Mara kwa mara wengi wetu tumekuwa tukikutana na hii hali, ukitoa nguo kwenye kabati kwa sababu mbalimbali utasikia inanuka kama uvundo wengi wanaita harufu ya kabati. Hii inatokana na
- Nguo kukaa kwa muda mrefu kwenye kabati bila ya kutolewa kupigwa na hewa
- Kama kabati liliingia maji au tunaweza kusema mvuke wa kabati
- Kama ulichanganya nguo zilizokauka na zisizokauka vyema
Well haka kaharufu huwa kanakera sana hata upige pass, hata upake perfume bado utakasikia tu. Huwa haiondoki unless uifue au utoe ipigwe na upepo.
Leo tunakuletea njia mbalimbali ambazo unaweza kufanya ili harufu hii isiwepo katika nguo zako au kabati lako
- Tumble Dryer Sheets

Hizi zipo kama wet wipes lakini hizi zinatumika katika kufulia nguo au kuweka chini ya mto, unaweza pia kuziweka katika kabati lako na ukapata harufu nzuri kwenye nguo na kabati lako
- Tumia njia ya kuning’iniza nguo zaidi kuliko kuzikunja
hii inasaidia nguo kupata hewa lakini pia kutokugusana sana na mbao za kabati
- Epuka kuziweka nguo kwenye mbao kabisa
Unaweza kutumia gazeti au kitambaa kwanza chini ya kabati kisha nguo zako zikaja juu ya hilo gazeti/kitambaa incase huo uvundo ukitokea basi utaingia kwanza kwenye kilichopo chini kabla ya kufikia nguo zako.
- Kama kabati lako la milango liache wazi mara kwa mara
Yes kabati nalo linahitaji hewa, unapolifunga joto likazini linatoa mvuke ambao unakuja kusababisha majimaji na kulowanisha nguo ambapo inapelekea kupata uvundo. Liache wazi mara nyingi unavyoweza ili hewa iingie.
- Udi Au Karafuu
Weka Udi au Karafuu kwenye kikopo kisha weka katika kabati lako nyuma au sehemu yoyote iliyojificha harufu zake zitaenea kwenye kabati na nguo.
- Maua ya asumini
hii ilitumika sana zamani lakini kuna wengine mpaka leo wanatumia ni njia rahisi na haina ghrama, weka maua ya asumini machache katikati ya nguo zako zilizopo kwenye kabati, na sahau kuhusu uvundo.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/afrotipandtricks/njia-za-kuondoa-harufu-ya-kabati-katika-nguo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/afrotipandtricks/njia-za-kuondoa-harufu-ya-kabati-katika-nguo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/afrotipandtricks/njia-za-kuondoa-harufu-ya-kabati-katika-nguo/ […]