Jinsi ya kutunza Ngozi Inayozunguka Jicho Lako
Jee Wajua? Ngozi inayozunguka jicho ni laini zaidi ukilinganisha na ngozi ya uso wako wote. Najua ulikuwa hutambui kuhusu hili na Umetoka kujigusa ndani ya dakika chache. Nina uhakika umehakikisha kwa mikono yako! Hizi hapa ni dondoo muhimu Jinsi ya kutunza Ngozi inayozunguka jicho lako. …
Reviewing Joel Lwaga Outfis On His Wedding
Mwanamuziki wa Injili kutoka Tanzania Joel Lwaga amefunga ndoa week iliyopita, ambapo alikuwa na sherehe mbili ya send off na ndoa. Hongera kwa Joel na mkewe lakini pia tusinge acha ipite bila kufanya review ya outfit zao katika sherehe hizi mbili Tuanze na sendoff ambapo…
Images From Ally Rehmtullah Kwetu Kwetu 2020 Event
Jumamosi iliyopita mbunifu Ally Rehmtullah alikuwa na event iliyoitwa Kwetu Kwetu ambapo alituonyesha collection yake ya kufungia mwaka. Ally huwa anatoa collection moja tu kwa mwaka na huwa anaifanyia event kubwa kabisa. Mwaka huu alikuwa na hii kwetu kwetu collection. Well tumekuletea picha za matukio…
Former Miss Tanzania For Beauty Legacy Gala Photoshoot
Walimbwende wa zamani kutoka Miss Tanzania wamefanya photoshoot ya Tamasha la Beauty Legacy Gala Tanzania 2020. Utakuwa unajiuliza Tamasha hilo linahusiana na nini “Miss Tanzania 2000, Mjasiriamali na Muasisi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation, Ms.Jaqueline Mengi ameanzisha tamasha la harambee la The Beauty Legacy Tanzania 2020…
5 Photos Kutoka Katika Harusi Ya Williams Uchemba
Muigizaji na mchekeshaji kutoka Nigeria Williams Uchemba amefunga ndoa hivi karibuni, na tunaweza kusema Williams na mkewe Brunella Oscar didn’t come to play. Kila outfit ilikuwa bomb zaidi ya iliyopita, they just did it effortlessly. unaweza kuangalia picha zao hapo chini na kupata idea ya…
Ben Pol In Men Color Polish Trend
Nail Color Polish kwa wanaume imekuwa ni trend mpya tumeona watu maarufu mbalimbali kutoka ndani na nje ya Nchi wakiwa wanajaribu trend hii, watu kama Harry Styles, Snoop Dogg, Asap Rocky kutoka marekani wameonekana kwenye trend hii lakini week chache zilizopita tuliwaona Rhyno na Wildad…
Afro Hair Style Trend
Afro hair style huwa inakuja kwenye trend na kupotea japo Afro ni nywele za ki-Africa lakini mara nyingi wengi wetu huwa tunapenda kuziweka dawa ziwe sleek au kutumia weavings na wigs za sleek hair. Kwa sasa tunaona Afro Hair Style inarudi na kuonekana kuanza ku-trend,…
Scrub Ya Kuondoa Ngozi Iliyokufa Katika Ngozi Ya Uso Na Shingo
Uso na shingo ni sehemu ambazo zinakuwa exposed sana na jua au hali ya hewa yoyote kuliko sehemu nyingine za mwili. Usipokuwa makini na kuzijali basi zinaweza kuwa na muonekano wa tofauti na sehemu nyingine za mwili. Ngozi ilikufa inatokana na nini? Umri kutokusafisha ngozi…
Michael B. Jordan Is PEOPLE’s Magazine Sexiest Man Alive 2020
Gazeti la people’s huwa linatoa jarida la Sexiest Man Alive kila mwaka ambapo watu maarufu mbalimbali wa kiume walisha shika nafasi hio akiwepo Idris Elba, John Legend, Dwayne Johnson na wengine wengi. Gazeti hili limeanza kutoa hili jarida toka mwaka 1985. Mwaka huu muigizaji Michael…
Perfect Bra Check
Kama kuna kitu ambacho huwa kinasumbua wanawake wengi ni kujua perfect bra ipoje. Wengi wetu tunavaa blazia tukiwa hatujui kumbe tumekosea sio size zetu, mfano unaweza kukuta blazia imekutosha kote lakini nyama za pembeni zinaonekana, au nyama za juu hapa kifuani zimetuna wenyewe tunaita ku-boost,…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…