Vipimo
Viazi – 3lb
Nyama – 1lb
Kitunguu – 1
Nyanya – 2
Kitunguu saumu(thomu/galic) – 1 kijiko cha chai
Manjano – ½ kijiko cha chai
Curry powder – ½ kijiko chai
Nyanya kopo – 1 kijiko cha chai
Pilipili ya unga kiasi upendavyo
Chumvi kiasi
Kidonge cha supu -1
Tui la nazi – 1 kopoau zaidi
Mtindi ukipenda – 3 vijiko vya supu
Kotmiri – kiasi ya kupambia
Nazi ya unga – 4 vijiko vya supu
Mafuta – 2 vijiko vya supu
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
- Kata nyama vipande vipande kisha chemsha na chumvi mpaka iive.
- Menya maganda viazi na ukate slice kubwa weka pembeni
- Kata kata kitunguu kisha kaanga na mafuta mpaka vibadilike rangi
- Tia thomu, bizari ya manjano, pilipili ya unga, nyanya kopo
- Kata kata nyanya nzima vipande vidogo tia na kidonge cha supu.
- Kisha tia viazi, nyama na tui la nazi finika mpaka viazi viwive lakini visiwe vikavu.
- Tia mtindi na nazi ya unga kama vijiko 4 vya supu iache motoni kidogo kisha pakua, tupia kotmiri juu na itakuwa tayari kuliwa..
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/afya/viazi-vya-nazi-kwa-nyama-ya-ngombe/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/afya/viazi-vya-nazi-kwa-nyama-ya-ngombe/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 7895 more Info on that Topic: afroswagga.com/afya/viazi-vya-nazi-kwa-nyama-ya-ngombe/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/afya/viazi-vya-nazi-kwa-nyama-ya-ngombe/ […]