Vazi La Lavalava Alilokuwa Inspired Na Dinosaur
Tumemuona Lavalava akiwa Iringa kwenye wasafi festival ambapo alipanda na vazi la aina yake na mwenyewe amesema kawa inspired na Dinosaur, tumeongelea vazi hili na tungependa kujua maoni yako unamuona dinosaur hapa au nungunungu?
Appy Ajiunga Na Zuchu Katika Dhambi Hii Ya Fashion
Inawezekana kwasasa wrong bra ndio trend kwa maana tulianza kumuona Irene, Zuchu na sasa hivi tunamuona Appy nae akiwa kwenye tatizo hilohilo, tumeongeleza zaidi kwenye review yetu tazama hapo chini na utupe maoni yako.
Pieces To Invest In As A Plus Size Tips From Anitha Closet ( Part 2)
Kama wewe ni plus size na unapata shida kujua ni pieces gani za mavazi u-invest in ili uweze kupendeza kama wengine basi hii inakuhusu tumefanya mahojiano na Plus Fabulous na ametutajia ni pieces gani ambazo mwanamke mnene anaweza ku-invest in zikamsaidia kwenye mavazi yake. Unaweza…
Spotted Nandy With Gucci Savoy Medium Bowling Bag
Last time we checked tulim-spot mwanamuziki Nandy akiwa amebeba fake YSL ICARE Maxi Bag, ambapo alijibu pia kwamba yeye hawezi kununua handbag Original kwa bei ghali kwasababu bado hajafika kununua pochi ya bei hio. Leo tume-spot akiwa amebeba hii Gucci Savoy Medium Bowling Bag akiwa…
Zuchu Afanya Dhambi Hii Ya Fashion
With a world full of technology inashangaza kuona bado watu maarufu hawatumii teknolojia hizi kujifunza vitu vidogo vidogo vyenye maana kwao, kuna fashion bloggers, mitandao ya kijamii mbayo inaweza kukusaidia kujua vazi gani linapaswa kuvaliwa na nini, Tumemuona Zuchu na mistake ya kuacha bra ionekane…
Reviewing Mange Kimambi’s Bridal Look
Mange Kimambi ameolewa weekend hii na aliamua kuwa simple na look yake lakini hii haimaanishi look yake hii ilikuwa cheap, tume dig deep na kujua kiatu chake ni cha thamani gani na haja disappoint, angalia video hapo chini kujua zaidi
Mionekano Ya Mbosso Katika Wasafi Festival
Selemani inaatuletea new Mbosso tunaweza kusema Mbosso Khan amewekwa pembeni na huyu tunaemuona ni Mbosso Sele, tumeona namna Mbosso anajaribu kuleta uhalisia kwenye mavazi kutoka kwenye wimbo wake unaotamba kwasasa, tumefanya review ya mionekano yake tulioina mpaka sasa, unaweza kuangalia hapo chini review yetu na…
Namna Ya Kustyle Jeans Ofisini
Jeans ni vazi ambalo linaaminika kuwa ni vazi la casual, lakini unaweza kulivaa sehemu yoyote endapo tu utali-style kwa namna sahihi kutokana na eneo unalokwenda. Vazi hili ni vazi zuri kutokana na kwamba lipo comfortable lakini pia kama utavaa vyema kazini linaweza kukufanya u-stand out,…
5 ways to improve personal hygiene
Kuna vitu unatakiwa ujue kuwa ni muhimu sana kwenye kuimprove your personal hygiene. Sidhani kama kuna mtu ambae havijui ila hivi ni njia tano ambazo ni muhimu sana kuzijua hili uwe na muonekano wa kuvutia na kuwa na nuru. Kuna baadhi ya vitu tunafanya then…
Namna Za Ku Style Biker Short / Tight Fupi Weekend Hii
Biker short ni moja kati ya vazi ambalo kwasasa kila msichana analo, biker ni rahisi sana kuvaa na pia inafaa kuingilia sehemu mbalimbali ambazo sio formal au sherehe maalum, kama unaenda matembezini, unaenda movies unaweza kuvaa biker na ukapendeza CasualUnaweza kuvaa biker short casual kwenye…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…