Vitu Unavyoweza Kufanya Weekend Vikasababisha Skin Breakout
Umeshawahi kuwa na ngozi nzuri week nzima kisha unaanza jumatatu yako na ngozi ambayo huelewi? unaanza kujiuliza hizi rashes nimetoa wapi au mbona ngozi yangu imeharibika ghafla? Hii hutokana na mambo kadhaa ambayo tunayafanya weekend na yanaweza kuwa chanzo cha skin breakout Tunajua kutokupata usingizi…
The Denim Knee High Covers Trend
Kama kuna kitu tunajua kwa hakika ni kwamba kila mwaka denim (jeans) lazima i-trend na kwa namna za kipekee kabisa, kulikuwa na skin jeans, zikaja mom jeans, tukaenda kwa distressed jeans, kukawa na deconstructed jeans na sasa tumehamia kwenye denim knee high covers. Denim knee…
Gele Ideas You Should Wear On Your Next Event
Kutafuta m’bano kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe huwa ni stress, kuna wale wasiopenda mambo mengi, ukisuka rasta inachukua muda na labda umechoshwa na wig na weavings basi m’badala wa hivi ni kufunga vilemba ambavyo wengi tunaviita vya ki-Nigeria lakini jina lake kabisa ni Gele,…
Does Your Skin Break Out Before It Clears Up?
Umeshawahi kuanza kupaka kipodozi kisha ngozi yako ikaharibika zaidi ya ilivyokuwa mwanzo? Yes hii huwa inatokea na mara nyingi wengi wetu huwa tunachukulia hii kama dalili ya kipodozi kutokutupenda au ku-fail. Leo tunakuletea au kukufahamisha juu ya Skin Purging, Skin Purging hii ni pale unapoanza…
How To Stop Being Fashion Regular
Tunapo ongelea kuwa regular ni vile kuwa sawa na kila mtu, well kila mtu anaweza kuvaa t-shirt na jeans au kuvaa gauni plain na high heels na kutembea njiani hii ndio inaitwa fashion regular, lakini how do you stop this na kuwa wa pekee (…
How to Feel Confident In Your Clothes
Usikubali watu wakupangie cha kuvaa wewe ndo unayechagua cha kuvaa so wear them with pride. Asikuambie mtu hakuna kitu kizuri kama ukifeel confident na comfortable in your clothes na huu ndio muda wakujisikia vyema ukiwa umevalia mavazi yako. Wewe ndio best vision of yourself kwaio…
Lulu Diva Na Muwasho Wa Wig
Mwanamuziki, mtangazaji na muigizaji Lulu Diva ameonekana katika kipindi cha Mr. Right hivi karibuni akiwa anajipiga piga kichwa hii ni ishara ya kwamba wig yake ilikuwa ina muwasha na alikuwa ana jaribu kupunguza muwasho huo. Kwa msanii mkubwa kama yeye hii hali haileti picha nzuri…
Viatu Vya Kuvaa Endapo Una Miguu Mwembamba
Linapokuja swala la mitindo uwiano wa umbo la mwili huwa ni muhimu sana, wengi hatupo perfect kuna flaws za hapa na pale, leo tunaongea na wale wenye miguu mwembamba, je unawezaje kuweka uwiano kati ya miguu na miguu yako kwa kutafuta viatu vinavyo weza kuongeza…
Mavazi Yako Ya Kulalia Yanavyo Athiri Usingizi Wako
Kuvaa mavazi / nguo ambazo zinaachia wakati wa usiku ni muhimu hasa katika mzunguko wa damu lakini pia kuifanya ngozi ipumue, kuvaa mavazi yanayo bana kama tight, mavazi yenye elastic kiunoni au tops za kubana zinaathiri mzunguko wako wa damu na kutatiza uwezo wako wa…
Zari The Boss Lady Kafa Na Fashion Katika Hili Vazi La Airport
Zari alitembelea Tanzania weekend iliyopita ambapo alikuwa ana fanya appearance kwenye party huko mjini Dar Es Salaam, well tuliona alienda kupokelewa airport na kilicho tuvuta kwake ni huu muonekano wake yaani mavazi aliyoyavaa. Sote tunakubaliana kwamba ukiwa safarini unatakiwa kuvaa mavazi ambayo yapo comfortable ikiwa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…