Finger Waves Hair Style Kwa Wenye Nywele Fupi
Tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wanakata nywele zao, lakini baada ya kukata wengi hukimbilia kuvaa ma wig au kusukia weaving ikatufanya tuwaze labda kwa sababu wanakosa style za nywele fupi za kuweka. Well tupa weaving kule as hii finger weave hair style is all you…
Style Hii Ya Nywele Ina Thamani Ya Milioni 252,784,000.
Tunakumbuka kuongelea kuhusu nywele kwamba unaweza ukawa na nywele zako bandia chache lakini zenye quality nzuri hata kama ni gharama sana lakini ni afadhali maana itadumu na unaweza kubadilisha utakavyo, Well sote tunajua kwamba katika vitu ambavyo wanawake wanavipenda ukiachana na viatu,mavazi na jewelry ni…
Solange Vs Athi-Afikile Beads Braids Hair Style
Beads Braids bado zina trend na tunaweza kusema African’s we are real pushing through na hii mitindo ya nywele tunayo ianzisha na kuongezea urembo tofauti tofauti kufanya misuko yetu ionekane ya tofauti. Mwanadada Solange Knowles ambae ni mdogo wa Beyonce ameonekana akiwa amesukia rasta za…
Kwanini Ukate Ncha Za Nywele?
Katika kushauriwa ukuzaji wa nywele zenye afya na ndefu mara nyingi tunakuta tunaambiwa tukate ncha za nywele, lakini kukata ncha hizi za nywele kuna saidiaje kukuza nywele? na je ni mara ngapi unatakiwa kukata hizi ncha? Ncha za nywele ni zile nywele zilizopo mwishoni kabisa…
Mtindo Wa Rasta Unaotrend Kwa Sasa
Mwaka jana tuliona Beyonce ame trendisha hizi braids hair styles ambapo watu wakazipa jina la formation tour braids, well mwaka huu tumemuona Lupita Nyongo akiwa amesukia hii style ya rasta ambapo tumeona fashionista’s wengi wamekuwa obsessed nayo. Lupita akiwa amepamba gazeti la Allure mwaka huu…
Lupita Nyongo Awakilisha Kabila La Amasunzu Kutoka Rwanda Katika Tuzo Za Oscar 2018
Kuna msemo unaotumika sana katika social networks hasa kwa wa Africa, wakifanya kitu kizuri wanasema “I did it for the culture” basi tunaweza kusema Lupita Nyong’o did this for the culture, Usiku wa kuamkia leo kulikua na hafla ya Tuzo za Oscars ambapo muigizaji Lupita…
Maua Sama Gone Blonde
Maua Sama ni moja kati ya wanamuziki ambao tunaweza kusema wanafanya Fashion Evolution, Maua wa sasa si yule wa zamani, she changing her looks more often lakini pia anatoka kwenye comfort zone yake, Zamani ulikuwa ukitajiwa maua kinacho kujia kichwani ni her signature look ya…
Nini Kiwepo Katika Natural Hair Spray Bottle By Adidah Naturals
Natural & Relaxed hair zinahitaji unywevu tunaweza kusema kila aina ya nywele inahitaji mafuta na maji ili kuweza kukua,na pia kuzuia kukatika kwa nywele,nywele zinapo kuwa kavu ni rahisi kukatika japo kuna njia ya LOC (Liquid, Oil & Cream) lakini pia utahitaji kuspray nywele kila…
Ali Kiba Debuted New Hair Style
Mwaka unaanza kuwa interesting katika Fashion tunapenda tunacho kiona blonde ina pumzishwa, wasanii hasa wa kiume hawakua na style’s nyingi za nywele wengi walikua wana bleach nywele au kuweka vile virasta lakini mwaka huu inaonekana wengi wameamua kuja kivingine as tulianza kumuona Ben Pol akiwa…
Alexander Wang And Balenciaga Are Bringing The 80’s & 90’s Hair Accessories Back
Baada kuona video ya Bruno Mars Na Cardi tukasema okay the 80’s are official back, maana Cardi na Bruno mars walivaa kizamani lakini vimekuwa styled kisasa, mwaka jana mwishoni tuliona statement earings zilivyo rudi kwa kasi ambapo katika video hii tumemuona Cardi amevaa pia, oh…
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…