SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

JINSI YA KUTUNZA AFYA YAKO
Afya

JINSI YA KUTUNZA AFYA YAKO 

Afya ni hali ya kuwa vizuri au kujisikia vizuri kimwili au kiakili bila kusumbuliwa na maradhi yoyote, basi ukiwa na hali hiyo wewe ni mtu mwenye afya nzuri. Afya ya binadamu itaimalika zaidi kama atakuwa anafuatilia kanuni na taratibu za kujenga afya

Kuna njia nyingi za kufanya au kutunza afya yako iwe njema na nzuri na kufanya uepukane na magonjwa ya mara kwa mara.

Kuwa muangalifu katika chakula/mlo, hili ni jambo la kwanza katika yale mengi yanayochagia kujenga katika kuimarika zingatia zaidi katika chakula.Maana haiwezekani kuwa na afya nzuri kama hautaweza kuzingatia vyakula vya kula/mlo. Matumizi ya chumvi, sukari,mafuta ya kula,  kupita kiasi yatakufanya ukose afya nzuri.Ni vyema kula zaidi mboga mboga na matunda, kunywa maji zaidi kuliko vinywaji vyenye sukari, pia ni vyema kuwa na taratibu za kubadilisha chakula mara nyingi uwezavyo ili kuweza kujenga afya nzuri.

healthy-eating

Ufanyaji wa mazoezi, tendo la kufanya mazoezi ni tendo muhimu linalopaswa kufanywa na kila rika ili kuendelea kuimarisha afya. Kuna aina nyingi za mozoezi ambazo ni wazi kila rika linaweza kushiriki na kujenga afya kwa wakati. Mazoezi yana faida nyingi katika maisha ya mwanadamu, kutokunenepa au kupunguza unene, kupunguze hatari ya kupata ugonjwa wa presha, kuendelea kuwa mwepesi, kulala vizuri, na hata kuongeza uwezo wa kufikiri kwa haraka. Hivyo ni vyema kutenga muda wako walau kwa dakika 60 kwa siku ukafanya mazoezi ili ujenge afya nzuri.

Kutenga muda wa kupumzika, kitendo cha kuwa na muda mzuri wa mapumziko hujenga afya njema, mara nyingi watu wamekuwa wakifanya kazi kupita kiasi hivyo kitendo cha kukosa muda wa mapumziko basi hupelekea kukosa afya njema.

Usafi, hakika afya njema na nzuri inaambatana na swala zima la usafi. Katika usafi ni vyema kuwa mwanagilifu zaidi katika matumizi ya vitu mbalimbali ni vyema kuhakikisha kama vina usafi wa wewe kuweza kutumia. Kama ukizingatia usafi wa mambo yote hakika utakuwa na afya inayoimarika kila iitwapo leo.

Story Credit @batro15

Related posts

5 Comments

  1. Where to Buy Changa DMT online Brisbane

    … [Trackback]

    […] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/afya/jinsi-ya-kutunza-afya-yako/ […]

  2. tokyomotion 無 修正

    … [Trackback]

    […] Find More on to that Topic: afroswagga.com/afya/jinsi-ya-kutunza-afya-yako/ […]

  3. 코인선물

    … [Trackback]

    […] Info to that Topic: afroswagga.com/afya/jinsi-ya-kutunza-afya-yako/ […]

  4. Fryd carts

    … [Trackback]

    […] Find More here on that Topic: afroswagga.com/afya/jinsi-ya-kutunza-afya-yako/ […]

  5. bio ethanol burner

    … [Trackback]

    […] Find More here on that Topic: afroswagga.com/afya/jinsi-ya-kutunza-afya-yako/ […]

Leave a Reply