Halima Yahya Bonnet Zina Mahali Pake
Kiukweli bonnet ni msaada mkubwa sana, hasa kwenye mizunguko midogo midogo kama hujasuka au nywele haziko sawa unaweza kuivaa tu ukatoka. Lakini bonnets hazifai kwenye mahali ambapo ni event ya maana, last week tumemuona muigizaji Halima Yahya wengi tunamjua kama Davina akiwa Dodoma, Halima alionekana…
Idris Sultan MisMatched Shoes Saga
Muigizaji, mchekeshaji, radio host na mshindi wa  Big Brother Africa-Hotshots, 2014 Idris Sultan amekuwa gumzo huko mitandaoni kutokana na uchaguzi wake wa viatu katika hafla ya Uwekezaji Day 2023 amabyo iliandaliwa na bank ya CRDB. Idris alikuwa moja kati ya waalikwa katika hafla hio na…
Uche Ogbodo’s What I Ordered Vs What I Received Situation
Muigizaji kutoka Nigeria Uche Ogbodo ambae anasema hakuwahi kuamini kuhusu what i ordered vs what i received mpaka ambapo hii situation ilipomtokea. Uche anasema alinunua material mwezi mmoja kabla na fundi aliahidi atapata kile ambacho amekitaka na badala yake akapokea kitu sicho. Uche alipost picture…
Stockings Zilivyoharibu Shughuli Ya Yemi Alade
Moja ya mavazi ambayo ukivaa unatakiwa kuwa mtulivu na mwenye heshima ni stockings huwa ni rahisi sana kuchanika na kuharibu muonekano wako mzima. Hali hii imetokea mwanamuziku kutoka Nigeria, Yemi Alede ambapo alivaa vazi lake la kitenge akaamua avalie na stockings ndani, lakini kama ilivyoada…
Mkanda Ulivyoharibu Shughuli Ya Mimi Mars
Mwanamuziki Mimi Mars ambae kwasasa yupo kwenye media tour kwaajili ya wimbo wake mpya wa Lala ( this song is fiya though) ameonekana kupatwa na dhambi za fashion baada ya belt aliyoivaa kuharibika kidogo akiwa shughulini tunasema ajali kazini. Mimi Mars ambae alivaa all white…
Watu Maarufu Kuvaa Winter Jackets Kipindi Cha Jua
Leo kwenye fashion court tupo na watu maarufu wanaovaa winter jackets na jua hili la Nchini kwetu, tena basi wakiwa hawapo Iringa wala Mbeya wapo kwenye Jiji lililobarikiwa Jua na Joto. Yes we have seen it and imetushangaza unavaaje winter coat na hili jua? Are…
Nandy Vs Macrida Who Rocked It Better
Leo kwenye who rocked it better tunae mwanamuziki Nandy pamoja na stylist Macrida Joseph, tume wa-spot wawili hawa wakiwa wamevalia S Colorful Striped Halter Chic Backless Jumpsuit. Nandy amevalia jumpsuit hii akiwa amemalizia na pixie cut hair style, big hoop earings na simple makeup wakati…
Mimi Mars Atenda Dhambi Hii Ya Fashion
Mwanamuziki na Muigizaji Mimi Mars ameonekana katika short clip ambayo anaongelea season mpya ya Tamthilia ya Jua Kali ambayo na yeye anaigiza humo ndani, Katika clip hio Mimi Mars amevalia one shoulder sequin dress ambayo amemalizia na makeup nzuri na nywele nzuri. Lakini amefanya dhambi…
Reviewing Diamond Platnum’z First Of All Ep Cover Outfit
Mwanamuziki Diamond Platnumz ametoa EP yake iitwayo first of all, wakati wengine wakiwa wanaendelea kuchambua nyimbo zilizopo sisi tumeona tugeukie upande unaotuhusu nao ni wa mavazi ambayo amevaa katika cover ya Ep hiyo, well get all the scoop and juice kwa kuangalia review yetu hapo…
Quen Linna Totoo VS Jojo Gray
Another Fashion Battle Field, hii segment tunawaletea Fashionista’s mbalimbali wa kiume na wa-kike ambao wamevalia mavazi yanayofanana na mtachagua nani ame-style vazi hilo vizuri zaidi. Week hii tunae Fashionista Jojo Gray na wifi yetu kutoka kwa mwanamuziki Dogo Janja, Quen Linna Totoo wakiwa wamevalia hii…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…