NAMNA 5 ZA KUDUMISHA NYWELE ZENYE DAWA
Wengi wetu huwa tuna dhani kuweka dawa na kufanyia steaming ndio kutakuza na kufanya nywele zetu kuwa na afya, hivyo utakuta mtu ana weka dawa kila baada ya mwezi na kufanyia steaming kila baada ya week mbili. Hii ndio husababisha nywele kunyonyoka na kutokua na…
Matumizi Ya Loop / Vikamba Vya Ndani Ya Nguo
Inawezekana umeshawahi kukutana na hivi vikamba ambavyo vinawekwa ndani ya nguo na ukawa huelewi vinakazi gani. Huwa vinakera na wengi wetu huwa tunaishia kuvikata. Well vikamba hivi vinatumika katika kuning’inizia nguo katika hanger, kama vazi lako ni strapless, sleeveless, off shoulder, skirt au suruali basi…
Perfect Bra Check
Kama kuna kitu ambacho huwa kinasumbua wanawake wengi ni kujua perfect bra ipoje. Wengi wetu tunavaa blazia tukiwa hatujui kumbe tumekosea sio size zetu, mfano unaweza kukuta blazia imekutosha kote lakini nyama za pembeni zinaonekana, au nyama za juu hapa kifuani zimetuna wenyewe tunaita ku-boost,…
Namna Ya Kuboresha Afya Yako Wakati Huu Wa Isolation
Kama ambavyo sote tunajua tumeambiwa tuepuke misongamano, kuna wale ambao wameambiwa wafanyie kazi nyumbani, kuna wale ambao wanaenda kazini lakini wana practice social distance etc. Hii inapelekea wengi wetu kuwa nyumbani na kuwa karibu na vyakula, lakini pia kufungwa kwa sehemu za mazoezi ( gym…
5 Tips On How To Be Classy And Stylish According To Lavidoz
Moja kati ya watu maarufu ambao wengi wanawapenda kutokana na mavazi yao basi ni mwanadada Lavidoz, Lavidoz ana mwili wa kawaida ( sio ile miili ya kutengeneza) na bado anavaa na kupendeza. Ambacho wengi tunavutiwa nacho kutoka kwake ni kwamba japo havai mavazi ya ghali…
Muongozo Wa Namna Ya Kumatch Viatu Pamoja Na Mavazi Yako
Njia rahisi kabisa ambayo watu wengi huitumia katika mionekano yao ni ku-match mavazi yao na kitu kimoja wapo walichokivaa mfano: kumatch mavazi na pochi au viatu, unaweza kuona itakuwa too much lakini ni njia nzuri ya kufanya muonekano wako uonekane coordinated Leo tunakupa muongozo wa…
Jua Toauti Ya Vipodozi Organic Na Natural
Kila asubuhi wanawake wengi yumkini na wewe unaesoma hapa unaweza kuwa mmoja wao huamka na kupaka vitu tofauti tofauti mwilini. Kile ambacho wengine hawaachi kufikiria ni nini wanaweka kwenye ngozi yao. Vipodozi vingi sana na bidhaa za utunzaji wa ngozi leo zimejaa viambata vyenye kemikali…
Graduation Outfit Do And Dont’s
Ni graduation season kila mwanafunzi ambae amemaliza chuo/shule ana jiandaa na kusheherekea katika mahafali yake, lakini as usual swali la nini mtahiniwa huyu avae katika graduation yake huwa linakuja, ki kwetu kwetu ukiangalia kwenye mitandao wengi huwa wanavaa bandage dresses ambazo si mbaya zimekaa official…
Jua Namna Ya Kuondoa Harufu Mbaya Ya Viatu
Hivi Ushawahi kuwa kwenye Mkusanyiko wa watu na Mara ghafla waanza kusikia Harufu mbaya na Hapo Hapo unabaini inatoka kwenye viatu. Utajisemesha Nani huyo kuvua viatu? Huku ukibana pua. Kama hujawahi kukutwa na jambo hili huwezi kuelewa vile mhanga anavyojisikia. Baada ya kumaliza kusoma hapa hutotaka…
Dondoo Za Kufanya Unyunyu “perfume” Wako Udumu Kwa Muda Mrefu
Kama wajikuta unyunyu wako Ukifika muda wa chakula cha mchana “lunch” imeisha au ukiweka unyunyu ghafla imeisha dondoo hizi zinaweza kukusaidia. Kama mtaalamu wa Urembo mmoja anavyosema, Joanne Dodds ” Tunapenda kunukia vizuri siku nzima, Wakati mwengine unyunyu wako unapotea pale tu unapomaliza kuweka ”…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…