Tips Za Kupungua Uzito Ndani Ya Siku 7 – Khloe Kardashian
Bado the interment is not over Khloe Kardashian Revenge body kila mtu ana taka kujua ame fanya nini kupunguza uzito alio kuwa nao na kuwa alivyo sasa, wengine wakisema Khloe ame fanya surgery kupata ule mwili Khloe akameona isiwe shida kaamua kutoa Tips za jinsi…
FASHION DO & DONT’S #1
Katika mitindo kuna vitu vingi ambavyo huwa tuna fanya bila kukusudia lakini kumbe kipo wrong, Fashion ni pana sana katika dunia kila mtu ana jicho lake la jinsi anavyo ona kitu ndio maana wengi wetu tuna taste tofauti linapo kuja swala la mitindo kuna mtu…
DONDOO ZA MAVAZI KATIKA JOB INTERVIEW
Linapo kuja swala la interview ndio lile neno la “dress to impress” linapo kuja, japo kuwa vyeti vyako na elimu yako vina mata katika job interview lakini pia muonekano muhimu, una weza kuwa una Degree, Masters, PHD lakini kila ukienda kwenye job interview una kosa…
NAMNA YA KURUDISHA WEAVING KATIKA HALI YA UPYA
We all have lile weaving ambalo ni la muda mrefu, lime kakamaa, lime kauka, lime kuwa na vifundo ila tunalipenda na we still keep it tulionege tu labda siku moja tuta pata msaada wa nini cha kufanya kulirudisha katika hali yake ya kawaida na afro…
NJIA 7 ZA KUKUTOA KATIKA MITOKO YA AINA MOJA
Kuna kipindi kila ukiliangalia kabati lako una hisi hii nilisha vaa au kwanini kila siku naonekana yule yule hubadiliki, kuna sababu za wewe kuwa hivyo ina wezekana upo attached sana na baadhi ya rangi au kuna nguo zina kufanya ujihisi upo comfortable labda kwa sababu…
PLUS -FABULOUS
Ana jiita @original_mangu kwenye mitandao ya kijamii, ni plus size woman ambae ana penda mitindo pia ana uza nguo, she is our plus Fabulous. Mangu yeye ana break all the boundaries linapo kuja swala la yeye kuvaa na kupendeza ina julikana kuwa plus size na…
FASHION STAPLES KWA AJILI YA JOB INTERVIEWS
Kuvaa formal clothes na polished pumps (viatu) inasemekana ina weza ku boost confidence na kuwafanya colleagues kukuona una jielewa na msomi, ina semekana ina wachukua wanao kuinterview sekunde 30 kujua waku ajili au lah kutokana na muonekano wako, kwaio ni vyema ukajitaidi kujua nini uvae…
NAMNA YA KUONDOA UNJANO KWENYE KUCHA
Hakuna kitu kina tia kinyaa kama kucha chafu, ina wezekana ikawa sio uchafu wa kutoka as kuchukua kijiti na kutoa hii inakuwa kama stain (doa) kwamba haitoki huwa ina tokana na kupaka rangi mara kwa mara, magonjwa au tu bad life style, hizi ni njia…
VITU 7 KUTOKA JIKONI VINAVYO WEZA KUSAIDIA UKUAJI WA NYWELE ZAKO
Bidhaa za urembo hasa wa nywele na ngozi vina panda bei siku by siku yaani day and night, leo una weza kuta elfu ishirini ukaenda kesho ukaambiwa elfu thelasini, basi ili mradi tafrani na hii ina tokana na demand ya vitu hivi kuwa kubwa. Kwa…
UCHAGUZI WA MANUKATO AMA PERFUMES KWA WAKAKA
Hii yaweza kuwa imewakumba wengi ambapo waweza kutana na mtu katika usafiri yaani daladala ama kwenye sherehe ama tukio lolote na kushangwaza na harufu ya manukato atumiayo maana baadhi yetu tumekuwa ni wanunuzi wa perfumes zisizoeleweka na kuwa na harufu kali sana hata kuwakosesha raha…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…