Namna Ya Kutumia Bia (Beer) Kupata Nywele Laini Na Zenye Afya
Seems like bia sio tu katika afya lakini pia inafaida katika urembo katika nywele na ngozi, wakati wengine wakipenda kuinywa ili kujifurahisha na marafiki zao na wengine husema zinapoteza mawazo, sisi wengine tunatumia kilevi hiki katika kupata laini na zenye afya. Ndizi Inavyo Weza Kukusaidia…
Irene Uwoya, Jacqueline Wolper & Mimi Mars In Rainbow Hair Do
Kama utakuwa umenotice the trending hair style kwa sasa ni Rainbow hair, Hii ni style ya nywele ambayo inakuwa na rangi moja kuu lakini ndani yake kuna rangi nyingine nyingine mchanganyiko, inaweza kuwa a wig, weave au hata natural hair inawezekana kufanya. Tumeispot kwa watu…
Njia 5 Za Kujali Edges Zako Zisikatike
Edges ni hizi nywele za mbele, pembeni na nyuma ya kichwa, mara nyingi nywele hizi huwa zinakatika sana, na hii ni kutokana na kwamba zenyewe ni nyepesi lakini pia hupitia mambo magumu ikiwepo kuzilalia, ukichana au kufunga mtindo unazifuta kwa nguvu kwenye kusuka pia zinavutwa,…
Its Pixie Haircut Style Season
Huko mitandaoni kuna hair styles mbalimbali zinaendelea ambazo tumeziona lakini kinachoonekana kuja kwa kasi kwa sasa hivi ni Pixie Cut ambapo style hii ya nywele nyuma zinakuwa fupi halafu mbele ndefu kidogo upande mmoja, hii hair style kuna kipindi fulani ilikuwa inaitwa “Rihanna hair style”…
Kim Kardashian Asuka Fulani Braids Katika Tuzo Za MTV Movie & TV Awards
Mwanamitindo na mjasiriamali Kim Kardashian ameonekana katika Tuzo za MTV Movie & Tv Awards akiwa amesukia rasta za fulani braids, kuna kipindi hizi rasta zilitrend sana watu maarufu wengi walisukia imeonekana Kim kavutiwa nazo na kuzisukia katika hafla ya MTV Movie & TV Awards, Kim…
Jinsi Ya Ku-Blow Dry Nywele Za Asili Bila Kuziharibu
Moto ni mbaya kwa nywele zetu, zinasababisha nywele ziwe dhaifu. Lakini nywele zetu za ki – Africa zinajikunja sana wakati mwingine ni kazi hata kuzichana inabidi ujaribu kuzilainisha kidogo au kuziweka ziwe straight. Leo tunakuletea namna ambavyo unaweza ku-blow dry nywele zako na usiziharibu. Ndizi…
3 Tips Za Jinsi Ya Kupendeza Na Nywele Fupi
Well tumemzoea Tiwa Savage akiwa na weaving au wigs ni mara chache kuona nywele zake. Lakini inaonekana huu mwaka watu wengi wameamua kukata nywele na Tiwa Savage ni moja wapo. Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Tiwa alipost muonekano wake huu mpya akiwa amekata boy-ish low…
Tutegemee Card Za Mualiko Wa Birthday Ya Style Ya Nywele Za Harmonize
Colorful hair styles ndio trend ya mwaka huu tumeona baadhi ya watu maarufu mbalimbali wakiwa wameweka rangi katika nywele zao, watu kama Kim Kardashian, Jaden Smith na Chris Brown wameonekana wakiwa na style hii lakini hawa tumesha wazoea hapa kwetu tumeona wasanii kadhaa wakiwa wame…
Finger Waves Hair Style Kwa Wenye Nywele Fupi
Tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wanakata nywele zao, lakini baada ya kukata wengi hukimbilia kuvaa ma wig au kusukia weaving ikatufanya tuwaze labda kwa sababu wanakosa style za nywele fupi za kuweka. Well tupa weaving kule as hii finger weave hair style is all you…
Style Hii Ya Nywele Ina Thamani Ya Milioni 252,784,000.
Tunakumbuka kuongelea kuhusu nywele kwamba unaweza ukawa na nywele zako bandia chache lakini zenye quality nzuri hata kama ni gharama sana lakini ni afadhali maana itadumu na unaweza kubadilisha utakavyo, Well sote tunajua kwamba katika vitu ambavyo wanawake wanavipenda ukiachana na viatu,mavazi na jewelry ni…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…