SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Mitindo

The Denim Knee High Covers Trend 

Kama kuna kitu tunajua kwa hakika ni kwamba kila mwaka denim (jeans) lazima i-trend na kwa namna za kipekee kabisa, kulikuwa na skin jeans, zikaja mom jeans, tukaenda kwa distressed jeans, kukawa na deconstructed jeans na sasa tumehamia kwenye denim knee high covers. Denim knee…

Mitindo

Gele Ideas You Should Wear On Your Next Event 

Kutafuta m’bano kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe huwa ni stress, kuna wale wasiopenda mambo mengi, ukisuka rasta inachukua muda na labda umechoshwa na wig na weavings basi m’badala wa hivi ni kufunga vilemba ambavyo wengi tunaviita vya ki-Nigeria lakini jina lake kabisa ni Gele,…

Urembo

Does Your Skin Break Out Before It Clears Up? 

Umeshawahi kuanza kupaka kipodozi kisha ngozi yako ikaharibika zaidi ya ilivyokuwa mwanzo? Yes hii huwa inatokea na mara nyingi wengi wetu huwa tunachukulia hii kama dalili ya kipodozi kutokutupenda au ku-fail. Leo tunakuletea au kukufahamisha juu ya Skin Purging, Skin Purging hii ni pale unapoanza…

Mitindo

How To Stop Being Fashion Regular 

Tunapo ongelea kuwa regular ni vile kuwa sawa na kila mtu, well kila mtu anaweza kuvaa t-shirt na jeans au kuvaa gauni plain na high heels na kutembea njiani hii ndio inaitwa fashion regular, lakini how do you stop this na kuwa wa pekee (…

Mitindo

How to Feel Confident In Your Clothes 

Usikubali watu wakupangie cha kuvaa wewe ndo unayechagua cha kuvaa so wear them with pride. Asikuambie mtu hakuna kitu kizuri kama ukifeel confident na comfortable in your clothes na huu ndio muda wakujisikia vyema ukiwa umevalia mavazi yako. Wewe ndio best vision of yourself kwaio…

Urembo

Lulu Diva Na Muwasho Wa Wig 

Mwanamuziki, mtangazaji na muigizaji Lulu Diva ameonekana katika kipindi cha Mr. Right hivi karibuni akiwa anajipiga piga kichwa hii ni ishara ya kwamba wig yake ilikuwa ina muwasha na alikuwa ana jaribu kupunguza muwasho huo. Kwa msanii mkubwa kama yeye hii hali haileti picha nzuri…