TUNZA NGOZI YAKO KWA VIUNGO ASILIA
Tulio wengi tumezoea kutumia vipodozi mbalimbali vitengenezwavyo viwandani, Leo katika toleo hili maalum nataka tuangalie namna ambavyo tunaweza hudumia na kuitunza ngozi kwa kutumia viungo vya asili, nataka tuangalie ni namna gan mtu anaweza kutmia tende na limao/chungwa katika kutengeneza barakoa (mask) ya usoni. Katika…
JINSI YA KUTUNZA NYWELE KATIKA KIPINDI CHA RAMADHANI
Kutokana na madiliko katika mfumo wa chakula katika ramadhani,nywele zako zitegemewe kudhoofu. Kwa wanawake wengine nywele zao zina kauka na wengine zinakatika. Habari nzuri ni kwamba unaweza kudhibiti hali hii kwa kufuata yafuatayo: Barakoa ya Nywele (Hair Mask) Kuza na Ng’aza Nywele zako kutumia Barakoa…
NINI ULE KATIKA KIPINDI HIKI
Katika kipindi cha ramadhani unahitaji kuongeza juhudi katika kula chakula katika makundi yote matano ya chakula ili kuhakikisha aina na mpangilio wa chakula bora Vyakula vya kula: mikatenafaka na mazao mengine yenye nafaka matunda na mboga mboga nyama,samaki na kuku maziwa,jibini na maziwa ya mgando…
Ndizi Mzuzu
Ndizi ni moja kati ya chakula kinacholiwa sana katika futari, walaji huwa wanachanganya na mihogo na magimbi kutoa mchanganyiko wa Futari, Leo katika Futuru yako tutakueleza namna ya kuandaa Ndizi Mzuzu ambazo zinaungwa kwa tui la nazi. Zifuatazo ni mahitaji na hatua zitakazokuwezesha wewe kujipikia…
Saumu na Mazoezi
Tunashauriwa kufanya mazoezi ya mara kwa mara, na faida za mazoezi zipo nyingi ki afya, katika toleo hili la leo ambalo ni maalum kwa Ramadhani, sitakwenda kugusia faida za mazoezi, ntazungumzia katika toleo lijalo mbalo litatoka baada ya mfungo, Leo nataka tuangalie kama ni vema…
Japanese Unagi Dumplings That Will Leave You Speechless
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Nam laoreet, nunc et accumsan cursus, neque eros sodales lectus, in fermentum libero dui eu lacus. Nam lobortis facilisis sapien non aliquet. Aenean ligula urna, vehicula placerat sodales vel, tempor et orci. Donec molestie metus a sagittis…
Best Old School Recipes To Die For
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Nam laoreet, nunc et accumsan cursus, neque eros sodales lectus, in fermentum libero dui eu lacus. Nam lobortis facilisis sapien non aliquet. Aenean ligula urna, vehicula placerat sodales vel, tempor et orci. Donec molestie metus a sagittis…
Tasty & Easy To Make Desserts With Blueberries
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Nam laoreet, nunc et accumsan cursus, neque eros sodales lectus, in fermentum libero dui eu lacus. Nam lobortis facilisis sapien non aliquet. Aenean ligula urna, vehicula placerat sodales vel, tempor et orci. Donec molestie metus a sagittis…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…