KAIMATI ZA MAZIWA YA UNGA
Unga ngano vikombe 2
Maziwa ya unga kikombe 1
Sukari 1 tbsp
Hamira 1 tbsp
Mafuta ya uvuguvugu 2 tbsp
Maji ya uvuguvugu kikombe 1 na nusu mpaka viwili kasrobo
Mafuta ya kuchomea
Tia kila kitu kwenye bakuli changanya vizuri upige kwa mkono kwa dakika 2 hadi 3 kisha uweke sehem uumuke,
Zikiumuka, teleka mafuta yapate moto, chota mchanganyiko kwa kutumia mkono au kijiko kiasi uchome kwa moto wa kiasi zigeuze ziwive vizuri pande zote zitoe ziweke pahala zijichuje mafuta, wacha zipoe
SHIRA
Sukari kikombe 1 na nusu
Maji kikombe 1 na nusu
Iliki ya unga au vanilla essese/arki ya vanilla 1 tbsp
Weka kwenye sufuria vitu vyote ivyo vya shira ipike mpaka ianze kua nzito kiasi (isianze kuganda) iwe nzito kiasi tu iepue ,kaimati zikishapowa zitoe kwenye shira zigaragize vizuri , zitoe ziweke kwenye chombo na ENJOY.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 28964 additional Information to that Topic: afroswagga.com/afya/kitinda-mlo-kaimati/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 6055 more Information on that Topic: afroswagga.com/afya/kitinda-mlo-kaimati/ […]