Color Hacks For A Killer Outfit – Part 2
Week iliyopita tuliangalia namna 3 ambazo unaweza kupangilia rangi zako ili kupata muonekano mzuri,tuliongelea kuhusu jinsi ambavyo unaweza kuanza taratibu mpaka ukafikia sehemu unayo itaka Take Baby Steps / Power Of Contrast Monochrome Colors Pick A Common Color Unaweza kuingia hapa kusoma zaidi Color Hacks For…
Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna Ya Kukiondoa – 3
Habari Afromates, ni jumatano nyengine katika muendelezo wetu wa dondoo za afya ambapo tutaendelea na sababu nyengine inayosababisha ukuaji wa kitambi ambapo leo tutaangalia aina ya ulaji. Ambavyo vyakula vyote venye wanga hupelekea kuongeza uzito pia kitambi kwenye mwili. Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna…
Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna Ya Kukiondoa – 2
Habari Afromates ikiwa ni jumatano nyengine tukiwa katika muendelezo wa makala yetu tuliyoanza wiki iliyopita kuhusiana na swala zima la Kitambi, badala yakufahamu nini maana yake. Nini Chanzo Cha Kitambi Na Namna Ya Kukiondoa – 1 Tungependa kwenda moja kwa moja kuangazia nini sababu ya…
Unahitaji App Hii Ili Kufanya Mazoezi Mwenyewe
Tulio wengi changamoto ya kipato na na muda imekuwa sababu kubwa linapokuja swala la mazoezi, wapo wanaokosa muda wa kuhudhuria gym, wapo wanashindwa kulipia gharama. Lakini pia tupo ambao vyote vinatushinda, sababu zipo nyingi lakini hizi mbili ndio hasa zimetufanya kuandika makala hii ya App unazohitaji…
Jua Aina Ya Mwili Wako Na Mavazi Yanayo Kufaa – The Triangle Body Type
Week iliyopita tuliona aina mbili za maumbo na mavzi yanayo wafaa, maumbo hayo ni pear na apple kama hukufanikiwa kusoma click link hapo chini ili uweze kusoma na kujua umbo lako linaangukia katika aina ipi ya umbo Jua Aina Ya Mwili Wako Na Mavazi Yanayo…
Jua Aina Ya Mwili Wako Na Mavazi Yanayo Kufaa
Japo Dunia ya sasa wengi hawaangalii aina ya miili yao, na wengi wanasema ukisubiri hadi upungue au unenepe ndio uvae utachelewa. Ni kitu kizuri hasa kutokana na kwamba fashion haina mipaka na kwamba ukiridhika na nafsi yako basi inatosha lakini si mbaya kama tukikupa tips…
3 Items To Have On Your Beach-Vacation This Weekend
Weekend imefika wengine wana plan za kwenda sehemu mbalimbali kutembea, lakini wengi wetu tungependa kutembelea ufukweni kupata upepo wa bahari na ku-clear mind kutokana na stress za week nzima. Well je unajua nini uwe nacho ukiwa unaenda huko beach? leave that to us maana tupo…
Njia 6 Rahisi Za kupunguza Uzito Bila Ya Kutumia Diet
Wakati wengi wamemaliza kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kupungua uzito wengi watakuwa wanajiuliza namna ambavyo wanaweza ku-maintain mwili wako ubaki hivyo hivyo bila ya kuongezeka huku wengine wakiwa wanateseka na namna wanaweza kupunguza miili yao bila ya kufanya mazoezi na kufanya diet kali. Kuna…
Stylish Accessories Zinazoweza Ku-update Mavazi Yako ya Ramadhani
Watu wengi hudhani kuvaa mavazi ya kujistiri kuna kufanya uwe boring kwamba huwezi ku accessorize mavazi hayo, kizuri ni kwamba mitindo ina kua na kubadilika siku hadi siku zamani ma baibui yalikua ya rangi moja tu ambayo ni nyeusi lakini kwa sasa tunaona mabaibui yakiwa…
Ndizi Inavyo Weza Kukusaidia Katika Ngozi Na Nywele
Ndizi ni tunda tamu sana ambalo wengi huwa tunapendela kulila na hakula, zina msaada katika mwili na magonjwa mbalimbali zinasifika kwa kuwa na wingi wa B6, copper, manganese, potassium, vitamin C, and biotin. Lakini sifa za ndizi haziishii kwenye utamu tu lakini pia msaada wake katika…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…