Namna Ya Kuwa Stylish Huku Ukiendana Na Bajeti Yako
Wakati tunapitia mitandao mbalimbali tukakutana na story ya mwanadada aliyeingia katika madeni kisa tu ni kutaka kuwa Fashionista katika Instagram, Lissette Calveiro anasema watu walikuwa wakimuona anaishi maisha mazuri na kusafiri sehemu mbalimbali lakini nyuma ya pazia alikuwa ana mikopo na madeni ya $10,000/- sawa na…
Jinsi Ya Kuanza Kula Mlo Kamili Na Bora
Kuanza kula mlo kamili ni bora ni kazi sana, wengi wetu tunashindwa kutokana na miundo ya Familia zetu tumezoa tukiamka asubuhi ni viporo,vitumbua nk, mchana ugali na usiku wali. Hii inatufanya tuishi kwa ajili ya kula na si kula kwa ajili ya kuishi. Kama ungependa…
3 Reason’s Why You Should Own A Pair Of Nude Shoes
Nude shoes are new black shoes, karibu kila Fashionista ana pair ya nude heels or flats. Rangi ya viatu hivi ni blush creamy beige zina-compliment every outfit just like black shoe. Kwanini uwe na nude shoes kwenye kabati lako 1) ukitaka kuonekana mrefu – nude…
Fashion Fix: How To Wear Side Cutout Dress Without The Bra Saying Hi To Us
Cut out, backless dresses zinaweza kuva very trick katika kuzivaa, huko kwa wenzetu ni machaguo yao makubwa hasa kwenye red carpet lakini huku kwetu yanatengwa sana labda kwa sababu tunakimbia kutokuvaa bra (sidiria) na pia kama utakosea kwa kuvaa bra ambayo sio sahihi unakuwa…
Fashion Fix: How To Get Rid Of Camel Toe
We all have days ambazo unataka kuwa free kuvaa tight pants, leggings na kushow off miili yetu, some huwa wanaamua kutoka hivyo hivyo lakini wanakuwa very uncomfortable na wengine wanaamua kuacha kuvaa kwa sababu ya maungio yako kujichora vibaya hasa mbele, well hizi ndizo njia…
Trend Talk Tuesday – The Extra Long Belt Trend
Mikanda ipo tangu na tangu huwa inabadilika tu styles kuna waist belts, corset belts, purse belts etc lakini pia material yanabadilika kuna zile za suede, lather, kuna metallic pia ili mradi unapata kile unapenda pia kuna tofauti ya sizes hii hutokana na msimu na trends,…
Plus Size Tips Tumejifunza Kutoka Kwa Ashley Graham
Ashley Graham ni plus size model kutoka America ambae sisi na wengine wengi tunapenda anavyo jistyle kutokana na mwili wake as we always say fashion knows no age, limit or type of body ni wewe tu na kujitambua na kujua uvae nini unapendeza, kwa wale…
Ng’arisha Ngozi Kwa Kutumia Unga Wa Dengu
Unaweza ukawa una penda kupika/kula bagia za dengu au chakula chochote kinacho pikwa kutokana na unga wa dengu bila kujua unaweza kutumia dengu hio hio katika kufanya ngozi yako ing’ae. Kama ambavyo binadamu tunategemeana na mimea na wanyama katika kupata mahitaji yetu basi ndivyo ilivyo…
Tips On How To Dress Up For The Weekend
Siku tano za week wewe ni suits, pencil skirts, official shirts etc yaani unakuwa unavaa official kuna wengine huwa tunasahau hata kuvaa casual ukiwa nyumbani au unataka kutoka weekend unawaza mara tatu tatu nini uvae, maana umeshazoea kuwa official. Hizi siku mbili ni za wewe…
Green Tea Benefits On Weight Loss With Samichepi
Samichepi ni binti wa miaka 19, sisi tumemjua kutoka mtandao wa instagram ambapo ana wafuasi 105,000/- mpaka sasa, kwa mtu wa kawaida kuwa na followers laki na kuendelea kwa kufanya biashara tu ni jambo kubwa. Samichepi alianza na biashara ya kuuza bidhaa za urembo ambazo…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…