Tems Akosolewa Na Vazi Lake Hili Katika Tuzo Za Oscars 2023
Mwanamuziki Tems kutoka Nigeria aliwakilisha Nchi yake pamoja na Africa kwaujumla katika Tuzo za Oscars 2023, Tems alikuwa nominated katika tuzo hizo kupitia wimbo alioufanya na mwanamuziki Rihanna “lift me up” ambao ulitumika katika movie ya Black Panther. Tems alihudhuria Tuzo hizo akiwa amevalia white…
Red Carpet Looks From The Oscars 2023
Tuzo za βThe Oscarsβ ni Tuzo hutolewa kwa artistic na technical merit waliopo katika tasnia ya filamu, Watu maarufu mbalimbali ambao wapo kwenye Tasnia hii hualikwa na kuhudhuria hafla hii ya ugawaji Tuzo, well kwa mwaka huu imefanyika usiku wa kuamkia leo na tupo hapa…
Selfcare Ideas To Try This Weekend
Inawezekana umeshakutana na hili neno huko mitandaoni lakini hujajua maana yake ni nini “Selfcare”, Selfcare ni hatua za kuchukua muda kujiangalia/kujihudumia wewe mwenyewe, mara nyingi huwa tunajisahau tunaangalia afya za wengine kuliko sisi wenyewe au tunaweka muda wetu mwingi kwenye kazi/biashara/kutafuta pesa na mahitaji mengine…
Date Outfit Ideas From Juma Jux And Karen Bujulu
The weekend is here inawezekana una plans za kutoka na mwenza wako, lakini hujui uvae nini unapoenda, well kuna date’s za aina tofauti tofauti kuna za casual, business na zile romantic zote hizi zina mitoko yake kutokana na sehemu mnayoenda. Leo tunawaangalia couple mpya kabisa…
Umuhimu Wa Kusoma Maelekezo Katika Kipodozi
Tunapoenda kwenye maduka ya vipodozi kununua vipodozi muuzaji atakwambia tu hiki kizuri kinafaa kwa ngozi yako, unakinunua na moja kwa moja unaanza kukitumia bila ya kusoma maelekezo yake ni vipi kinatakiwa kupakwa. Ndani ya box la vipodozi kunakuwa na karatasi ambayo inatoa maelekezo yote ya…
Miss Tanzania Halima Kopwe Na Maandalizi Ya Kwenda Miss World
Mei 20, 2022, mrembo Halima Kopwe alivikwa taji la kuwa Miss Tanzania, Halima amekuwa moja kati ya ma-miss wanao fanya vizuri kwakuwa tunamuona akishiriki events mbalimbali Nchini ziwe za kusaidia Nchi au majukwaa ya urembo, akiwa anajiandaa kwenda Miss World tumefanikiwa kufanya nae mahojiano kutuelezea…
Ombre Color Wig/Weaving Trend
Mpaka sasa hii ni moja ya trend kuiona mwaka huu wa 2023, mwaka umeanza na styles nyingi lakini ambayo tumeona ina jirudia hapa Nchini kwetu na Nje ya Nchi nii style ya ombre wig / weaving hair style. Ambapo style hii ni kwamba nywele inakuwa…
Zuchu Apewa Onyo Kwa Kutumia Sash Ya Miss Tanzania
Kampuni iliyopewa kibali cha kusimamia mashindano ya Miss Tanzania “The Look” imetoa onyo kutumia “Sash” yenye jina / maandishi ya “Miss Tanzania”, Kampuni hii ilitumia Official Page yao ya instagram kutoa onyo hilo, Onyo hili limekuja baada ya mwanamuziki Zuchu kutoa wimbo wake mpya unaitwa…
Namna Ya Kutayarisha Stylish Outfit Za Week Nzima
Kama wewe ni mmoja kati ya wale ambao tunaamka asubuhi na kuanza kufikiria tuvae nini, mwishoe tunaishia kuvaa chochote ili mradi tumevaa au kuishia kuchelewa tuendapo kwa sababu tu hatukuwa tumejitayarisha mapema. Asikudanganye mtu a good & stylish outfit takes time to create, ni wachache…
Beauty Looks From Last Week
Linapokuja swala la makeup watu maarufu huwa hawa-play games, the face must serve hata kama outfit itakuwa ya kawaida lakini sura lazima iwe vyema kabisa, iwe ni simple makeup au bold makeup look. Week iliyopita tumewaona watu maarufu mbalimbali waki-serve glam looks akiwepo Fahyma, Hamisa…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se⦠https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…