SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

ThrowBack

TBT NA MARTIN KADINDA 

Martin Kadinda aliianza safari yake katika ulimwengu wa mitindo 2007-2010 kama mwanamitindo wa jukwaani na si mbunifu katika safari yake hio aliwahi kushinda tuzo kama mwanamitindo mwenye kipaji zaidi (2008) wakati (2010) alishinda tuzo ya mwanamitindo bora wa kiume. Baada ya hapo akaamua kubadilisha uelekeo ambapo…

Mitindo

ALLY REHMTULLAH X PERONI WANA KULETEA FASHION NITE TZ 

Mbunifu Ally Rehmtullah ameungana na kinywaji cha peroni kukuletea usiku wa mitindo Tanzania (FASHION NITE TZ), Katika usiku huu kutakua na maonyesho kutoka kwa wabunifu wadogo wanao chipukia ambao wameteuliwa na Ally Rehmtullah na Peroni. Onyesho hili litafanyika: Ijumaa 27/11/2015 Mahali: Akemi Restaurant Kiingilio: Bure…

Mitindo

JLO NA VIVAZI VYAKE KUMI KATIKA AMA’S 

Jeniffer Lopez ama Jlo ndivyo anavyo julikana na wengi, ni mwanamuziki pia muigizaji kutoka marekani. Jana katika America Music Awards Jlo alikua kama Mc na kama ambavyo ana julikana Jlo sifa yake kubwa ni kupenda kuvaa vizuri na ime kuwa mtindo kwa sasa katika kila…

Fashion Cop

KENDALL VS KARRUECHE 

Usiku wa kuamkia leo, kulikua na Tuzo na American Music Awards ambapo watu wengi maarufu walihudhuria wakiwemo wana mitindo wawili Kendall Jenner na Karrueche tran wote wawili walivalia gauni nyeusi lakini pia walionekana kufanan mtindo wa nywele na make-up je nani kapendeza zaidi Karrueche Tran…