Wasanii Jifunzeni Kutoka Kwa Jlo, Lagy Gaga Na Demi Lovato
Jana ilikuwa siku ya kuapishwa kwa rais mpya wa marekani Dr. Joe Biden, watu maarufu mbalimbali walialikwa kutumbuiza katika sherehe hiyo. Watu kama Lady Gaga, Jennifer Lopez na Demi Lavato walitumbuiza katika siku hio, na kilicho tuvutia mpaka tukafikia kuandika hili andiko ni mavazi yao….
Mavazi Yanayofaa Kwa Wenye Maziwa / Matiti Makubwa
Kila binadamu ana kitu ambacho kimepungua au kuzidi mwilini mwake, kuna wale ambao wana matiti madogo, kuna ya wastani na kuna ambao tunayo makubwa, Ikiwa tulisha ongelea kuhusu matiti madogo leo tumeona tutoe Tips za wenye makubwa, mtajiuliza kwanini tumeruka kwenye wastani? kawaida mavazi mengi…
How To Look Chic Wearing Dad Sneakers Courtesy Of Toke Makinwa
Dad / Ugly sneakers zili-trend sana mwaka jana 2020, watu maarufu wengi walionekana kuzivalia lakini pia hata wasio maarufu ambao walipenda mtindo huu wa viatu walivinunua. Kama kawaida ya trend huwa inakuja na kuondoka kwa sasa hazionekani sana, lakini kama unavyo kabatini haimaanishi usivivae kwa…
6 Times Ms Doris Showed Us How To Style Strap Dress With Shirt Underneath
Doris ni fashionista kutoka Tanzania ambae utampata instagram kwa nickname yake ya ms_ris_eddy Ni moja kati ya fashionistas ambao Tanzania ina pashwa kujivunia, yaani sio yule wa fashion za trend Doris yupo kipekee anajua kujistyle. Well leo tumekuletea mara 6 ambazo Doris ametuonyesha namna ya…
Anerlisa Turned 33 In Elisha Red Label Dress
Incase hujamjua Anerlisa ni nani, Anerlisa ni CEO wa Nero ni mfanyabiashara kutoka Kenya lakini pia ni mke wa mwanamuziki Ben Paul kutoka Tanzania. Jumamosi Anerlisa alisheherekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ndani ya gauni jekundu kutoka kwa mbunifu Elisha Red Label kutoka Tanzania. Ilikuwa…
How Transform An Outfit With Little Touch’s
Weekend Imefika na as usual weekend huwa tunapenda kuwa kwenye casual na comfortable fits. Lakini hii haimaanishi outfit yako iwe bore, umeshawahi kufikiria ni vipi watu maarufu wanavaa tshirt na jeans lakini wanapenda mno? basi leo tunakupa tips za nini unaweza kufanya ku-transform outfit yako….
2021 Slayage Edition
Ni Siku Nne tu toka tuanze mwaka mpya, na tunaweza kusema mwaka tayari unaonekana kuanza vyema kabisa as watu maarufu mbalimbali wameonekana ku-slay na outfit zao. Tunaanza na mwanamitindo Happiness Magese ambae alisheherekea siku yake ya kuzaliwa akiwa amevalia tulle dress ya pink akiwa amemalizia…
Zuchu Ending The Year In Mahaumes Red Dress
Leo ndio siku ya mwisho ya mwaka 2020, phew finally a new phase & new goals. Well mwanamuziki kutoka katika brand ya Wasafi ameona asituache tumalize mwaka bila ya kutuaga, Zuchu ameonekana kwenye hii mermaid dress kutoka kwa mbunifu Mahaumes. Zuchu aliacha gauni iongee alivaa…
Christmas Slayage From Tanzania’n Stars
Week iliyopita kulikuwa na sikukuu ya Christmas ambapo baadhi ya watu maarufu walitoa picha zao ambazo zinaonyesha mionekano yao huku wakiwatakia wa-Tanzania sikukuu njema. Tunaweza kusema wengi wao walipendeza sana na kujitahidi katika mionekano yao, rangi ambayo ilitawala ilikuwa nyekundu. Muigizaji Kajala Masanja alikuwa kwenye…
Celebrities Showing Us How To Wear Red On This Holiday Season
Ni msimu wa mapumziko ambapo sikukuu kama Christmas na mwaka mpya zipo around the corner, msimu huu kunakuwaga na sherehe nyingi zikiwepo harusi, part za hapa na pale za kufungia mwaka. Lakini pia katika msimu huu watu wengi hupenda kutumia rangi nyekundu iwe katika mavazi…
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…