Anaitwa Jasline Gerald A.K.A Jazylarry ni model (mwanamitindo) anae chipukia kutoka Tanzania, Jazy ana ndoto kubwa ya kufanya kazi na kampuni ya BALMAIN, leo tupo nae katika Ana Kwa Ana tukitaka kujua mawili matatu kutoka kwake
Afroswagga –Wengi tunakujua kama jazylarry jina ambalo unatumia katika mitandao ya kijamii tunaomba utumbie hasa una itwa nani na historia yako kwa ufupi.
Jazzy-Naitwa jazyline Gerald lusingu ..ni mtoto wa kwanza kwenye familia ya watoto tatu ..naishi na wazazi wote wawili…
Afroswagga – kwanini uana mitindo?
Jazzy – nikitu ninacho kipenda since I was a kid …
Afroswagga – mwaka gani ilikua mara yako ya kwanza kuanza kazi hii?
Jazzy – was 2013 the year I finish form4
Afroswagga – ulijisikiaje mara ya kwanza ulipo fanya fashion show au photoshoot?
Jazzy – hahah kwanza nilikua naogopa kwandani lakin ..in out side unaweza kuona Kama mzoefu..(being confidante help me)
Afroswagga- Ugumu gani uliupata ulipo anza kufanya mitindo?
Jazzy – ugumu ..ulikua yaweza tokea show wabunifu wakaja nanguo waka wapa models wanao wajua ..nyie wengine mpaka zitakazo baki..
Afroswagga – Je ni rahisi kufanya kazi na wabunifu wa kubwa? na mbunifu yupi ambae una ndoto za kufanya nae kazi?
Jazzy – I can say it isn’t hard as long you keep it professional, you do your work to their expectation and at the end of the day you both happy that’s all that matters .. Ally Rehemtulah..OLIVIER.R.,and BALMAIN…
Afroswagga – wazazi wako walichukuliaje wakati unaanza kazi hii?
Jazzy- my parents 1st they support me on that …na waliichukulia ni moja kati ya vipaji nilivyo navyo japo kunawakati its hard .Kama kurudi nyumbani after show late night..
Afroswagga – una fanya kitu gani ku maintain umbo lako?
Jazzy – .nafanya mazoezi (yakawaida,na dance, play basketball)
Afroswagga – Tupe kidogo dondoo za urembo unazo zifanya kila siku
Jazzy – hahah dondoo hakuna jipya zaidi ..najipenda..I care about everything.. Kwanzia ngozi, kula na mavazi.
Afroswagga – Chochote ambacho ungependa kuwaambia wabunifu, wanamitindo na wa Tanzania kiujumla.
Jazzy – kuusu ubunIfu bado tupo nyuma kidogo nguo zetu zina vutia (kuvuma ) kwa muda mfupi…ndomaana hatuna soko kubwa au kujulikana kimataifa …Na Tanzania kuna wasichana wazuri sanaaa ambao tunaweza kuitangaza Tanzania vizuri kwenye tasnia ya urembo .. Na urembo si uhuni ukijua unacho kifanya na unamalengo Gani huto potea.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/ana-kwa-ana/urembo-si-uhuni-maneno-kutoka-kwa-jasline-gerald/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/ana-kwa-ana/urembo-si-uhuni-maneno-kutoka-kwa-jasline-gerald/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 82578 additional Info on that Topic: afroswagga.com/ana-kwa-ana/urembo-si-uhuni-maneno-kutoka-kwa-jasline-gerald/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/ana-kwa-ana/urembo-si-uhuni-maneno-kutoka-kwa-jasline-gerald/ […]