Mama Diamond Platnumz Great Gatsby Birthday Theme Review
Watu wote macho yetu yalikuwa kwenye hii birthday ya Mama Diamond Platnumz na mkwewe Tanasha Donna, wakati wengine walikuwa wakisubiri kujua kuna jambo kubwa gani usiku huu, sisi wengine tulikuwa tunasubiri kuona fashion ambapo theme iliyoandaliwa ni The Great Gatsby. Mwongozo Wa Namna Ya Kuvaa…
Irene Uwoya Dropped Tsh 7,787,169/ For These Dolce & Gabbana Heels And Shoulder Bag
Ukiongelea watu maarufu ambao wana slay kwa hivi sasa huwezi kuacha kumtaja Irene Uwoya, hatujui huyu mdudu slayer katika wapi ila one thing is for sure tunapenda tunacho kiona kutoka kwake. Irene ni msanii mkubwa sana na kuona kwamba anachukua muda wake kujiweka katika hali…
Wizkid Ayo Flexing His Tzs 3,952,686.56 Gucci Courrier Soft GG Supreme Tote
Linapokuja swala la kuvaa brand kubwa huko Nigeria huwezi kum-count out mwanamuziki Wizkid Ayo, anavaa brand kubwa kama Channel, Dolce & Gabbana, Fendi lakini his favorite brand ni Gucci. Ukipitia katika account yake ya Instagram utagundua kati ya post tatu au nne inayofuata amevaa vazi…
Suit Aliyo Vaa Wasiwasi Mwabulambo Imetoka Katika Ki2pe Women Wear Collection?
Well kama utauliza Afroswagga wana tumia muda wao vipi utaambiwa huwa tunakesha social net work kutafuta interesting story za fashion, na katika pitapita zetu tukakutana na mbunifu wa mavazi ki2pe, ki2pe huwa anabuni suit na mavazi mengine ya kike na kiume. Na week iliyopita katika…
Nuruelly, Banana Zorro Na Kala Jeremiah Jifunzeni Kutoka Kwa Papii na Nguza Viking
Ikiwa tunaona tasnia ya mitindo inaanza kurudi katika heshima yake kutokana na maamuzi mbalimbali yaliyo chukuliwa hivi katibuni kama kuwa na chana cha mitindo, bi. Asya Khamsin na Hashim Lundenga kuwaachia vijana kusimamia majukwaa yao ya mitindo kuna wengine ambao bado wamekwama katika Dunia ya…
Maua Sama Arudi Hatua Kumi Nyuma Na Hii Outfit
Kwa hapa kwetu Tanzania imekuwa kawaida ya watu maarufu kuboronga hasa kwenye mitindo huwa hawakai sawa utamsifia leo kesho anakuja na bomu lingine kabisa, ukaweza kujiuliza imekuaje? hii imeonekana kwa Maua Sama pia ambae last week aliachia picha mpya na mionekano mipya wengi walimsifia pamoja…
Stylist Wa Rayvanny Ajaribu Kufikiri Nje Ya Box
Rayvanny ni moja kati ya wasanii wanao fanya vizuri katika sekta ya muziki, ana toa hit after hit na video zake zipo very fashionable. Lakini linapo kuja swala la street style hatuja jua Raymond ana kwama wapi, He is young & fresh na yeye ni…
Harmonize Rocking Christian Louboutin Shoes With Gucci Logo
Harmonize ni moja kati ya wasanii waliopo chini ya label ya WCB, ni moja kati ya wasanii wanao jipenda na kupenda vizuri, kama ni mpenzi wake au mfuatiliaji utagundua ameanza tabia ya akinunua kitu ana brag about it na kuweka kwamba amenunua kiasi gani, well…
Who Rocked This Style Your Soul Body Suit Better Between Cherie Mals, Lavidoz And Jacqueline?
Style Your Soul ni brand ya mavazi kutoka Tanzania, unlike other brands za Nchini kwetu Style Your Soul ipo advanced, mavazi yake yapo kisasa na quality yake ni nzuri sana. Well tume wa spot fashionista watatu wakiwa wamevalia Style Your Soul’s body suit ambayo ndiyo…
Vanessa Mdee Na Linah Wamevaa Gucci Fanny Pack Yenye Thamani Ya 2,420,000ml
Wanasema “vunja mfupa kama meno ipo”, kama unacho unacho kipenda basi uta gharamika kukipata hii imetokea kwa wanamuziki wawili wa kike kutoka Tanzania ambao ni Vanessa Mdee A.K.A Vee Money na Linah Sanga A.K.A ndege mnana, wawili hawa wamekuwa spotted wakiwa wamebeba Gucci Fanny Pack…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…