TIPS ZA MITINDO YA HIJAB KIPINDI CHA KIANGAZI/JOTO KATIKA RAMADHANI
jinsi ya kuvaa hijab kipindi cha joto ndio tatizo/wasiwasi wa wasichana wengi ifikapo kipindi hikI,leo tutawapa tips chache za jinsi ya kuvaa katika msimu wa joto, kama sasa hivi ramadhani ime kuja katika kipindi/msimu wa joto watu wengi wana pata shida kujua wavae kipi waache…
MWONEKANO WA KIOFISI
Ni jumatatu nyingine ambayo watu wengi wana pata shida kuchagua nini wavae ofisini, ukizingatia ni mwezi mtukufu huwezi kuvaa suti ya sketi fupi au suruali ya kubana, inachukua muda kupata suluhisho hasa kwa upande wa wadada lakini tusicho jua kuna vitu vichache tu ambavyo vinaweza…
CHAPATI ZA MAZIWA NA SAMAKI WA KUPAKA
Mahitaji Unga wa ngano kilo 1 Mayai 2 Chumvi kijiko 1 cha chai Maji Siagi (butter) vijiko 3 vikubwa Mafuta ya kula kwa ajili ya kuchomea Iliki ya unga kijiko 1 kikubwa Maziwa ya unga vijiko 3 vikubwa Maelekezo Unaweza kuandaa chapati hizi kisha ukahifadhi…
SAMBUSA NA MAZIWA YA TENDE
SAMBUSA ZA KUFUKIZA Mahitaji:- Manda za sambusa za tayari, 20-30 Nyama ya kima nusu kilo Mchanganyiko wa thomo na tangawizi mbichi vijiko 3 vidogo Mchanganyiko wa bizari kijiko 1 kikubwa Kitunguumaji kimoja kikate udogo Dania moja ikate udogo Maji ya limau moja Chumvi kiasi Na…
UBUNIFU KATIKA RAMADHANI
Katika msimu huu wa mwezi mtukufu, Ni dhahiri kuwa wengi wetu tunapata wakati mgumu wa kujua tutavaa nini katika msimu huu. Hapa ndo tunapoona umuhimu wa kuwa na wabunifu, ambao kazi yao ni kutupa mwonekano mpya kila siku. Leo nimejaribu kuangalia baadhi ya mavazi ambayo…
JINSI MKUFU NA MKANDA UNAVYO BADILISHA MWONEKANO
Katika msimu huu wa ramadhani, vazi lilokubwa na linalovaliwa na wanawake tulio wengi ni baibui, leo nataka tuangalie namna ambavyo tunaweza kuvaa mabaibui yetu kwa kuongezea baadhi ya vikorombwezo ili kulipa mwonekano wa tofauti machoni pa watazamaji wetu. Baibui si vazi ambalo wengi wanalivaa kwa…
SIO LAZIMA UVAE BAIBUI KILA SIKU
Ramadhani ndio kwanza inaanza, Najua wengine ni kama mimi, tunawaza mabibui yenyewe machache nilio nayo na yanipasa nivae Stara kila siku nikiwa ofisini, Najua fika kwamba wote tunapenda kuonekana wapya kila siku ndio maana leo nikaamua kuandaa makala hii juu ya Maxi Sketi, Zipo za…
CHUNGU CHA KWANZA #1
Ukiwa umefunga mwili unakua na upufu wa nishati ambayo inapatikana katika chakula. Hivyo kwa kutambua upungufu wa nishati mwili unavunja baadhi ya misuli laini iliyopo mwilini na kuibadilisha kuwa nishati, ambayo mwili wenyewe unahitaji. Hivyo basi ni vema kuwa mwangalifu katika aina ya chakula ambacho…
TUNZA NGOZI YAKO KWA VIUNGO ASILIA
Tulio wengi tumezoea kutumia vipodozi mbalimbali vitengenezwavyo viwandani, Leo katika toleo hili maalum nataka tuangalie namna ambavyo tunaweza hudumia na kuitunza ngozi kwa kutumia viungo vya asili, nataka tuangalie ni namna gan mtu anaweza kutmia tende na limao/chungwa katika kutengeneza barakoa (mask) ya usoni. Katika…
JINSI YA KUTUNZA NYWELE KATIKA KIPINDI CHA RAMADHANI
Kutokana na madiliko katika mfumo wa chakula katika ramadhani,nywele zako zitegemewe kudhoofu. Kwa wanawake wengine nywele zao zina kauka na wengine zinakatika. Habari nzuri ni kwamba unaweza kudhibiti hali hii kwa kufuata yafuatayo: Barakoa ya Nywele (Hair Mask) Kuza na Ng’aza Nywele zako kutumia Barakoa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…