Reviewing Looks From Drama Queens
Siku ya Jumapili iliyopita kulikuwa na sherehe ya moja ya member ya group inayojiita drama queen ( Irene Uwoya, Wema Sepetu, Kajala Masanja, Aunty Ezekiel, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael). Sherehe hii ilikuwa ya mtoto wa Irene Uwoya na wenzie walienda ku-show support, walichagua Nigerian…
Nandy Vs Macrida Who Rocked It Better
Leo kwenye who rocked it better tunae mwanamuziki Nandy pamoja na stylist Macrida Joseph, tume wa-spot wawili hawa wakiwa wamevalia S Colorful Striped Halter Chic Backless Jumpsuit. Nandy amevalia jumpsuit hii akiwa amemalizia na pixie cut hair style, big hoop earings na simple makeup wakati…
Poshy Queen Havai Midosho
Video vixen na mfanyabiashara Poshy Queen amefanya mahojiano na Wema App katika segment ya My Truth ambapo katika short clip tuliyoiona kwenye mitandao ya kijamii amesema havai midosho ni bora asivae brand. Kwa wale ambao mtakuwa mnajiuliza mdosho ni nini – mdosho ni vazi fake…
Mishono Kutoka Katika Harusi Ya Rita Dominic
Muigizaji kutoka Nigeria, Rita Dominic amefanya traditional wedding yake jana ambapo watu maarufu mbalimbali kutoka Nigeria walihudhuria katika sherehe hio, as usual Nigerians don’t disappoint. Kama una harusi, kitchen party etc na ungependa kupata mshono wa tofauti basi unaweza kuiga hii kutoka kwao. Matumaini yetu…
Love Jua Kali Kuhusu Plussize Na Body Shamers
Katika segment yetu ya plus fabolous tumepata nafasi ya kufanya mahojiano na muigizaji Hellen Herman ambae wengi tunamfahamu kama Love Juakali, AFS: Tuanze Na Historia Yako Kwa Ufupi. Love: MY NAME IS HELLEAN HERMAN BORN IN 9th APRIL COUPLE OF YEARS AGO IN TANGA CITYBEING…
Pata Kumjua Designed By Shuu
AFS: Tukufahamu Kwa Ufupi? Shuu: naitwa designed by shuu AFS: Kwanini Uliamua Kufanya Wedding Dresses? Shuu: kwa sababu ni kitu ambacho napenda toka nikiwa mdogo kifupi napenda mitindo na urembo AFS: Huwa Unatoa Wapi Inspiration Zako? Shuu: Nikiangalia nilipotoa napata nguvu ya kupambana zaidi! Mimi…
Mimi Mars Atenda Dhambi Hii Ya Fashion
Mwanamuziki na Muigizaji Mimi Mars ameonekana katika short clip ambayo anaongelea season mpya ya Tamthilia ya Jua Kali ambayo na yeye anaigiza humo ndani, Katika clip hio Mimi Mars amevalia one shoulder sequin dress ambayo amemalizia na makeup nzuri na nywele nzuri. Lakini amefanya dhambi…
Clogs Kutoka Kwa Balenciaga X Crocs Zinavyo Trend Kwasasa
Kama ulikuwa unamawazo kwamba hii trend ya rlocs itaisha anytime soon well tunakushauri chukua kiti ukae kwa maana inaonekana brand zimeamua kuzirudisha kwa kasi ya radi. Balenciaga na Crocs waliungana na kutoa baadhi ya viatu ambapo mojawapo ni hizi clogs na zinaonekana kuvutia watu maarufu…
Ommy Dimpoz Must Be Smelling Rich
Mwanamuziki Ommy Dimpoz ametupia video kwenye mtandao wa kijamii ambayo inaonyesha perfume’s zake pamoja na mavazi ambayo anavaa sikuhio ni kama a day in a life video. Katika video hio tumeona vingi lakini kilichotuvutia zaidi ni hii perfume collection yake ambapo kuna Tom Ford na…
Best Dressed At Tanzania Music Awards 2021
Tuzo za Muziki Nchini Tanzania zimerudi na mwaka huu zilifanyika Jumamosi ya 2.4.2022 ambapo wasanii mbalimbali walihudhuria, wengine waliondoka na Tuzo lakini wengine wakiwa mikono mitupu. Hongera kwa wale waliojishindia na waliokosa wajitahidi zaidi mwaka huu. Jicho letu sisi lilikuwa kwenye mavazi kwa wale waliovaa…
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…