NAMNA 5 ZA KUDUMISHA NYWELE ZENYE DAWA
Wengi wetu huwa tuna dhani kuweka dawa na kufanyia steaming ndio kutakuza na kufanya nywele zetu kuwa na afya, hivyo utakuta mtu ana weka dawa kila baada ya mwezi na kufanyia steaming kila baada ya week mbili. Hii ndio husababisha nywele kunyonyoka na kutokua na…
KUZA NYWELE KWA MAJI YA MCHELE
Ina shangaza ndio, na ina weza isiaminike lakini huo ndio ukweli. Maji ya mchele yana faida kubwa katika nywele una weza kuuliza kivipi na nani yame msaidia, ina semekana kabila la Yao kutoka kijiji cha Huangluo Nchini China ndilo kabila ambalo lina wanawake wenye nywele…
Box Braids with Curly Ends Trend
Kama wewe ni mpenzi wa rasta basi tunauhakika utaupenda huu mtindo ambao una trend kwasasa, unaitwa Spanish braiding extensions au box braids with curly ends. Style hii ya rasta inaishia na mawimbi mwisho ambayo inakupa nafasi ya kuzi-style namna mbalimbali bila kuchosha. Kwa wale ambao…
Afro Hair Style Trend
Afro hair style huwa inakuja kwenye trend na kupotea japo Afro ni nywele za ki-Africa lakini mara nyingi wengi wetu huwa tunapenda kuziweka dawa ziwe sleek au kutumia weavings na wigs za sleek hair. Kwa sasa tunaona Afro Hair Style inarudi na kuonekana kuanza ku-trend,…
Namna Ya Kuandaa Rasta Zako Kabla Ya Kuzisukia
Asilimia kubwa ya wanawake kwa wanaume kwa sasa wanasukia rasta, ni namna moja ya ku-protect nywele zako asilia lakini pia kuonekana mtanashati. Lakini mara nyingi baada ya kusikia rasta tunapatwa miwasho, hii ni kutokana na kemikali zilizopo katika rasta hizo tulizosukia. Lakini unaweza kuepukana na…
Faida Za Foronya Za Satin/Silk Kwenye Nywele
Inawezekana unatumia pesa nyingi katika kununua products za nywele lakini bado unaona matokeo sio mazuri au yanachelewa kujionyesha, hii inawezekana ni kutokana na kitambaa cha mto au shuka unalolalia. Mito au mashuka ya cotton huwa yananyonya mafuta kwenye nywele lakini pia kuzifanya ziwe fizzy na…
Lulu Diva, Ciara Na Zuchu Wakiwa Katika Floor Length Braids Trend
Inaonekana trend kubwa kwa sasa ni kusukia rasta ambazo ni ndefu mpaka chini tunaposema chini tunamaanisha zinagusa ardhi. Mwaka 2017 tulimuona mwanadada Nicki Minaj ambapo yeye alisumia rasta ndefu hivi katika video ya motor sport. Nicki alisema ilimchukua masaa 36 kusuka nywele hizi ambapo hii…
Braids And Natural Hair Moments From Magazine Covers To Runway
Gone are the era’s of praising wigs and weaves, ilikuwa si kawaida sana kukuta watu maarufu wamesukia rasta au kuwa na african natural hair katika covers za magazine au kutembea katika runways lakini kwa sasa tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wanatumia natural hair na rasta…
Makosa 4 Ya Wigs Ambayo Hufanyika Na Namna Ya Kuyatatua
Baada ya kipindi kirefu wig’s kuonekana katika beauty regime ya watu wengi sasa zimeonekana kukubalika kwa kasi na kufanikiwa kuingia katika mainstream popularity in beauty community, asante kwa watu maarufu ambao wameonekana kuzivalia kwa kiasi kikubwa. Ikiwa zinasaidia ku-save muda lakini pia pale ambapo unapata…
Matumizi Ya Tangawizi Katika Ukuaji Wa Nywele
Kwa warembo wote wanaopenda nywele nzuri na za kupendeza ,je wajua kua Tangawiz ni nzuri sana kwa nywele yako? Tangawiz ni nzuri kwakua is very rich in minerals na pia ina essential oils kwa ajili ya kuifanya nywele yako iwe soft na rahis kuitunza Kwa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…