Hamisa Mobetto Channeling Her Inner Beyonce
Hamisa Mobetto has been slaying right and left this year, amekuwa akitu-serve look after look na tunapenda tunachokiona. Hivi karibuni alipost picture katika account yake instagram akiwa amevali gauni jekundu ambalo alikuwa inspired na mwanamuziki Beyonce. Hamisa alivaa gauni hili likiwa limeshonwa na brand yake…
Mishono Ya Kitenge Kutoka Kwa Fashionista Mbalimbali
Kiukweli sisi tunapenda tunapoona Fashionista wakitumia vitenge katika mavazi yao, Yes si kwamba tu wanatupa mishono bali pia wanatangaza vya kwetu. Tumewaona fashionista hawa watatu kutoka Tanzania, South Africa na Nigeria wakiwa wamevalia mavazi ya kitenge na tukaona tukuletee hapa labda unaweza kuona mshono utakaoupenda…
Add A Little Dramatic Puff Detail On Your Strapless Wedding Guest Dress To Stand Out
Wanasema kwenye harusi hutakiwi kuonyesha too much cleavage as uta ondoa attention kwa bi harusi na watu kuwa wanakushangaa wewe na kifua chako, lakini hio haimaanishi usivae off shoulder au strapless dresses but mishono hii sasa ishakuwa common kama ukitaka kuonyesha a little skin basi…
How To Have Fun With Kitenge Outfits This Weekend
Ni Furahi day nyingine tena, tunaanza mapumziko ya weekend na sote tunajua inapofika weekend tunachotaka ni kupumzika na familia na marafiki lakini pia kutoka nao kwenda nao sehemu mbalimbali ku-clear mind na ku-have fun. Weekend hii tumeona kwanini tusiwaletee namna ambavyo unaweza kuongezea kitenge katika…
Mishono Simple Ya Vitenge Kutoka Kwa Lola Akinuli- Adeniyi
Lola Akinuli Adeniyi ni Stylist, Designer, CreativeDirector, na Photographer kutoka Nigeria, Unaposikia Stylist na Designer lazima ufikirie kwamba ana sense nzuri katika mitindo & yes she has a good taste katika mitindo she is colorful, chic and elegant. Kwake tumependa hasa mishono yake ya kitenge na…
The Color-Block Ankara Skirt By Sgtc Clothing
Sgtc Clothing ni brand iliyopo Nigeria na inamilikiwa na mwanadada Adetoke Oluwo, ni brand ambayo inafanafanya vizuri hasa katika kuwa tofauti na brand nyingine katika mitindo,leo tuna crush na hii Color Block Ankara Skirt kutoka kwao, na watu maarufu wengi pia wameonekana kuvutiwa nayo Tumependa jinsi…
Mishono Simple Ya Kitenge
Kuna wakati unapenda kuvaa vazi lenye touch ya kitenge ndani yake, labda hupendi kitenge kichukue nafasi kubwa sana katika vazi lako au labda una sare ya harusi na unapenda uwe unique kidogo sio wote mvae kitenge cha aina moja na iwe full kitenge, hii mishono…
Joujou Nyaki Rocking A Kitenge Beret By Mia Design
Beret ni accessory ambayo ina trend kwa sasa, we have seen all leather beret, ukiachana na fabrics kuna rangi mbalimbali tumeona lakini kilicho tupendeza au iliyo tuvutia zaidi ni hii beret ya kitenge kutoka kwa mbunifu mia_design, Mia ni mbunifu wa accessory za ki- Afrika…
Mishono Minne (4) Ya Kitenge Kutoka Kwa Mwanamuziki Nhlanhla Nciza
Nhlanhla Nciza ni mwanamuziki kutoka South Africa, Nhlanhla ni kati ya wanamuziki wanao unda kundi la Mafikizolo, tunajua hadi hapo umesha mtambua mwanadada fulani hivi anae jipenda, anapenda kuvaa colorful outfit na mara nyingi utamkuta amevaa kitenge na mishono yake huwa unique, Nhlanhla amevalishwa na…
Mishono Ya Kitenge Kwa Ajili Ya Kazini
Japo kuna ambao wapo likizoni kuna wenzangu na sie ambao bado tupo makazini, wakati mwingine inakuwia vigumu kujua nini uvae jumatatu na unahitaji kuanza week yako vizuri ki-mavazi kufanya week yako nzima kwenda vizuri. Leo tunakuletea outfit ideas za kazini za kitenge tukiwa tumezitoa kutoka kwa…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…