6 Times Ms Doris Showed Us How To Style Strap Dress With Shirt Underneath
Doris ni fashionista kutoka Tanzania ambae utampata instagram kwa nickname yake ya ms_ris_eddy Ni moja kati ya fashionistas ambao Tanzania ina pashwa kujivunia, yaani sio yule wa fashion za trend Doris yupo kipekee anajua kujistyle. Well leo tumekuletea mara 6 ambazo Doris ametuonyesha namna ya…
How Transform An Outfit With Little Touch’s
Weekend Imefika na as usual weekend huwa tunapenda kuwa kwenye casual na comfortable fits. Lakini hii haimaanishi outfit yako iwe bore, umeshawahi kufikiria ni vipi watu maarufu wanavaa tshirt na jeans lakini wanapenda mno? basi leo tunakupa tips za nini unaweza kufanya ku-transform outfit yako….
Aina Za Viatu Unavyopaswa Kuwa Navyo Kujifunzia Kuvaa Viatu Virefu
Tumekuwa tukipata malalamiko mengi kuhusu wengi wetu kupenda kuvaa viatu virefu lakini tunashindwa kutembelea (no lies sisi wenyewe hili ni tatizo kwetu pia). Viatu virefu kama bado huja vi-master ni tatizo unaweza kuanguka, kujikwaa mara kwa mara, miguu kuuma, kutokuwa comfortable wakati unatembea etc. Muongozo…
Aina Na Namna Ya Kuchagua Perfume Inayo Kufaa
Kuna maelfu ya perfume madukani, lakini sio perfume zote ni nzuri kwa kila mtu, kwa hiyo ni muhimu kuchagua perfume ambayo itamfaa mtumiaji ili kuepuka kujisikia Vibaya baada tu ya kununua. Perfume unapoinusa inagawanyika mara tatu, wenyewe wanaita NOTES, yani kile unachokisikia na ukali wake unavotofautiana….
The Rule of Three ( Minimum Of 3 Items On One Outfit )
Kwenye kuvaa au ku-style muonekano wako kuna tips mbalimbali mbazo wengi huwa hatuzijui au hatufuatilii. Moja kati ya tips hizo ni hii ya kuvaa si chini ya vitu vitatu katika outfit yako. Yes this tip huwa inatumiwa na watu maarufu wengi na ndio tip ambayo…
Njia Za Kuondoa Harufu Ya Kabati Katika Nguo
Mara kwa mara wengi wetu tumekuwa tukikutana na hii hali, ukitoa nguo kwenye kabati kwa sababu mbalimbali utasikia inanuka kama uvundo wengi wanaita harufu ya kabati. Hii inatokana na Nguo kukaa kwa muda mrefu kwenye kabati bila ya kutolewa kupigwa na hewa Kama kabati liliingia…
Umuhimu Wa Nguo Za Ndani Sahihi Katika Muonekano Wako
Lets talk about dressing na namna nguo hukaa kwenye mwili. Wote tunapenda kuonekaana kama kasnack fulani ndani ya nguo, ndio maana tunavaa vizuri hata hivyo wengi wetu tunapenda assets zetu zikae sawa ndani ya nguo. Unaona all those celebrities wanavyovutia wakipita kwenye red carpet? Wether…
How To Dress Powerfully
Umesha wahi kukutana na kijana ambae anafanya kazi ya kawaida lakini unaweza kudhani yeye ndio CEO wa kampuni hio? Yes inawezekana na wewe kufanya hivyo, wengi wetu tunatumia excuse ya kwa kazi gani? au mimi siwezi ku-dress vile kuna wenyewe, futa hizo fikra unaweza kwa…
Vitu Vitano Unavyoweza Kufanya Ku-level Up
Najua wengi wetu tumeenda shule kuna wale wadada ulisoma nao, wakati unasoma nao walikuwa the true definition of basic. Ukimuona hakutetemeshi hakutishi(wasemavyo waswahili). Basi umemaliza shule, miaka kadhaa imepita then katika pitapita zako unakutana nae au unaona picha yake mtandaoni, wakati mwingine hata rafiki anakutumia…
Let Your Bra Rest Between Wears
Wakati wengi wetu tukiwa tunapenda kuvaa bra moja na kuzifua kisha kuzivaa tena kwa sababu tu labda tunaipenda sana. Tunaambiwa kwamba hayo ni makosa ambayo yanapelekea elastic au mikanda ya brazia yako kulegea. Ambacho tunashauriwa ni kuvaa bra mara moja kuifua na kuipumzisha kwa siku…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…