Reception / Wedding Guest Dresses Inspiration From Chioma Ikokwu
Anaitwa Chioma Ikokwu au Chiomagoodhair ni mfanyabiashara na wakili kutoka Nigeria lakini pia ni fashionista mzuri tu huwa hanaga kazi mbovu anajua anachofanya. Leo tunakuleta looks chache zilizotuvutia kutoka kwake ambazo na wewe unaweza kuiga iwe ni reception dress au wedding guest dress. well tuambie…
Tip Ya Kuondokana Na Vidole Kutokeza Nje Ya Kiatu
Vidole kutokeza nje ya kiatu hukupa muonekano mbaya, inawezekana umenunua viatu vinakutosha vyema ila ukavivaa ukiwa umepaka lotion miguuni kwenye sole viatu vikawa vinateleza au inawezekana una tatizo la jasho miguuni ambayo nayo husababisha miguu kuteleza kwenye viatu na sababisha vidole vitokeze mbele,either way tuna…
Vitu 5 Vinavyofanya Muonekano Wako Uonekane Cheap
Unaweza kuvaa vitu expensive au hata vya bei rahisi ukapendeza, lakini kuna vitu ambavyo ukivivaa au ukavifanya hata kama ukiwa umevaa vazi la mamilioni bado unaonekana cheap. Yes na wengi wetu huwa tunajisahau na kufanya haya makosa. Nywele mbaya Nywele zinaweza kufanya muonekano wako kutoka…
Ginger Orange Curly Hairstyle Inavyo Trend Kwasasa
Kuna mitindo mbalimbali ya nywele ina trend kwasasa, lakini ambao tumeuona unashika kasi ni hii wig ya rangi ya ginger orange. Tumewashuhudia watu maarufu mbalimbali wakiwekwa style hii hatujajua imetokea bahati mbaya, wanaigiana au kuna brand inatoa nywele hizi kwaajili ya kutangaziwa. Anyways tumewaona watu…
4 Fashionable Ways To Go Broke As A Woman
Katika Dunia kuna namna unaweza kufilisika lakini in a way mwenyewe unaona kwamba ni sawa sisi tunaita fashionably broke, kwamba unakuwa huna pesa lakini unaonekana vyema kimuonekano, which kimuonekano inaweza kuwa sawa ila kwa ndani si sawa. Leo tunakuletea namna 4 unaweza kuwa fashionably broke…
How To Level Up Your Tee & Jeans Look
Umeshawahi kuangalia mionekano casual ya watu maarufu wamevaa tu t-shirt na jeans lakini wakawa wamependeza ukajiuliza how do they do it? unaweza kukuta wamevaa t-shirt tu nyeupe na blue jeans hata wewe unazo lakini wao waka-stand out, ukabaki unajiuliza wewe unakosea wapi? Leo tunakuletea tips…
Mkono Upi Sahihi Wa Kubeba Handbag?
Hatudhani kama ulishawahi kujiuliza mkono upi sahihi kubebea handbag yako, kwasababu wengi tunajua kubeba handbag kiurahisi ni kuibebea mkono wa kulia. Je wajua mkono huu si sahihi kubeba handbag? Handbag inatakiwa kubebwa mkono wa kushoto, utajiuliza kwanini? wataalamu wanasema kubeba handbag mkono wa kushoto kunakupa…
Pixie Cut Hair Style Is Having A Moment
Pixie cut hair style ni moja ya style ya nywele ambayo ni timeless na ni rahisi kui-maintain, style hii ya nywele inaweza kuwekwa na mwenye umri yoyote na ni moja ya style ambayo inakufanya u-standout. Well kwasasa hapa Nchini kwetu tumeona inaanza kushika trend ambapo…
Giuseppe Zanotti Watangaza Kurudisha Cruel Iconic Heels
Remember this ?? Hiki kiatu ilituletea shida na copy za kichina zikawa kibao mtaani . Waliofanikowa kuvaa OG wabaki na heshima yao maswali kibao lakini kiukweli kwa Tanzania hii labda wasio na majina ambao hawajulikani ila ma star wetu wengi walitred kwa kuvaa copy za…
Kim Kardashian Kikaangoni Tena
Mfanyabiashara Kim Kardashian ameingia kwenye headlines tena kwa kuharibu Marilyn Monroe’s Iconic dress aliyoivaa kwenye Met Gala ya mwaka huu, kama una kumbukumbu nzuri Kim Kardashian alisema amejikondesha ili tu atoshe kwenye gauni hio, lakini ikaja kusikika kwamba hakuweza kuingia na gauni ilichanika ikabidi avalie…
HOT TOPICS
The Hardest Part Of Being A Nigerian Bride Is To Comeup With A Bride Look That Wont Match With Any Of The Guest’s A… https://t.co/8vfNPS0IYg
FollowItaly Kumekucha Afromates #TheKardashian #TheKardashian wapo huko kwaajili ya the wedding of the year. Haya mnasubiri lo… https://t.co/kENoAG9RQg
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…