Weekend Outfit Ideas – Black skinny Jeans For Men
Sote tunajua weekends are for casual unless una mtoko usiku labda harusi au sherehe lakini kama ni mikutano na washkaji basi casual ndio mahala pake, huitaji suit & tie unacho hitaji ni simple outfits tu, na leo Afroswagga tukishirikiana na storm.tv tunakuletea ideas za kuvaa…
Nini Kipo Katika Handbag Yako?
Siku chache zilizo pita tuliuliza hili swali katika kurasa yetu ya Instagram ambapo watu wengi walijitokeza kujibu, kwanini tuliuliza? kwasababu sikuhizi tunawaona wadada/wamama wanabeba handbag kubwa na nzito mno hii ilitufnye tuwaze nini kipo katika handbags zao na amini usiamini huwa kuna vitu vingi mno…
FunFact -Tambua Namna Za Kupata Jeans Inayo Kutosha Vizuri.
Linapo kuja swala la kununua na kuzijali jeans ina weza ikawa very tricky, mara nyingi hutokea unanunua suruali,shirt au coat la jeans ukilifua basi huwa zina tabia ya kunywea/ au kuwa ndogo hii inatokana na kwamba zinapo tengenezwa kwenye kampuni moja kwa moja hupelekwa sokoni…
Namna Ya Kuangalia Mwili Wako Katika Mwezi Wa Ramadhani
Kuna watu wengi huwa wana sema nitapunguza ukifika mwezi mtukufu wa Ramadhani wakidhani kule kufunga kwa masaa kadhaa kuta punguza miili yao lakini kumbe una weza ukafunga na usipungue au ukazidi kunenepa yes una weza kushangaa au kudhani ni uongo lakini Mwezi Mtukufu ndio mwezi…
5 Must Own Hijab’s
Hijab zina weza kuharibu au kupendezesha Mavazi yako kama itavaliwa vibaya au ipasavyo, wengi huwa tunajiuliza zile basic hijab za kuwa nazo kwa sababu ki ukweli kuna kila aina na kila rangi lakini zipi ndizo muhimu hasa? kwa kulitambua hilo tume amua kuwaletea hapa ubaoni…
Ways To Refresh Your Wardrobe This Ramadan
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani una kuja na ina semekana itakuwa tarehe 27, ina wezekana ulikua busy hukuweza ku-refresh kabati lako kwa ajili ya Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani basi sisi tuna kupa tips chache za nini kibaki, nini kiondolewe katika kabati lako. Replace Min- Skirt/Dress…
Crystal Rose Quartz Nail Trend
katika ulimwengu wa urembo wa kucha inaonekana kuna ingizo jipya last time we checked metallic nails ndio zilikua zina trend lakini kwa sasa Crystal Rose Quartz ndio ipo kwenye chat, well kwa wadada wanao penda rangi zilizo tulia katika kucha hii ina wafaa sana Rose…
DELISH & FAT BURN DRINKS
Katika harakati za kupunguza uzito huwa tuna kumbana na vitu au ushauri mbalimbali vingine ni vichungu vinakufanya uamue kuachana na safari yako lakini kumbe kuna vinywaji vitamu tu lakini pia vinaweza kukuaidi kupungua uzito, Green tea – Green tea ina sifika sana katika kupunguza uzito,…
JINSI YA KUONEKANA FABULOUS BILA YA KUVAA HEELS
Kuna watu wawili humu Duniani wanao weza kuvaa heels hata wakiwa wanaenda sokoni na wale ambao hawawezi kuvaa heels hata wakiwa wanaenda harusi, kiukweli binadamu hatufanani lakini haimaanishi kama huwezi kuvaa heels basi huwezi kupendeza. Unaweza kuvaa flats na bado ukapendeza kuliko mwenye heels japo…
TIPS ZA KUWA INSTAGRAM MODEL
Instagram models ni wale wanamitindo ambao wana tangaza bidhaa ma kampuni kupitia mitandao mostly mtandao unao tamba kwa kufanya hivyo kwa sasa ni Instagram huko kwa wenzetu wadada na wakaka wengi ambao wana penda kuwa wanamitindo wana tumia fursa hii kufanya kazi zao hapa Tanzania…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…