4 Times Mwanamitindo Irene Ametupa Makeup Goals
Jumatano nyingine tena ya week ambayo huwa tunawaletea ni kitu au mtu gani ametuvutia katika mavazi, urembo, nywele au kitu chochote kutoka kwake. Week hii tunae mwanamitindo video vixen Irene au Officiallyyn ambae tumependa hizi makeup zake alizo fanyiwa na make up artist Rose Kayuga (@rosekayuga…
Jua Zaidi Kuhusu Eyebrow Microblading
Tumekuwa tukipata maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu eyebrow microblading, wengine wakiwa wanauliza ni nini, wengine wanauliza hapa Tanzania ni nani ana fanya na wengine wakituambia nini maoni yetu kuhusu hii trend, Well tumejaribu kutafuta eyebrow microblading ni nini na inakuwaje Spice Up Your…
Spice Up Your Makeup Game By Using Colored Eyeliner
Tunapenda ikija trend ambayo ipo exciting na inawezekana kufanyika kwa urahisi hasa ikiwa a good beauty trend, kuwaona watu wanapendeza inatupa such a good feeling. Imeonekana katika ulimwengu wa mitindo wameongeza kitu kipya kwa sasa nacho ni colorful eyeliner, tunamaanisha sahau kuhusu boring black eyeliner…
Makeup Looks Of The Week Kutoka Kwa Maua Sama, Shilole Na Irene Uwoya
Ni jumatatu nyingine tena week iliyoisha kulikuwa na event nyingi tofauti tofauti Nje na ndani ya Nchi. Lakini kunawale ambao wao hupenda tu kupendeza siku hizi tunasema “we do it for the gram” . Week hii tumewaona watu maarufu watatu ambao wao wame serve some major…
Soft Eye Makeup Look For Eid By Grace Malikita
Tumebakiza siku chache Eid ifike, wabunifu wametoa collection zao mpya za Eid kuanzia viatu mpaka mavazi lakini ma make up artist nao hawakuwa nyuma kutuonyesha namna gani unaweza kupaka makeup yako siku hio ya Eid, na moja kati ya makeup artist wazuri kabisa kutoka Tanzania…
Martha Hunt Debuted Crystals Makeup At The CFDA Awards
Mwanamitindo Martha Hunt jana alihudhuria katika sherehe za Tuzo za CFDA akiwa ameweka crystal makeup machoni, si kitu kipya tumeshaona makeup artist wakitumia crystals kwenye urembo kama eye shadow, kwenye nyusi na sehemu nyingine mbalimbali kwake yeye na makeup artist wake waliamua kuzungushia jicho zina…
Aina 3 Za Makeup Artist
Ulimwengu wa urembo unazidi kukua karibu kila mwanamke kwa sasa anajua kujipaka makeup, na wengine wasiojua basi wanapakwa na wale wanaojua, kufanya mambo kuwa rahisi basi wale make up artist wanaojua huwa wanafundisha kupaka hizi makeup’s kwa darasa inaweza kuwa kwa mwezi au week inategemea…
Makeup Looks Tulizozipenda Week Hii
Tunapenda jinsi makeup artist wetu wanavyo jitahidi katika swala zima la kuwafanya wasanii na watu maarufu wetu wapendeze, yes kama kuna kitu ambacho ukiharibu unaweza kuharibu muonekano wako mzima basi ni makeup. Makeup ikiwa mbaya inaweza kuharibu na muonekano mzima wa mtoko wako hata kama…
Wedding Makeup Inspiration By Makeup Artist Grace Malikita
Weekend’s are for wedding’s, kama unamualiko wa harusi weekend hii na bado unawaza ni makeup gani upake au mtindo gani wa nywele una kupasha uweke basi hapa ndipo Make Up Artist Grace Malikita au CherieMals anapo jaribu kukuonyesha nini ufanye. BRIDAL MAKE UP LOOK KUTOKA…
Faiza Ally Na Feza Kessy Wakituonyesha Namna Unavyo Weza Kupendeza Na Nywele Fupi
Mara nyinigi wanawake hawapendi kukata nywele kwa kuamini hawato pendeza hata ufanya nini lakini kumbe ni tofauti kabisa inategemea na namna ambavyo utaziweka na kujiweka. Tumeona jinsi ambavyo Faiza Ally na Fezza Kessy walivyo rock low cuts zao na kupendeza katika red carpets. Faiza Ally…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…