Je Unajua Nywele Yako Ni Ya Aina Gani?
Dear hair lovers katika utunzaji wa nywele yako ni vizuri kujua aina ya nywele yako kwakua utunzaji wa kila type ni tofauti, Zipo aina 4 za nywele na hiz ni Straight, Wavy, Curly na Kinky au unaweza pia ukaziita type 1,2,3 na 4 Kwa watu…
Mambo Ya Kuzingatia Katika Ukuzaji Wa Nywele Za Asili
Every woman dream is to have healthy natural hair very gorgeous and lovely. Lakin kuweza kupata haya matokeo inahitaji kua na mahusiano mazuri na nywele yako kwakua nywele nzuri sio tu kupaka mafuta halaf nywele ikue hapana. Mambo ya kuzingatia ili uweze kukuza nywele yako…
Makosa Unayofanya Wakati Wa Kuosha Nywele Zako
Wote tunaosha nywele ila haitakushangaza ukisikia kwamba uoshaji wa nywele zako si sahihi. Wengi wetu tumekuwa tukifanya makosa kadhaa wakati wa kuosha nywele. Baadhi yetu hatutumii muda wa kutosha kusugua scrub” ngozi ya kichwa “scalp”, hatuoshi vizuri na baadhi pia hatutumii conditioner. Na haya ni…
Bubble Ponytail Hair Style Is Everyone Favorite For Now
Kuna zile style za nywele ambazo huwa zinaonekana kupendwa sana na watu mbalimbali, na ukipita mitaani au kwenye social network unazikuta sana iwe kwa watu maarufu au tu watu wa kawaida, moja kati ya hair styles ambazo tumeona zina trend kwa sasa ni hii bubble…
Jacqueline Mengi & Rihanna Wanatuonyesha Namna Ya Kuslay Minyoosho Hair Style
Sote tunazile siku ambazo tunaona tunahitaji kupumzisha kichwa na ma-wig na weaving’s na kuamua kusuka tu simple hair style, well week hii tumewaona mwanadada Rihanna pamoja na Jacqueline Mengi wameamua kutupilia mbali wigs na weaving’s zao na kuamua kusuka minyoosho, lakini tulichopenda zaidi ni namna…
Mitindo Ya Nywele Unayoweza Kujaribu Week Hii
New Week, New hair, tumeanza week ya kwanza ya March na tumeona tuwaletee mitindo ya nywele ambayo unaweza kujaribu week hii. Mitindo hii ya nywele ni ile ambayo tumeona ina trend na ni mizuri kwa ninyi mates wetu kusukia. Vitunguu Vitunguu huwa vinampendeza kila mtu…
Wema Sepetu, Rosa Ree, Miriam Odemba And Many More Slaying The Low Cut Hair Style
Its take a bold woman to cut her hair, and when she does that know that there are changes she is trying to make in her life, tumezoea kuona watu maarufu wengi waki-spend pesa zao kwenye nywele za bei ghali lakini kwa sasa tunaona wengi…
Mitindo Mizuri ya Nywele Kwa Ajili ya Valentine’s Day
We are few days away from Valentine’s day and we all know siku hii ya wapendanao tunapenda kupendeza kwa ajili ya wapenzi wetu, well leo tunakuletea quick fix ya mitindo ya nywele mizuri ambayo unaweza kusukia au kushonea kwa ajili ya siku hii maalum. Dinner…
Msanii A Pass Kutoka Uganda Atumia Milion 3.5 Katika Hii Hair Style
Ukistaajabu ya Gigy Money utayaona ya Msanii Alexander Bagonza A.K.A Apass kutoka Uganda ambae yeye alipost huu muonekano wake mpya wa nywele na caption aliyoandika “How do I look with this 3.5 million hair cut ✂️ ??? Be positive I spent a lot of money 😂😂😂 #Twookya Cc @hairbyzziwa @barber_chris553”…
Mitindo Ya Rasta Inayo Trend Kwa Sasa
Tunajua namna ambavyo nywele zinaweza kukamilisha muonekano wako, zinaweza kuharibu au kuboresha muonekano wako. Katika pitapita zetu katika mitandao ya kijamii tumeona baadhi ya mitindo ya rasta ambayo imeonekana kuwavutia wengi na ina trend kwa sasa, tukaona tuwaletee ili muweze kupata idea ya mtindo gani…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…