonekana ku take huge place week, as tume waona fasionista mbali mbali kutoka Nchi mbali mbali wakiwa wame rock kitenge na unajua ukitaka the best thing’s basi ni kuwaangalia hawa fashionistas, unaweza kuwa inspired by them
kama kunakitu tuna kijua kuhusu aderonke enoabasi au slayonce wa Nigeria ni yeye kuwa extra, tume penda huu mshono kutoka kwa kwake.
you know chicca don’t play linapo kuja swala la fashioon
Elizabeth Michael kutoka Tanzania in little fringe open back kitnge dress, she is a devil linapo kuja swala la mitindo
Rita Paulsen in some blue & pink kitenge vibes she never age though
Jokate alipendeza sana na hiki kitenge pia
Kama ume penda mshono na utaiga usisite kutupia picha na kututag
Instagram- afroswagga
facebook – afroswaggamag
twitter – afroswaggatz
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mishono-ya-kitenge-kutoka-kwa-fashionistas/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mishono-ya-kitenge-kutoka-kwa-fashionistas/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mishono-ya-kitenge-kutoka-kwa-fashionistas/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 83654 additional Info on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mishono-ya-kitenge-kutoka-kwa-fashionistas/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mishono-ya-kitenge-kutoka-kwa-fashionistas/ […]