Afro Hair Style Trend
Afro hair style huwa inakuja kwenye trend na kupotea japo Afro ni nywele za ki-Africa lakini mara nyingi wengi wetu huwa tunapenda kuziweka dawa ziwe sleek au kutumia weavings na wigs za sleek hair. Kwa sasa tunaona Afro Hair Style inarudi na kuonekana kuanza ku-trend,…
Namna Ya Kuandaa Rasta Zako Kabla Ya Kuzisukia
Asilimia kubwa ya wanawake kwa wanaume kwa sasa wanasukia rasta, ni namna moja ya ku-protect nywele zako asilia lakini pia kuonekana mtanashati. Lakini mara nyingi baada ya kusikia rasta tunapatwa miwasho, hii ni kutokana na kemikali zilizopo katika rasta hizo tulizosukia. Lakini unaweza kuepukana na…
Faida Za Foronya Za Satin/Silk Kwenye Nywele
Inawezekana unatumia pesa nyingi katika kununua products za nywele lakini bado unaona matokeo sio mazuri au yanachelewa kujionyesha, hii inawezekana ni kutokana na kitambaa cha mto au shuka unalolalia. Mito au mashuka ya cotton huwa yananyonya mafuta kwenye nywele lakini pia kuzifanya ziwe fizzy na…
Lulu Diva, Ciara Na Zuchu Wakiwa Katika Floor Length Braids Trend
Inaonekana trend kubwa kwa sasa ni kusukia rasta ambazo ni ndefu mpaka chini tunaposema chini tunamaanisha zinagusa ardhi. Mwaka 2017 tulimuona mwanadada Nicki Minaj ambapo yeye alisumia rasta ndefu hivi katika video ya motor sport. Nicki alisema ilimchukua masaa 36 kusuka nywele hizi ambapo hii…
Braids And Natural Hair Moments From Magazine Covers To Runway
Gone are the era’s of praising wigs and weaves, ilikuwa si kawaida sana kukuta watu maarufu wamesukia rasta au kuwa na african natural hair katika covers za magazine au kutembea katika runways lakini kwa sasa tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wanatumia natural hair na rasta…
Makosa 4 Ya Wigs Ambayo Hufanyika Na Namna Ya Kuyatatua
Baada ya kipindi kirefu wig’s kuonekana katika beauty regime ya watu wengi sasa zimeonekana kukubalika kwa kasi na kufanikiwa kuingia katika mainstream popularity in beauty community, asante kwa watu maarufu ambao wameonekana kuzivalia kwa kiasi kikubwa. Ikiwa zinasaidia ku-save muda lakini pia pale ambapo unapata…
Matumizi Ya Tangawizi Katika Ukuaji Wa Nywele
Kwa warembo wote wanaopenda nywele nzuri na za kupendeza ,je wajua kua Tangawiz ni nzuri sana kwa nywele yako? Tangawiz ni nzuri kwakua is very rich in minerals na pia ina essential oils kwa ajili ya kuifanya nywele yako iwe soft na rahis kuitunza Kwa…
Jaza Na Rudisha Nywele Zilizokatika Kwa Kutumia Mayonnaise
Leo hii kwenye safu ya urembo tutaongelea jinsi ya kujaza nywele kwa kutumia mayonnaise hasa kwa wale wenye nywele zinazokatika mbele. Mayonnaise ina uwezo mkubwa wa kuotesha nywele zako zinazokatika lakini pia ina uwezo wa kujaza nywele ambazo ni chache kichwani.Kama utafanikiwa kupata kwa wingi…
Fahamu Njia Za Kukuza Nywele Zako
Kwa wapenzi wote wanaopenda kuwa na nywele ndefu za kupendeza, Je wajua hakuna mafuta yanayokuza nywele? Kwamba ukipaka nywele yako itakua haraka ? Kwa miaka mingi tumeamin sana kwamba ukipaka mafuta fulani ya nywele yanakuza nywele haraka na tumeakua tukitafuta mafuta yanayokuza na kujaza nywele….
Fanya Haya Kuacha Kuharibu Nywele Zako Na Matumizi Ya Moto
Kwa wapenzi wote wanaopenda nywele hakuna kitu kinachoua nywele kama matumiz ya moto unaotokana na dryer, blow dryer au pasi . Jinsi Ya Ku-Blow Dry Nywele Za Asili Bila Kuziharibu Wengi wanaamin kua njia pekee ya kukausha au kunyoosha nywele ni kutumia moto lakin hayo…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…