Diamond Platnumz & Juma Jux Serving Us After Quarantine Body Goals
Tulishawahi kusema kuna aina mbili ya watu watatoka katika karantine Ambao watakuwa body goals Wale ambao watatoka wameharibu body goals zao Well Wanamuziki Juma Jux na Diamond Platnumz wao wameonekana kutumia muda ambao tulikuwa tunatakiwa kukaa mbali na misongamano kutengeneza body goals zao. Hapana hatusemi…
Kama Una Mwili Kama Wa Diamond Platnumz Tips Hizi Zitakusaidia Katika Muonekano Wako – Inverted Triangle
Umeshawahi kukutana na mwanaume kavaa nguo ambayo ikakufanya ujiulize kwanini lakini? mbona haiendani na mwili wake? mara nyingi ina tokea right? hii ni kutokana na kwamba wanaume hawafocus sana katika haya mambo, si kama wanawake lakini hio ndio sababu ya sisi kuwahapa t kuwafunza na…
Unahitaji App Hii Ili Kufanya Mazoezi Mwenyewe
Tulio wengi changamoto ya kipato na na muda imekuwa sababu kubwa linapokuja swala la mazoezi, wapo wanaokosa muda wa kuhudhuria gym, wapo wanashindwa kulipia gharama. Lakini pia tupo ambao vyote vinatushinda, sababu zipo nyingi lakini hizi mbili ndio hasa zimetufanya kuandika makala hii ya App unazohitaji…
INSTAGRAM CRUSH @SAYMARIAH
Instagram ana tumia jina la @saymariah Jina lake ni Mariah ni fashionista wa Instagram pia ana duka lake liitwalo @saymariah_africanfashion ambalo lina deal na mavazi ya ki Africa. Kilicho tuvutia kutoka kwake ni uwezo wake wa kupangilia nguo mid skirt swagg boyfriend distressed jeans, red…
TIPS ZA MAZOEZI WEEKEND
Weekend ime fika una muda mwingi wa kufanya mengi ambayo ulikuwa ukitaka kufanya lakini ukashindwa kutokana na ratiba ime bana katika siku za kazi au shule, tumia wakati huu kuziba yale mapengo ambayo uliyaacha katika siku zako za kawaida, Nenda Mbali – inawezekana siku za…
MAVAZI YA MAZOEZI KUTOKA KWA KAJALA MASANJA
kajala Masanja au Kajala ni muigizaji kutoka hapa hapa nchini ambae na yeye katika maswala ya mitindo hayupo nyuma, Kajala ambae ni curvy woman yaani mwili wake sio mnene sanaa lakini pia si mwembamba ameamua kujiweka fit kupitia mazoezi, na siku za hivi karibuni amekuwa…
MAZOEZI KWA SHEPU NZURI (SQUARTS)
Hakuna mtu asiye penda shepu nzuri hasa kwa wasichana na wamama wa mjini lakini wengi wao hawana muda wa kwenda Gym kufanya mazoezi eidha kwa sababu ya kukosa muda (kazini, familia) au kwa uvivu wa hapa na pale, Squarts ni mazoezi yanayo saidia kukaza mwili,aina…
MITOKO NDANI YA KENDALL BIRTHDAY PARTY
Jana ilikua ni siku ya kuzaliwa ya mwanamitindo Kendall Jenner ambae amefikisha miaka 20, Kendall ana toka katika familia ambayo kila mmoja wao ana kipaji lakini hasa wame kisiri upande wa mitindo. Kendall akiwa ni mtoto wa tano kati ya watoto saba yeye ni mwanamitindo…
MAZOEZI YA YOGA YA USO
Ukosefu wa mazoezi ya viungo vya mwili husababisha kusinyaa kwa sura na kupatawa na matatizo mara kwa mara Yoga inaboresha sura na kuipa akili yako hali utulivu. Yoga – ni uhusiano wa kimwili na kiroho kwa hatua ambayo hutatua matatizo mara moja tu, wengi hudhani…
UMUHIMU WA PUSHUP KWA WANAWAKE
Pushup ni moja kati ya zoezi zuri Zaidi kwa Wanawake. Kwanini? Pushups za mara kwa mara haizitaimarisha kifua chako tu, lakini pia kutengeneza umbo zuri la Mabega, Misuli ya Mikono (Triceps), Misuli ya Makalio(Glutes) na kufanya misuli hiyo kuimarika na kukaza. Kuna aina nyingi za…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…