SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Fashion Cop

Zuchu Afanya Dhambi Hii Ya Fashion 

With a world full of technology inashangaza kuona bado watu maarufu hawatumii teknolojia hizi kujifunza vitu vidogo vidogo vyenye maana kwao, kuna fashion bloggers, mitandao ya kijamii mbayo inaweza kukusaidia kujua vazi gani linapaswa kuvaliwa na nini, Tumemuona Zuchu na mistake ya kuacha bra ionekane…

Mitindo

Mionekano Ya Mbosso Katika Wasafi Festival 

Selemani inaatuletea new Mbosso tunaweza kusema Mbosso Khan amewekwa pembeni na huyu tunaemuona ni Mbosso Sele, tumeona namna Mbosso anajaribu kuleta uhalisia kwenye mavazi kutoka kwenye wimbo wake unaotamba kwasasa, tumefanya review ya mionekano yake tulioina mpaka sasa, unaweza kuangalia hapo chini review yetu na…

Mitindo

Namna Ya Kustyle Jeans Ofisini 

Jeans ni vazi ambalo linaaminika kuwa ni vazi la casual, lakini unaweza kulivaa sehemu yoyote endapo tu utali-style kwa namna sahihi kutokana na eneo unalokwenda. Vazi hili ni vazi zuri kutokana na kwamba lipo comfortable lakini pia kama utavaa vyema kazini linaweza kukufanya u-stand out,…

Urembo

5 ways to improve personal hygiene 

Kuna vitu unatakiwa ujue kuwa ni muhimu sana kwenye kuimprove your personal hygiene. Sidhani kama kuna mtu ambae havijui ila hivi ni njia tano ambazo ni muhimu sana kuzijua hili uwe na muonekano wa kuvutia na kuwa na nuru. Kuna baadhi ya vitu tunafanya then…