Miriam Odemba Shot Fired Kwa Wanaovaa Rangi Nyeusi Kwenye Sherehe
Moja kati ya wanamitindo wakubwa kutoka Tanzania na ambao huwa hawaogopi kutoa maoni yao kuhusu maswala mbalimbali ni Miriam Odemba, Miriam amekuwa akitoa maoni yake kwenye sekta mbalimbali kuanzia za serikali, mahusiani,mitindo na nyingine nyingi. Juzi katika mtandao wake wa Twitter na Instagram alitoa maoni…
Nguvu Ya Rangi Na Athari Zake Katika Kazi
Ukweli kuhusu kazi ni kwamba inachukua sehemu kubwa ya maisha yetu, Muda unaotumika kazini mwetu, iwe ofisini, kwenye duka, au mahali popote pa kazi,Kwa hiyo, ni muhimu kufikiria jinsi tunavyoweza kutumia muda huu vyema, ikiwepo kutafuta furaha katika kazi yetu na katika daily routine zetu….
Reviewing Looks From Wema Sepetu’s Birthday Party
Kunapotokea event kubwa huwa macho yetu yanakuwa kwenye wageni waalikwa as tunajua kila mmoja wao anataka kuvaa apendeze na awe kwenye ile list ya best dressed katika siku hio, Ijumaa Wema Sepetu amesherehekea siku yake ya kuzaliwa na watu maarufu mbalimbali walihudhuria katika birthday party…
Wema Sepetu Celebrated Her Birthday In 3 Looks
Wema Sepetu ameongeza mwaka mwingine tena na kama kawaida yake amesherekea siku yake hii ya kuzaliwa in a glamorous way, ikiwa alivaa 3 looks tume review mionekano yake yote mitatu, unaweza kuangalia review yetu hapo chini Tuambie ni look gani umeipenda zaidi?
6 sexy color combos for men
Color ni muhimu sana katika outfits zako na watu wengi hawajui kutengeneza color combination ambazo zitakufanya uchukue full attention kwa audience ambayo imekuzunguka. Kama unavyojua color combination inasaidia sana kutengeneza muonekano ambao unavutia mbele za watu. Leo tungependa sana kukuletea color combination ambazo mwanaume ukijaribu…
Gym and Workout Essentials PART 2
Tunaamini kuwa umejifunza vitu vingi sana katika sehemu ya kwanza. Na leo tunawaletea sehemu ya pili kuna vitu ni essential muhimu sana na hautakiwi kabisa kuvikosa na ndio maana tukaamua kukuandalia sehemu ya pili ili uvijue kiundani zaid maana najua unaweza ukawa unavijua ila haujavitilia…
How To Fix Unflattering Outfit Problem
Kosa moja la kubwa ambalo watu hufanya wakati wa kuput outfit together ni kutozingatia uwiano wa mavazi na mwili. Hii ina maana gani? Kimsingi, ina maana kwamba uwiano wa mavazi yako hayapo balance, na kwa sababu hiyo, mavazi yako huenda yasionekane vile inavyotakiwa. Kuvaa na…
Sio Mizigo Ya Biashara Ni SuitCase’s Za Kusafiria Za Swanky Jerry
Jeremiah Ogbodo wengi tunamjua kama Swanky Jerry ni stylist kutoka Nigeria ambae amejibebea umaarufu kwa kuvalisha watu maarufu mbalimbali akiwepo Diamond Platnumz, Zari The Bossy Lady, Toke Makinwa na wengine wengi. Swanky huwa hana shughuli ndogo iwe kwenye red carpets au hata akiwa kawaidia kwenye…
Looks From Real Housewives Of Lagos Season 2 Premier
It was all about glamour & glitters at the Real House Of Lagos Season Premier, ikiwa theme ya vazi siku hii ilikua Eko Royalty tulionyeshwa namna gani kabila hili kutoka Nigeria nitajiri. Wengi waliohudhuria walivaa kama Royals zilikuwa glitter, extra vaganza head pieces, accessories za…
Looks From Gladness Kifaluka’s Gender Reveal Party
Muigizaji na mchekeshaji Gladness Kifaluka amefanya party ya kujua jinsia ya mwanae ambae bado hajazaliwa, na imejulikana Gladness amebeba mtoto wa kiume, hongera sana Glady. Sherehe yake hio ilihudhuriwa na watu mbalimbali ikiwepo marafiki zake Nandy na Zamaradi na hizi ndizo zilikuwa looks zao Gladness…
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…