Asilimia kubwa sana ya wadada wanazo hizi pencil skirt za kitenge eidha walishona kwa ajili ya kwendea kanisani au walishona kwa ajili ya sababu maalum lakini hawazivai tena kwa sababu tu wana hisi hakuna sehemu ya kwenda umevaa hio pencil skirt lakini kumbe una weza ku i style katika namna mbali mbali na ukaendea kazini na kupendeza kabisa, tuone namna ambavyo una weza kuistyle hii pencil skirt ya kitenge kwa ajili ya kazini
unaweza kuvaa na off shoulder top ukapendeza pia na hii tume penda alivyo ishona kaweka na style flani nyuma
Unaweza ukainogesha na kikoti chake kwa juu uka toka ki professional zaidi
una weza uka vaa na shati ya jeans uka nogesha na mikufu wadada wana vaa sana hivi siku hizi
Unaweza pia ukavaa na shati ya rangi moja
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/afro-fashion/mitoko-ya-kazini-na-pencil-skirt-za-kitenge/ […]