Cyrill Kamikaze Rocking Gucci Rubber Buckle Strap Sandals Zenye Thamani Ya Tsh 1,136,310
Mwanamuziki wa bongo fleva Cyrill Kamikaze ameonekana akiwa amevalia hizi Gucci Rubber Buckle Strap Sandals zinazouzwa USD 490 ambapo ni sawa na Tsh 1,136,310. Utasema hizi si chacha? oh yes ni chacha ambazo zimekuwa branded na kuongezewa urembo na logo ya Gucci. Well Afromates je…
Men Purse Trend By Diamond Platnumz & Stylist Noel Ndale
Zamani wanaume walikuwa wanabeba laptop bags na wallet tu, lakini sasa hivi tunaweza kuona wanaume wakiwa wamevalia fanny packs kiunoni, kubeba men handbags na sasa tunaona wana murse au men purse. Je Ni Sawa Mwanaume Kubeba Mkoba Tuna support men in wearing anything they’d like,…
Style Ya Nywele Ya Kidoti Inavyo Haribu Nywele Zako
Hii style imekuwa maarufu sana, ni style rahisi kuibana lakini pia ni style ambayo unaweza kwenda nayo popote iwe kazini, kwenye mitoko ya kawaida na sehemu nyingine mbalimbali. Kutokana na urahisi wake wa kubana na kuwa useful wengi wetu tunapenda kuitumia mara kwa mara, lakini…
Wasanii Jifunzeni Kutoka Kwa Jlo, Lagy Gaga Na Demi Lovato
Jana ilikuwa siku ya kuapishwa kwa rais mpya wa marekani Dr. Joe Biden, watu maarufu mbalimbali walialikwa kutumbuiza katika sherehe hiyo. Watu kama Lady Gaga, Jennifer Lopez na Demi Lavato walitumbuiza katika siku hio, na kilicho tuvutia mpaka tukafikia kuandika hili andiko ni mavazi yao….
Reviewing Zuchu New Song Cover
Zuchu ni msichana mdogo na we can tell kwamba anapenda ku-explore vitu vipya na kujaribu kufikiri nje ya box. Ametoa wimbo mpya uliopewa jina “sukari” na kwa hype ya huu wimbo tulikuwa tunasubiri kwa hamu kuona video yake kwa bahati mbaya kwa sasa ame-release audio…
Mavazi Yanayofaa Kwa Wenye Maziwa / Matiti Makubwa
Kila binadamu ana kitu ambacho kimepungua au kuzidi mwilini mwake, kuna wale ambao wana matiti madogo, kuna ya wastani na kuna ambao tunayo makubwa, Ikiwa tulisha ongelea kuhusu matiti madogo leo tumeona tutoe Tips za wenye makubwa, mtajiuliza kwanini tumeruka kwenye wastani? kawaida mavazi mengi…
How To Look Chic Wearing Dad Sneakers Courtesy Of Toke Makinwa
Dad / Ugly sneakers zili-trend sana mwaka jana 2020, watu maarufu wengi walionekana kuzivalia lakini pia hata wasio maarufu ambao walipenda mtindo huu wa viatu walivinunua. Kama kawaida ya trend huwa inakuja na kuondoka kwa sasa hazionekani sana, lakini kama unavyo kabatini haimaanishi usivivae kwa…
6 Times Ms Doris Showed Us How To Style Strap Dress With Shirt Underneath
Doris ni fashionista kutoka Tanzania ambae utampata instagram kwa nickname yake ya ms_ris_eddy Ni moja kati ya fashionistas ambao Tanzania ina pashwa kujivunia, yaani sio yule wa fashion za trend Doris yupo kipekee anajua kujistyle. Well leo tumekuletea mara 6 ambazo Doris ametuonyesha namna ya…
Kamala Harris Vogue Cover Outfit Created Buzz On The Internet
Vice President – Elect wa U.S.A, Kamala Harris ametokea kwenye Vogue Cover ya February kama Cover star wao. Ikiwa tumezoea kuona powerful looks kutoka kwenye issues za Vogue kwa Kamala imeonekana kuwa tofauti kidogo ambapo alionekana akiwa amevalia casual outfit, black jacket na matching trouser…
Anerlisa Turned 33 In Elisha Red Label Dress
Incase hujamjua Anerlisa ni nani, Anerlisa ni CEO wa Nero ni mfanyabiashara kutoka Kenya lakini pia ni mke wa mwanamuziki Ben Paul kutoka Tanzania. Jumamosi Anerlisa alisheherekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ndani ya gauni jekundu kutoka kwa mbunifu Elisha Red Label kutoka Tanzania. Ilikuwa…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…