SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Afya

UMUHIMU WA MAHARAGWE 

Maharagwe imekuwa ni nafaka inayoliwa na watanzania tulio wengi hasa kutokana na kipato chetu. Lakini leo nataka nikwambia faida ipatiakanayo kwa matumizi ya nafaka hii katika afya mwanadamu. Hakika si wengi tuliokuwa tunaijua siri hii, ndio maana nimeona haja ya kushirikiana na nyinyi katika Makala…

Afya

Kwanini Unywe Maji? 

Kwa wale wavivu wa kunywa maji, nivema kuiacha hiyo tabia na kujifunza taratibu kunywa maji ya kutosha, usisubiri uhisi kiu ndipo unywe maji. Hakikisha unapata walau Bilauli nane za maji kila siku. Kuna sababu nyingi na wewe kunywa maji zifuatazo ni baadhi tu. Ngozi kuwa…

Dondoo

UMUHIMU WA PUSHUP KWA WANAWAKE 

Pushup ni moja kati ya zoezi zuri Zaidi kwa Wanawake. Kwanini? Pushups za mara kwa mara haizitaimarisha kifua chako tu, lakini pia kutengeneza umbo zuri la Mabega, Misuli ya Mikono (Triceps), Misuli ya Makalio(Glutes) na kufanya misuli hiyo kuimarika na kukaza. Kuna aina nyingi za…

Dondoo

MUHIMU KUWA NAVYO MSIMU HUU 

Misimu ya hali ya hewa inabadilika lakini haimaanishi usiwe kimitindo zaidi. Msimu huu wa joto ni rahisi kidogo kuwa kimitindo kwa sababu vitu vinavyo beba neno Mitindo vinakua vinapatikana kwa urahisi. zifuatazo ni Dondoo za nini uwe nacho katika msimu huu: 1)Suruali zisizo bana (bwanga)…

Dondoo

BARAKOA YA USO KUTUMIA MATUNDA YA STRAWBERRY 

        Mahitaji Strawberry – 8/9 Asali – vijiko 3 vya chakula Jinsi Ya Kutengeneza: Osha Strawberry zako kisha ziweke katika bakuli safi kavu, ziponde ponde kwa uma au kitu chochote unachoweza kupondea mpaka zilainike na kuwa kama juisi. Baada ya hapo miminia…

Dondoo

NJIA MBALI MBALI ZA KUHIFADHI HIJAB 

Kuna njia nyingi za kuweza kuhifadhi hijab zako, ina tegemea na kipato chako njia njyingine ni ghali, mtu mwenye kipato cha chini hawezi kuhimili lakini pia kuna njia rahisi ambazo kila mtu ana weza kufanya. Wengi wetu tuna pata shida  ya kuhifadhi hijab zetu vizuri…

Dondoo

NINI ULE KATIKA KIPINDI HIKI 

Katika kipindi cha ramadhani unahitaji kuongeza juhudi katika kula chakula katika makundi yote matano ya chakula ili kuhakikisha aina na mpangilio wa chakula bora Vyakula vya kula: mikatenafaka na mazao mengine yenye nafaka matunda na mboga mboga nyama,samaki na kuku maziwa,jibini na maziwa ya mgando…