SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Dondoo

Nini Kipo Katika Handbag Yako? 

Siku chache zilizo pita tuliuliza hili swali katika kurasa yetu ya Instagram ambapo watu wengi walijitokeza kujibu, kwanini tuliuliza? kwasababu sikuhizi tunawaona wadada/wamama wanabeba handbag kubwa na nzito mno hii ilitufnye tuwaze nini kipo katika handbags zao na amini usiamini huwa kuna vitu vingi mno…

Dondoo

5 Must Own Hijab’s 

Hijab zina weza kuharibu au kupendezesha Mavazi yako kama itavaliwa vibaya au ipasavyo, wengi huwa tunajiuliza zile basic hijab za kuwa nazo kwa sababu ki ukweli kuna kila aina na kila rangi lakini zipi ndizo muhimu hasa? kwa kulitambua hilo tume amua kuwaletea hapa ubaoni…

Dondoo

Ways To Refresh Your Wardrobe This Ramadan 

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani una kuja na ina semekana itakuwa tarehe 27, ina wezekana ulikua busy hukuweza ku-refresh kabati lako kwa ajili ya Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani basi sisi tuna kupa tips chache za nini kibaki, nini kiondolewe katika kabati lako. Replace Min- Skirt/Dress…

Dondoo

Crystal Rose Quartz Nail Trend 

katika ulimwengu wa urembo wa kucha inaonekana kuna ingizo jipya last time we checked metallic nails ndio zilikua zina trend lakini kwa sasa Crystal Rose Quartz ndio ipo kwenye chat, well kwa wadada wanao penda rangi zilizo tulia katika kucha hii ina wafaa sana Rose…

Afya

DELISH & FAT BURN DRINKS 

Katika harakati za kupunguza uzito huwa tuna kumbana na vitu au ushauri mbalimbali vingine ni vichungu vinakufanya uamue kuachana na safari yako lakini kumbe kuna vinywaji vitamu tu lakini pia vinaweza kukuaidi kupungua uzito, Green tea – Green tea ina sifika sana katika kupunguza uzito,…

Dondoo

JINSI YA KUONEKANA FABULOUS BILA YA KUVAA HEELS 

Kuna watu wawili humu Duniani wanao weza kuvaa heels hata wakiwa wanaenda sokoni na wale ambao hawawezi kuvaa heels hata wakiwa wanaenda harusi, kiukweli binadamu hatufanani lakini haimaanishi kama huwezi kuvaa heels basi huwezi kupendeza. Unaweza kuvaa flats na bado ukapendeza kuliko mwenye heels japo…

Dondoo

TIPS ZA KUWA INSTAGRAM MODEL 

Instagram models ni wale wanamitindo ambao wana tangaza bidhaa  ma kampuni kupitia mitandao mostly mtandao unao tamba kwa kufanya hivyo kwa sasa ni Instagram huko kwa wenzetu wadada na wakaka wengi ambao wana penda kuwa wanamitindo wana tumia fursa hii kufanya kazi zao hapa Tanzania…