Ondoa Harufu Mbaya Kinywani Kwa Kutumia Mdalisini, Limao Na Asali
Muonekano wako mzuri utakamilishwa na Jinsi utakavyotabasamu, na vile utakavyoweza Kuongea kwa kujiamini. Tabasamu zuri na mwanana linakamilika pale unapokuwa na ngozi yenye afya njema na kinywa chenye harufu nzuri na meno yenye kung’aa. Leo baada ya kusoma Makala hii, Utaweza kujisaidia kuondoa harufu mbaya…
Pata Kujua Kuhusu Tanzanite Womens Forum & Lunch Na Nini Cha Kuvaa
Tarehe 9 mwezi wa tatu kuna event ambayo inaitwa Tanzanite Womens Forum And Lunch, tumepata nafasi ya kufanya interview na mbunifu Khadija Mwanamboka ambae yeye ni moja kati ya waanzilishi wa event hii ametuelezea zaidi kuhusu event hii Afroswagga: Unaweza kutupa hint ya event inahusu…
Vitu Muhimu Kwa Mwanaume Kuwa Navyo Katika Utunzaji Wa Kucha
Usafi haubagui, iwe mkaka au mdada lazima uwe nadhifu haijalishi upo nyumbani, kazini, ama barabarani, Moja ya jambo ambalo wakaka wengi tumeona hushindwa kufanikisha ni usafi wakucha za mikononi na miguuni. Waweza kuonana na mkaka mtanashati kapendeza lakini ukatazama kucha ukaishia kushangazwa na uchafu uuonao. Ili…
Tatizo La Jasho La Njano Kwapani Na Suluhisho Lake
Sio Dar pekee bali hadi mikoani ni joto lisiloelezeka kila siku. Hii husababisha watu kutokwa jasho lisilo la kawaida n ahata mwili na nguo nzima kulowa kama vile umenyeshewa na mvua. Waweza ona wengine wakitokwa jasho makwapani ikiwa na rangi ya njano. JASHO LA NJANO…
Baby Steps Katika Kupungua Uzito Nakuwa In Shape
Body goals. Body goals. Well kila unaposcroll mtandaoni waweza ona kila mmoja akiwa fit, working out na waishia kucomment tu. Waweza kuwa wahitaji kuwa in shape but hujui uanzie wapi maana kila kukicha upo pale pale. Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna Ya Kukiondoa –…
Tips Mbalimbali Za Afya Ya Mwili Kutoka Kwa Fitness Enthusiast Juriya Fit
Kufanya mazoezi,kufuata diet na ku-stick kwenye hivi vitu inaweza kuwa ni kazi ngumu kwa wengi, wengi huwa tunatamani kuwa na mwili wa aina fulani lakini kufanya njia za kufikia katika mwili huo huwa ni ngumu, leo tunakuletea interview ambayo tumefanya na fitness enthusiast kutoka Tanzania anaeishi…
Color Hacks For A Killer Outfit – Part 2
Week iliyopita tuliangalia namna 3 ambazo unaweza kupangilia rangi zako ili kupata muonekano mzuri,tuliongelea kuhusu jinsi ambavyo unaweza kuanza taratibu mpaka ukafikia sehemu unayo itaka Take Baby Steps / Power Of Contrast Monochrome Colors Pick A Common Color Unaweza kuingia hapa kusoma zaidi Color Hacks For…
Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna Ya Kukiondoa – 3
Habari Afromates, ni jumatano nyengine katika muendelezo wetu wa dondoo za afya ambapo tutaendelea na sababu nyengine inayosababisha ukuaji wa kitambi ambapo leo tutaangalia aina ya ulaji. Ambavyo vyakula vyote venye wanga hupelekea kuongeza uzito pia kitambi kwenye mwili. Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna…
Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna Ya Kukiondoa – 2
Habari Afromates ikiwa ni jumatano nyengine tukiwa katika muendelezo wa makala yetu tuliyoanza wiki iliyopita kuhusiana na swala zima la Kitambi, badala yakufahamu nini maana yake. Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna Ya Kukiondoa – 1 Tungependa kwenda moja kwa moja kuangazia nini sababu ya…
Unahitaji App Hii Ili Kufanya Mazoezi Mwenyewe
Tulio wengi changamoto ya kipato na na muda imekuwa sababu kubwa linapokuja swala la mazoezi, wapo wanaokosa muda wa kuhudhuria gym, wapo wanashindwa kulipia gharama. Lakini pia tupo ambao vyote vinatushinda, sababu zipo nyingi lakini hizi mbili ndio hasa zimetufanya kuandika makala hii ya App unazohitaji…
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…