Halima Yahya Bonnet Zina Mahali Pake
Kiukweli bonnet ni msaada mkubwa sana, hasa kwenye mizunguko midogo midogo kama hujasuka au nywele haziko sawa unaweza kuivaa tu ukatoka. Lakini bonnets hazifai kwenye mahali ambapo ni event ya maana, last week tumemuona muigizaji Halima Yahya wengi tunamjua kama Davina akiwa Dodoma, Halima alionekana…
Wema Tema Big G, Irene Paul Atisha
Kama ilivyo kawaida week hii katika segment ya fundi tupo na waigizaji Wema Sepetu pamoja na Irene Paul, Week iliyopita kulikuwa na event mbalimbali ambapo watu maarufu wengi walihudhuria event hizo, kati ya event zilizokuwepo moja wapo ni The Orange Concert ambayo hii walitoa Tuzo…
Namna Irene Kiwia Anavyo Show Off Mvi Zake
Irene Kiwia si jina geni sana kwa wale wapenzi wa mitindo na fashion, miaka kadhaa nyuma aliwahi kutikisa Nchini mwetu baada ya kunyakuwa taji la ‘Face of Africa’ lakini pia Kiwia, aliwahi pia kubeba taji la Miss Temeke mwaka 2000, ambapo mwaka huo alimaliza kwenye…
Dressing The Baby Bump For Night Out Outfit Ideas From Vera Sidika
Hakuna kitu kinasumbua kichwa kama kuchagua vazi la kuvaa hasa katika mitoko ya usiku, sasa imagine unamtoko wa usiku halafu umjamzito hapo ndipo kichwa kitakapo waka moto na kuamua usiende kabisa kwenye huo mtoko. Leo tumewakumbuka mama vijacho tunawaleta mavazi ambayo unaweza kuvaa ukiwa unatoka…
Marioo,Diamond Na Watu Maarufu Wa Kiume Hawajui Kuhusu Utunzaji Wa Mikono
Usafi wa mikono ni muhimu sana kwa binadamu, iwe mtu maarufu au wa kawaida, uwe wa kike au wa kiume wote tunatakiwa kuwa na mikono misafi, mikono misafi haichagui jinsia wala umri. Katika pitapita zetu kwenye mitandao ya kijamii tumeona wasanii wetu wakijitahidi kuvaa vyema,…
Maoni Ya Fahvanny Juu Ya Vazi La Tems Kukosolewa
Usiku wa kuamkia Jumatatu kulikuwa na Tuzo kubwa za Oscar, Tuzo ambazo zilihudhuriwa na watu maarufu mbalimbali walioalikwa, mwanamuziki kutoka Nigeria, Tems nae alihudhuria hafla hii akiwa amevalia vazi lake zuri lakini lilipata feedback mbaya kutokana na headpiece kuwaziba kuona waliokuwa nyuma yake. Well tumepokea…
Blac Chyna Kuondoa Breast & Butt Implants
Mwanamitindo na mjasiriamali Blac Chyna ameingia katika vichwa vya habari baada ya kutangaza kuondoa implants zake za butt na maziwa, Blac Chyna ni moja kati ya watu maarufu wengi waliobadilisha miili yao miaka kadhaa nyuma lakini pia ni moja kati ya watu maarufu wengi ambao…
Cartoonish Shoes Are The New It
Kama mwaka jana tulisema tumechoka na viatu vya midoll basi tujue mwaka huu tunavyo ila hapa ni kwa design nyingine, seems like foot wear companies wameamua kutengeneza viatu vinavyo kuwa inspired na cartoons. Mwezi wa pili mwanzoni tuliona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia boots nyekundu,…
Je Hili Ni Jibu La Zuchu Kwa Miss Tanzania Organization?
Week chache zilizopita mwanamuziki Zuchu alipewa onyo na kampuni ya The Look ambayo inasimamia mashindano ya Miss Tanzania, Onyo hili lilitokana na mwanamuziki huyu kutumia Sash yenye maandishi ya Miss Tanzania, ambapo kampuni hio ilisema kuvaa Sash yenye maandishi hayo ni “kuiba na kupotosha utambulisho…
Idris Sultan MisMatched Shoes Saga
Muigizaji, mchekeshaji, radio host na mshindi wa Big Brother Africa-Hotshots, 2014 Idris Sultan amekuwa gumzo huko mitandaoni kutokana na uchaguzi wake wa viatu katika hafla ya Uwekezaji Day 2023 amabyo iliandaliwa na bank ya CRDB. Idris alikuwa moja kati ya waalikwa katika hafla hio na…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…