Beyonce Na Oversized Shoes At The Grammy’s
Usiku wa kuamkia leo tuzo kubwa za Grammy’s zilifanyika huko Los Angeles, U.S.A watu maarufu mbalimbali walihudhuria akiwepo the Queen herself, Queen B ambae amevunja record ya kuwa mshindi wa Tuzo nyingi za Grammy’s anyways Beyonce alienda kupokea Tuzo yake akiwa amevalia corset top na…
Namna 5 Za Kuonekana Stylish Kazini
Moja kati ya vitu ambavyo wengi tunapitia ma-ofisini ni kuwa confused kati ya kuwa over dress na ku-low dress ofisini na chaguo kubwa huwa kuwa katikati yaani usiwe low wala over dressed na hapa ndipo tunapokutana wengi unakuwa na ma shirt yako ya rangi moja…
Gym Outfit Idea’s
Where our gym girls at? na wale ambao tunaplan za kuanza gym mwaka huu tupo? Haya kuna ile kitu huwa tunasema gym kwenyewe sijui hata navaa nini, japo tunaenda kufanya mazoezi lakini haimaanishi tusipendeze right? Tunakuletea gym outfits ideas ambapo unaweza kuchagua ambayo unaona inakufaa…
Bongo Movie Na Fashion
Huwa tunachukua muda kukosoa tunapoona makosa lakini pia huwa hatuachi kusifia pale panapo stahiki sifa, Miaka michache nyuma tulishawahi kukosoa bongo movies kutokana na makosa mbalimbali ya fashion leo tupo hapa kutoa pongezi kwao. Hatujui kama walisoma au ni kwenda na wakati kwasasa bongo movies…
5 Fashion Tips Kwa Wanawake Wenye Matiti Madogo
Wanawake wenye matiti ama vifua vidogo wana advantage kubwa kuliko wenye maziwa makubwa ( we wonder why wanawake wanapenda maziwa makubwa) machaguo yao ya mavazi huwa rahisi kupata lakini pia they can go braless bila watu kushangaa. Well kama una kifua kidogo na una patwa…
High Waist Jeans Do And Dont’s
High wasted jeans ni jeans ambazo zinakuwa ndefu mpaka tumboni na zinashika kiuno kwa jina lingine wanapenda kuziita mom jeans, aina hii ya jeans inakufanya kuwa classic , casual , sexy and chic katika muonekano wako ila inategemea umevaaa na nini. Katika kipindi cha hivi…
Jali Ngozi Kwa Kufanya Haya
Wengi hudhani kujali ngozi ni kupaka mafuta au kutumia skin careΒ lakini kumbe kuna vitu vichache ambavyo tuna visahau kufanya na ni muhimu sana, vitu hivyo ni kama; Badilisha foronya za mito unayolalia. Tunapo lalia foronya kuna bacteria wengi ambao tunawaacha hivyo hata kama ukiwa…
Tabia 6 Za Kimavazi Zinazo Zinazo Punguza Mvuto Wako
Ladies, sote huwa tumeshawahi kufanya makosa linapo kuja katika swala la mavazi lakini kizuri ni kwamba unaweza kubadilika, wakati wa ukuaji unakuwa unajitafuta mpaka pale ambapo unakua na kujua ni kipi kinakufaa hii hutokea hata kwenye mavazi unaweza kugundua style yako ya utotoni si sawa…
Wema Sepetu & Paula Failed The Assignment
Wema na Paula walihudhuria event ya Marioo ambapo alikuwa ana release album yake inayoitwa the kid you know. Event ilifanyika katika ukumbi wa mlimani city na wengi walihudhuria akiwepo chimama Wema Sepetu na Paula. Wema alivalia red & black outfit hii outfit ina mambo mengi…
Reviewing The Kid You Know Album Release Looks
Jumamosi iliyopita ilikuwa album release ya msanii Marioo, ambapo aliamua kufanya event pale Mlimani City na kuhudhuriwa na watu maarufu na fans wake. Well kama kawaida yetu tuliangalia nani amevaa nini na Je kapendeza au lah? Bado tunaona kuna tatizo la kujua cha kuvaa kutokana…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se⦠https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…