Kuna mishono ambayo wengi tumeizoea labda nguva, au skirt za kuchanua lakini tuna shindwa kuwa wabunifu na kubuni kitu ambacho hakipo common sana, siku ukifanya kitu cha kipekee basi watu wote wata kuangalia wewe iwe kwenye sherehe, mavazi au hata biashara na hata wakiiga wewe utabaki kuwa muanzilishi. Jaribuni kuwa wabunifu hasa kwenye mavazi yenu. Hii ndio mishono iliyo tuvutia week hii kwa kuonekana unique sio kama mingine
hii ni gauni fupi kashona na koti refu lililo pita kidogo gauni, ni jinsi ambavyo amepangilia hayo maua na kubeba pochi inayo fanana na nguo zake lakini what makes it look so stylish ni mshono na jinsi alivyo vaa viatu vya njano.
Long evening dress iliyo kuwa half backless, tume zoea kuona zile za madukani lakini kitenge ni mara chache watu kutumia design hii ya mishono
mkono mmoja, hii kidogo ni tofauti na nyingine ni the way mkono wake ume wekwa na pia jinsi ambavyo ameibuni chini na kuifanye isiwe ndefu sana.
Jumpsuit hii utafauti wake na nyingine ni miguu ame weka ubunifu flani hivi wa kipekee kizungu ina itwa wide lag pants. unaweza kuiga na kututumia picha pia.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mishono-ya-kitenge-ya-kipekee/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mishono-ya-kitenge-ya-kipekee/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mishono-ya-kitenge-ya-kipekee/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mishono-ya-kitenge-ya-kipekee/ […]