Nandy Channeling Her Inner Beyonce In This Red Outfit
Faustina Charles Mfinanga wengi tunamjua kama Nandy au The African Princess, week hii ameonekana ku-channel Mrs. Carter ( Beyonce Knowles ) kwenye hii red outfit. Beyonce alianza kuivaa kwenye OTR 11 Tour, ambapo alivaa red bodysuit with matching thigh-high boots na kofia. Ambapo tulimuona Nandy…
Fahamu Kuhusu Capsule Wardrobe
Unapoanza kubadilisha style au kuboresha style ni muhimu kuanza na capsule wardrobe. Unaweza kuitengeneza kwa nguo mpya, za zamani au mix ya nguo mpya na za zamani. Capsule wadrobe ni set ya nguo chache za msingi unazoweza kuvaa zenyewe kama zenyewe au na nguo nyingine….
Bijoux Trend Celebrates Culture In Her 2021 Campaign
We love when a designer steps outside the box, mara nyingi wabunifu wakitoa collection zao hawajisumbui kufanya vitu vingine kuendelea kutangaza collection zao hizo. Fashion Campaign ni namna mojawapo ambayo inamuwezesha mbunifu kutangaza collection yake, zipo namna mbalimbali za kufanya campaign hizi, kwa kuchagua aina…
NAMNA 5 ZA KUDUMISHA NYWELE ZENYE DAWA
Wengi wetu huwa tuna dhani kuweka dawa na kufanyia steaming ndio kutakuza na kufanya nywele zetu kuwa na afya, hivyo utakuta mtu ana weka dawa kila baada ya mwezi na kufanyia steaming kila baada ya week mbili. Hii ndio husababisha nywele kunyonyoka na kutokua na…
Matumizi Ya Loop / Vikamba Vya Ndani Ya Nguo
Inawezekana umeshawahi kukutana na hivi vikamba ambavyo vinawekwa ndani ya nguo na ukawa huelewi vinakazi gani. Huwa vinakera na wengi wetu huwa tunaishia kuvikata. Well vikamba hivi vinatumika katika kuning’inizia nguo katika hanger, kama vazi lako ni strapless, sleeveless, off shoulder, skirt au suruali basi…
4 Times Fashionista Ayanda Thabethe Showed Us How To Style Crop Top’s
Hali ya hewa inaruhusu kuvaa crop top’s ( sio barabarani though). Kwetu huu uzungu bado haujafika wa kutembea kitovu nje barabarani japo haimaanishi hatuwezi kuvaa sehemu nyingine kama club, beach, movie theaters au sehemu za kujinafasi ( again usivae hivi kama unapanda daladala au community…
Cyrill Kamikaze Rocking Gucci Rubber Buckle Strap Sandals Zenye Thamani Ya Tsh 1,136,310
Mwanamuziki wa bongo fleva Cyrill Kamikaze ameonekana akiwa amevalia hizi Gucci Rubber Buckle Strap Sandals zinazouzwa USD 490 ambapo ni sawa na Tsh 1,136,310. Utasema hizi si chacha? oh yes ni chacha ambazo zimekuwa branded na kuongezewa urembo na logo ya Gucci. Well Afromates je…
Men Purse Trend By Diamond Platnumz & Stylist Noel Ndale
Zamani wanaume walikuwa wanabeba laptop bags na wallet tu, lakini sasa hivi tunaweza kuona wanaume wakiwa wamevalia fanny packs kiunoni, kubeba men handbags na sasa tunaona wana murse au men purse. Je Ni Sawa Mwanaume Kubeba Mkoba Tuna support men in wearing anything they’d like,…
Style Ya Nywele Ya Kidoti Inavyo Haribu Nywele Zako
Hii style imekuwa maarufu sana, ni style rahisi kuibana lakini pia ni style ambayo unaweza kwenda nayo popote iwe kazini, kwenye mitoko ya kawaida na sehemu nyingine mbalimbali. Kutokana na urahisi wake wa kubana na kuwa useful wengi wetu tunapenda kuitumia mara kwa mara, lakini…
Wasanii Jifunzeni Kutoka Kwa Jlo, Lagy Gaga Na Demi Lovato
Jana ilikuwa siku ya kuapishwa kwa rais mpya wa marekani Dr. Joe Biden, watu maarufu mbalimbali walialikwa kutumbuiza katika sherehe hiyo. Watu kama Lady Gaga, Jennifer Lopez na Demi Lavato walitumbuiza katika siku hio, na kilicho tuvutia mpaka tukafikia kuandika hili andiko ni mavazi yao….
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…