MIMI MARS SHORT BLONDE HAIR STYLE
Mimi Mars ni mtangazaji lakini pia ame amua kuibuka katika Tasnia ya muziki wa bongo flava akifuata nyayo za dada yake Vanessa Mdee, Mimi amekuwa akisifika kwa kujua fashion she is always on point na juzi amekuja na new hair do ambapo ameonekana akiwa na…
NAMNA YA KURUDISHA WEAVING KATIKA HALI YA UPYA
We all have lile weaving ambalo ni la muda mrefu, lime kakamaa, lime kauka, lime kuwa na vifundo ila tunalipenda na we still keep it tulionege tu labda siku moja tuta pata msaada wa nini cha kufanya kulirudisha katika hali yake ya kawaida na afro…
NEW BLONDE IN TOWN – WIZ KHID
Ayodeji Ibrahim Balogun ana julikana kama Wiz Khid ambae kwa sasa ana hit na wimbo wake wa Dady yo ameonekana akiwa katika muonekano mpya baada ya ku bleach nywele zake, Well Wiz Khid needed this maana alikua na muonekano mmoja tu tulio mzoea ila je…
CRUSHING ON IRENE PAUL’S NATURAL HAIR
Ikiwa ni jumatano nyingine tena huko mitandaoni leo ni all about #WCW yaani Woman Crush Wednesday lakini kwetu leo tuna crush badly on Irene Paul’s natural hair, Irene ni muigizaji wa bongo movie mwenyewe huwa ana jifananisha na Angeline Jolie Well kama wana fanana kweli…
ELIZABETH MICHAEL STUNS IN BOHEMIAN CURLS
Elizabeth Michael ame post pictures zake akiwa na muonekano mpya, well sote tunajua ame kata nywele lakini kuna weaves na wigs za kutusaidia pindi tunapo hitaji kuonekana wa tofauti, na hiko ndicho alicho kifanya Lulu, She rocked Bohemian Curls Wig, ambayo ime mfanya aonekane wa…
WATU MAARUFU WAKIWA KATIKA LOW CUT HAIRSTYLE
Low cut ime kuwa a hit kwa sasa maana asilimia kubwa ya watu maarufu bongo wamenyoa nywele na kuacha nywele fupi, wakiwepo hawa watatu Jacqueline Wolper, Shaa na Feza Kessy. sio kitu rahisi sana kumkuta msichana/mwanamke kakata nywele zake na yuko proud kuonyesha kwamba kanyoa,…
GREY HEIR DON’T CARE – BLAC CHYNA
Angela Renée White una weza kumuita Angela Robert Kardashian au Blac Chyna ni model na mjasiriamali lakini pia ni video vixen, Chyna ambae hivi karibuni ame jifungua mtoto wake wa pili kutoka kwa mpenzi wake wa sasa Robert Kardashian, wakati mwanae wa kwanza ali zaa…
LOLA KIRKE SURPRISE ACCESSORY AT GOLDEN GLOBES AWARD
74th Annual Golden Globe Awards zilizo fanyika Beverly Hills California zilikua zina visanga vyake tofauti tofauti kuanzia Sarah Jessica Parker kuvaa bridal dress, Cuba Gooding Jr Kuvaa koti sililo mtosha basi ali mradi tafrani lakini kali iliyo sambaa sana mitandaoni na kufanya watu waongee sana…
JANELLE MONAE SAFETY PIN HAIR STYLE JE NI HIT AU MISS?
Mwanamuziki, Mwanamitindo na Muigizaji Janelle Monae ambae wengi huwa tuna mpenda na style zake za nguo na nywele ame kuja na hii mpya ya kutumia pini za kuwafungia watoto nepi au nguo ikiwa ime haribika au haikutoshi kama accessory katika nywele zake. Tulivyo ona hii…
KANYE WEST KATIKA HAIR STYLE MPYA
Rapper Kanye West ana onekana ndio rapper asiye ishiwa vituko, siku chache baada ya mkewe kuibiwa na yeye kupata tatizo la mental break down Kanye alionekana tena mtaani baada ya kurudi alionekana akiwa ame weka bleach nywele zake kidogo kichwani lakini sasa amekuja na hii…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…