Ikiwa ni jambo ambalo kila mwanamke ana litaka, hakuna mwanamke anaye penda kuwa na matiti yaliyo lala hasa kama huyo mwanamama bado kijana. Matiti hulala kutokana na mambo mbalimbali kama uvaaji wa blazia muda mrefu, kunyonyesha watoto, utoaji mimba nk, lakini kuna njia za kuyarudisha maziwa ya simame kiasili, rahisi, haiitaji hela nyingi na hazina madhara si kama kufanyia upasuaji na njia hizo ni:
fanya mazoezi yafuatayo kama ionekanavyo kwenye picha, yanaweza kusaidia kurudisha matiti katika hali ya usichana
Pia unaweza kutumia barafu ku massage matiti yako kwa muda wa dakika moja kila siku, massage maziwa yako rounded inaweza kusaidia kusamaisha maziwa yako
Pia unaweza kutumia mchanganyiko wa ute wa yai, vitamin E na mtindi changanya ute wa yai,mtindi na vitamin E upake kwenye ziwa lako na kumassage kwa njia ya round kila siku utapata matokeo kwa muda mchache
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/afya/njia-za-kusimamisha-matiti-yaliyo-lala/ […]