Umeshawahi kuangalia mionekano casual ya watu maarufu wamevaa tu t-shirt na jeans lakini wakawa wamependeza ukajiuliza how do they do it? unaweza kukuta wamevaa t-shirt tu nyeupe na blue jeans hata wewe unazo lakini wao waka-stand out, ukabaki unajiuliza wewe unakosea wapi?
Leo tunakuletea tips kadhaa ambazo watu maarufu hutumia ku-level up looks zao hizi:
- Tengeneza nywele na kucha zako
Kitu muhimu ambacho huwa tunasahau ni kwamba kuvaa casual haimaniishi nywele na kucha ziwe rafu, tengeneza kucha na nywele zako vyema kama ambavyo ungetengeneza endapo ungekuwa na mtoko. Ila usije ukatengeneza nywele kama za bibi harusi (lol) just make sure zipo presentable.

- Accessories
Ni muhimu sio kwasababu umevaa casual haimaniishi basi ndio utoke bila accessories kwa namna moja au nyingine huwa zinanyanyua sana muonekano iwe ni miwani, mkufu, hereni, saa, mkanda au handbag.

- Viatu
Kama unaweza kutembelea heels basi unaweza ku-switch from flats to heels lakini kama huwezi basi hakikisha viatu vyako ni visafi, unaweza kuvaa bold color shoes yaani ukaachana na zile black and white ukavaa red au green etc.

Note: A bold lipstick nayo inasaidia sana kunyanyua muonekano wako, na hizi tips si tu kwaajili ya white t-shirt na jeans bali unaweza kuzitumia katika mionekano yako mingine ambayo unaona ipo kawaida basi unaweza kuinyanyua kwa kuongezea vitu hivi vichache.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/afrotipandtricks/how-to-level-up-your-tee-jeans-look/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/afrotipandtricks/how-to-level-up-your-tee-jeans-look/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/afrotipandtricks/how-to-level-up-your-tee-jeans-look/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/afrotipandtricks/how-to-level-up-your-tee-jeans-look/ […]