UMUHIMU WA MAHARAGWE
Maharagwe imekuwa ni nafaka inayoliwa na watanzania tulio wengi hasa kutokana na kipato chetu. Lakini leo nataka nikwambia faida ipatiakanayo kwa matumizi ya nafaka hii katika afya mwanadamu. Hakika si wengi tuliokuwa tunaijua siri hii, ndio maana nimeona haja ya kushirikiana na nyinyi katika Makala…
Kwanini Unywe Maji?
Kwa wale wavivu wa kunywa maji, nivema kuiacha hiyo tabia na kujifunza taratibu kunywa maji ya kutosha, usisubiri uhisi kiu ndipo unywe maji. Hakikisha unapata walau Bilauli nane za maji kila siku. Kuna sababu nyingi na wewe kunywa maji zifuatazo ni baadhi tu. Ngozi kuwa…
UMUHIMU WA PUSHUP KWA WANAWAKE
Pushup ni moja kati ya zoezi zuri Zaidi kwa Wanawake. Kwanini? Pushups za mara kwa mara haizitaimarisha kifua chako tu, lakini pia kutengeneza umbo zuri la Mabega, Misuli ya Mikono (Triceps), Misuli ya Makalio(Glutes) na kufanya misuli hiyo kuimarika na kukaza. Kuna aina nyingi za…
MUHIMU KUWA NAVYO MSIMU HUU
Misimu ya hali ya hewa inabadilika lakini haimaanishi usiwe kimitindo zaidi. Msimu huu wa joto ni rahisi kidogo kuwa kimitindo kwa sababu vitu vinavyo beba neno Mitindo vinakua vinapatikana kwa urahisi. zifuatazo ni Dondoo za nini uwe nacho katika msimu huu: 1)Suruali zisizo bana (bwanga)…
BARAKOA YA USO KUTUMIA MATUNDA YA STRAWBERRY
Mahitaji Strawberry – 8/9 Asali – vijiko 3 vya chakula Jinsi Ya Kutengeneza: Osha Strawberry zako kisha ziweke katika bakuli safi kavu, ziponde ponde kwa uma au kitu chochote unachoweza kupondea mpaka zilainike na kuwa kama juisi. Baada ya hapo miminia…
NJIA MBALI MBALI ZA KUHIFADHI HIJAB
Kuna njia nyingi za kuweza kuhifadhi hijab zako, ina tegemea na kipato chako njia njyingine ni ghali, mtu mwenye kipato cha chini hawezi kuhimili lakini pia kuna njia rahisi ambazo kila mtu ana weza kufanya. Wengi wetu tuna pata shida ya kuhifadhi hijab zetu vizuri…
TIPS ZA MITINDO YA HIJAB KIPINDI CHA KIANGAZI/JOTO KATIKA RAMADHANI
jinsi ya kuvaa hijab kipindi cha joto ndio tatizo/wasiwasi wa wasichana wengi ifikapo kipindi hikI,leo tutawapa tips chache za jinsi ya kuvaa katika msimu wa joto, kama sasa hivi ramadhani ime kuja katika kipindi/msimu wa joto watu wengi wana pata shida kujua wavae kipi waache…
NINI ULE KATIKA KIPINDI HIKI
Katika kipindi cha ramadhani unahitaji kuongeza juhudi katika kula chakula katika makundi yote matano ya chakula ili kuhakikisha aina na mpangilio wa chakula bora Vyakula vya kula: mikatenafaka na mazao mengine yenye nafaka matunda na mboga mboga nyama,samaki na kuku maziwa,jibini na maziwa ya mgando…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…