MAHITAJI
Magimbi/majimbi nusu kg
Nyama (yoyote) nusu kg
Tomato fresh 1
Kitunguu maji 1
Kitunguu saum 1 tsp
Tangawizi mbichi 1 tsp
Chumvi kiasi
Pilipili ya kuwasha (ukipenda)
Bizari ya mchuzi (ukipenda)
Tui zito kikombe 1 mpaka 1 na nusu
NAMNA YA KUPIKA
Ipike nyama pamoja na chumvi, kitunguu saum na tangawizi, tia maji ya kiasi mpaka inawiva ibaki na supu kiasi ,
Menya magimbi yakate kate kiasi yakoshe na yachemshe pembeni kwa dakika 5 yalainike kidogo tu yamwage maji yachanganye pamoja na nyama uliyoichemsha,
Kata kata tomato na kitunguu maji ukipenda visage, tia kwenye sufuria ya magimbi, pamoja na pilipili na bizari ya mchuzi , funika wacha vichemkie supu karibu na kukauka tia tui , funika wacha vichemke na tui mpaka vibaki na rojo kiasi unavyopenda , epua na ENJOY. *ukipenda unaweza kutia bizari nyembamba/uzile na pilipili manga
*sio lazima kuvichemsha ila ni vizuri kuvitoa utomvu.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/afya/futari-ya-magimbi-ya-nazi-kwa-nyama/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 16970 additional Info on that Topic: afroswagga.com/afya/futari-ya-magimbi-ya-nazi-kwa-nyama/ […]