Jua Aina Ya Mwili Wako Na Mavazi Yanayo Kufaa – The Triangle Body Type
Week iliyopita tuliona aina mbili za maumbo na mavzi yanayo wafaa, maumbo hayo ni pear na apple kama hukufanikiwa kusoma click link hapo chini ili uweze kusoma na kujua umbo lako linaangukia katika aina ipi ya umbo Jua Aina Ya Mwili Wako Na Mavazi Yanayo…
Jua Aina Ya Mwili Wako Na Mavazi Yanayo Kufaa
Japo Dunia ya sasa wengi hawaangalii aina ya miili yao, na wengi wanasema ukisubiri hadi upungue au unenepe ndio uvae utachelewa. Ni kitu kizuri hasa kutokana na kwamba fashion haina mipaka na kwamba ukiridhika na nafsi yako basi inatosha lakini si mbaya kama tukikupa tips…
3 Items To Have On Your Beach-Vacation This Weekend
Weekend imefika wengine wana plan za kwenda sehemu mbalimbali kutembea, lakini wengi wetu tungependa kutembelea ufukweni kupata upepo wa bahari na ku-clear mind kutokana na stress za week nzima. Well je unajua nini uwe nacho ukiwa unaenda huko beach? leave that to us maana tupo…
Njia 6 Rahisi Za kupunguza Uzito Bila Ya Kutumia Diet
Wakati wengi wamemaliza kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kupungua uzito wengi watakuwa wanajiuliza namna ambavyo wanaweza ku-maintain mwili wako ubaki hivyo hivyo bila ya kuongezeka huku wengine wakiwa wanateseka na namna wanaweza kupunguza miili yao bila ya kufanya mazoezi na kufanya diet kali. Kuna…
Stylish Accessories Zinazoweza Ku-update Mavazi Yako ya Ramadhani
Watu wengi hudhani kuvaa mavazi ya kujistiri kuna kufanya uwe boring kwamba huwezi ku accessorize mavazi hayo, kizuri ni kwamba mitindo ina kua na kubadilika siku hadi siku zamani ma baibui yalikua ya rangi moja tu ambayo ni nyeusi lakini kwa sasa tunaona mabaibui yakiwa…
Ndizi Inavyo Weza Kukusaidia Katika Ngozi Na Nywele
Ndizi ni tunda tamu sana ambalo wengi huwa tunapendela kulila na hakula, zina msaada katika mwili na magonjwa mbalimbali zinasifika kwa kuwa na wingi wa B6, copper, manganese, potassium, vitamin C, and biotin. Lakini sifa za ndizi haziishii kwenye utamu tu lakini pia msaada wake katika…
Namna Ya Kuwa Stylish Huku Ukiendana Na Bajeti Yako
Wakati tunapitia mitandao mbalimbali tukakutana na story ya mwanadada aliyeingia katika madeni kisa tu ni kutaka kuwa Fashionista katika Instagram, Lissette Calveiro anasema watu walikuwa wakimuona anaishi maisha mazuri na kusafiri sehemu mbalimbali lakini nyuma ya pazia alikuwa ana mikopo na madeni ya $10,000/- sawa na…
Jinsi Ya Kuanza Kula Mlo Kamili Na Bora
Kuanza kula mlo kamili ni bora ni kazi sana, wengi wetu tunashindwa kutokana na miundo ya Familia zetu tumezoa tukiamka asubuhi ni viporo,vitumbua nk, mchana ugali na usiku wali. Hii inatufanya tuishi kwa ajili ya kula na si kula kwa ajili ya kuishi. Kama ungependa…
3 Reason’s Why You Should Own A Pair Of Nude Shoes
Nude shoes are new black shoes, karibu kila Fashionista ana pair ya nude heels or flats. Rangi ya viatu hivi ni blush creamy beige zina-compliment every outfit just like black shoe. Kwanini uwe na nude shoes kwenye kabati lako 1) ukitaka kuonekana mrefu – nude…
Fashion Fix: How To Wear Side Cutout Dress Without The Bra Saying Hi To Us
Cut out, backless dresses zinaweza kuva very trick katika kuzivaa, huko kwa wenzetu ni machaguo yao makubwa hasa kwenye red carpet lakini huku kwetu yanatengwa sana labda kwa sababu tunakimbia kutokuvaa bra (sidiria) na pia kama utakosea kwa kuvaa bra ambayo sio sahihi unakuwa…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…