Kukabiliana na kipindi hiki cha mwezi huwa ngumu w kwa mwanamke yeyote k, lakini mambo machache yanaweza kuleta tofauti kubwa linapokuja suala la kufanya hedhi yako iwe rahisi kukabiliana nayo.
Mfano ukiwa unajua siku zako na kuanza kujiandaa mapema itakuletea urahisi lakini pia namna nyingine ya kukabiliana na hali hii ni kubeba vitu sahihi, tunajua kila hedhi huja kitofauti hii inakuwa na hasira hii na furahi, hii inaweza kuwa chache na nyingine nyingi basi hivi vitu vichache vitakavyo kusaidia kufanya hedhi yako iende kwa urahisi:
Pad Ya Ziada
Hakikisha kwenye handbag yako una pad ya ziada maana inaweza kuanza muda wowote au kuchafuka ikakubidi ubadilishe pad yako, ukiachana na sababu hii ya kuchafuka pia ina shauriwa ki-afya ubadilishe pad kila baada ya masaa 3-4.
Extra Panties / Clothes
Kwa wale ambao tunaenda maofisini au mizungukoni ni vyema ukabeba nguo ya ndani ya ziada na vazi la nje la ziada incase ukichafuka uweze kubadilisha.
Disposable Bag / Tissue
Unapokuwa hedhi na unataka kubadilisha pad yako unaweza kwenda sehemu hawana vyoo vya kuchuchumaa na dustibin ni vyema ukabeba kijimfuko kidogo ambacho utawekea pad yako chafu lakini pia unaweza kuweka humo ndio utupe, hii itakufanya uwasaidie na wengine hasa wale wasafisha vyoo kutokuona damu zako.
Dawa
Hedhi huwa hazina utaratibu maalum unaweza kuumwa mwanzo, katikati au hata mwisho wa hedhi inakuja tu yenyewe inavyojisikia ni vyema ukawa na dawa mfukoni pale inapotokea unaumwa unaweza kijitibu.
Perfume
Hedhi zinaweza kuwa smelly at times na wengine kipindi hiki wanakuwa na kiarufu kisicho ridhisha basi beba manukato yako pale unapojihisi una sikia harufu sio nenda uwani jisuuze kisha ujipulizie perfume. Kama harufu yako inatoka kwenye makwapa na hauna namna ya kuoga basi beba wet wipes jifute na ujipulizie manukato.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…