SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Ana Kwa Ana

MAHOJIANO NA MGOMBELWA BRAND 

Mgombelwa ni mbunifu wa kiume kutoka morogoro, lakini pia ana fanya kazi zake Dar Es Salaam, tumepata nafasi ya kufanya mahojiano nae na alikua na haya machache ya kusema, Afroswagga: Kwanini ubunifu wa nguo? Mgombelwa: Ubunifu upo kwasababu tofauti’. watu wengi wanapenda kua  na muonekano…

Ana Kwa Ana

ANA KWA ANA NA FROLINYAH 

Ana kwa ana ni kipengele ambacho huwa tuna fanya mahojiano na wanamitindo, wabunifu au mtu yoyote anaye jihusisha na maswala ya mitindo Tanzania, na leo tume kutana na mwanadada Florinyahdesigns ambae ubunifu wake ni wa kitofauti kidogo. Florinya ana tumia uzi na sindano kutengeneza Urembo…

Ana Kwa Ana

IJUE TWO IN ONE ACCESSORIES 

Mwezi huu AfroSwagga katika Ana Kwa Ana imefanya mohojianao na mbunifu Vyette ambaye yeye pamoja na mshirika wake Jonathan Lupilli ambaye ni mpiga picha ndio ambao wanaounda 2in1. Endelea…. Afroswagga – Two-one-accessories ni nani? Two-one-accessories – Two In One Accessories ni a handmade jewerly brand and…

Ana Kwa Ana

MAKEKE NA MAKEKE YAKE KATIKA UBUNIFU 

AfroSwagga katika Ana Kwa Ana imefanya mahojiano kwanjia ya mtandao na Msanii wa mitindo kama ambavyo napenda kuitwa yeye mwenye Bwa. Jocktan Maluli, maarufu kama MAKEKE, Pata kujua kafunguka yapi mbunifu huyu mwenye hasira na kazi yake.     AfroSwagga: Makeke ni nani? Makeke: Makeke…