How Celebrities Attended The Late Hon. Magufuli Funeral
Mamia ya watu walikusanyika Chato mkoani Geita Tanzania, kumzika aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk John Pombe Magufuli. Ambapo kulikuwa na watu mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali walioenda kumsindikiza katika safari yake hii ya mwisho. Katika waombolezaji hawa kulikuwa na watu maarufu kama Diamond…
Wema Sepetu Should Throw Away Skin Jeans And Start Investing In These Types Of Trouser
Inawezekana wakati bado ana mwili mnene Wema alimiss kuvaa skinny jeans kwa maana kwa sasa ndiyo vazi lake kubwa, tunaweza kusema na flat tummy yake na suruali hizi zinamkaa vizuri lakini tatizo linakuja miguuni Wema ana skinny legs ( which is totally okay to have)….
Let’s Fix Linah Sanga’s Outfit
Leo tunafix hii outfit kutoka kwa mwanamuziki Linah Sanga, kutoka katika Instagram yake Linah Sanga amepost hii picha akiwa amevalia nice polka dot dress akiwa amemalizia na ombre wig, miwanai, sandals pamoja na accessories ndogo ndogo. Kwa muonekano wa mavazi na picha, Linah alitaka kuwa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…