Inawezekana wakati bado ana mwili mnene Wema alimiss kuvaa skinny jeans kwa maana kwa sasa ndiyo vazi lake kubwa, tunaweza kusema na flat tummy yake na suruali hizi zinamkaa vizuri lakini tatizo linakuja miguuni Wema ana skinny legs ( which is totally okay to have).
Ukiwa na skinny legs ukivaa skinny jeans hazikai vyema hasa kwa sababu zinachora miguu yako ilivyo na kukuonyesha juu mnene chini mwembamba. Hapa
Hii hai-apply tu kwa Wema lakini kama na wewe una miguu mwembamba na hujui uwekeze katika aina gani ya suruali ama suruali zipi zitakupa muonekano mzuri basi hii inakuhusu pia.
- High Waist Wide Legs Trouser
Hizi zinafaa sana iwe una tumbo kubwa au dogo, iwe una tako au lah zinafaa ukizivaa zinakupa proportion tumboni huku ikificha miguu yako kwa kuwa chini ni pana.

- Straight Legged Pants
Hizi ni zile suruali ambazo zipo straight mpaka chini, suruali hizi zinabana mapaja na kuachia chini lakini haziiachii sana kama bwanga hizi ni nzuri katika kuonyesha shape yako lakini pia kuficha wembamba wa miguu yako.

- Mom Jeans
Mom jeans zinafaa sana kama unamiguu mwembamba hizi huwa ni high waist na pia ni straight miguuni kama ambavyo ilivyo kwa bwanga mom jeans zinakupa waist proportion na kuficha miguu yako vyema

Well Afromates ni matumaini yetu tumekusaidia kwa namna moja au nyingine tafadhali tuandikie ungependa tuandikie nini kingine katika segment hii ya AfroFix.
Related posts
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…